Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #81
Usiwe unakunywa mbege siku nyingineRS Berkane 1 - 2 Simba SC
Kwamba ya Kagera ilikuwa nyepesi? huko nao wana Kiiza wao.Hii sio mechi ya Kagera Sugar
Utaniua kwa presha mkuu.Goal....
Ooooh Mpira unaenda nje Berkane Wanakosa Inakuwa corner.
Kufungwa ni sehemu ya mchezo,tuliza nafsiUtaniua kwa presha mkuu.
Nyuzi za Simba huwa zina amsha yake, acha wajae tu.Naona utopolo wamevamia uzi wameshamaliza kumhonga kipa wa Kagera
Mtani Usiwe Na Pressure Ila Jiandae KisaikolojiaUtaniua kwa presha mkuu.