RRRR ya Rais Samia Watanzania wengi wanaoishi kimazoea hawatoielewa haraka

Tatzio unaandika ili kuonesha huyo mama ni genius, wapi wewe? Hakuna kitu hapo. Ndo maana anakaa kimya uongee nini? Uyatoe wapi ya kuongea kama huna? Naamini kuna sehemu ataambiwa majawabu halafu atajiada kuvunja ukimya.

Mtu akishataka kusifiwa kupitia dini na jinsia badala ya siasa ambayo kazi aliyopewa, huyo ni fake tu!
 
Porojo kama porojo nyingine. Wajinga ndio huwa wanaambiwa usanii wa aina hiyo
 
Utajikomba sana lkn kwa sasa huwezi kupewa nafasi yoyote
 
Ndo alozotumia kuuza Bandari?
 
Kama una smartphone inayoweza kuingia mtandaoni halafu unashindwa kuelewa hayo, hotomuelewa mama Samia kabisa.

Subiri kwenye uzi utazielewa hizo R nne ni nini kwa Kiswahili. R moja nimeshaielezea post namba moja, kasome vizuri.
Your browser is not able to display this video.
 
Kwanini unatumia lugha ya makafikiri kiingereza kuelezea?
Tumia lugha ya dini ya haki kiarabu.
 
Rebuilding . Huyu mama atawastaajabisha watu wengi tujaliwe uzima tu .
Kaanza Rebuilding bandarini, watu wameanz akufoka-foka, hajaielewa falsafa yake wanaishi kimazowea, yeye kawakalia kimya, waone amekusudia nini.

Alianza kwa kuibomowa bodi, akawafurusha TICTS, sasa anajenga upya utawala mzima wa bandari. Watamuelewa tu.

Binafsi nimememuelewaa sana kwenye rebuilding.


Wasielewa, Rebuilding ni kujenga uoya. Siyo kukarabati. Bomoa, weka kitu kipya> ndivto afanyavyo mama kwenye vyanzo vyote vya fedha.

Mwezi mzima huu, alikuwa ana operation ya kukamata wezi wa dhahabu, kampuni hizo hizo zilizopewa mikataba mipya na mwendazake, wanawatumia Watanzania wajinga wachache, badala ya makinikia sasa wanaiba vinoo kabisa vya dhahabu, tena kwa wingi kweli kweli. Mama kaanza kubomowa nomowa mifumo huko, kimya kimya bila kelele.

Jiulize kwanini kina Kabudi wapo kimya?

Utaelewa maana ya Reforms.
 
Let r ya pili mh[emoji120]
 
Ungekuta wew siyo kizee alfu upo kwa wagalatia walai ningekuoa mnk una akili snaa. Na Bado wasilmu wenzio hawakutumii ipazwavyo
 
Uko sahaih kbsa
 
Mtoa mada ni mtetezi halisi wa Majizi DP WORLD
Ni wale wanaoamini Uislamu na Uarabu ni pamoja sana. Na anatamani sana aitwe mwarabu Race impostor!
Kumbuka pia DP World wametanguliza zawadi ya misikiti, utadhani sisi ni mabwege saaana!
Your browser is not able to display this video.
 
Zawadini yako huku Yale mambo yetu.

R mojawapo hapa yapatikana kwenye aya kadha wa kadha kwenye msahahafu.

Karibu tuendelee na kunoa bongo na kuchangamkia fursa za mama ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…