TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Kagera yote ni km home tu nshafika hadi minziro, murongo/kikagati, bushangalo, rusumo benaco kabanga, nshamba izimbya kamachumu

Kona nyingi nimezigusia hapo

Shida ni visiwani huko palinishinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshafika vijiji kama Ishozi, Gera, Kyetema, Kagege katoma, kihanga karagwe, Bugabo katale, Nshambya, Kilimilile, kyamulaile, Buyango, maruku, ijuganyondo, kigando, kabale
 

Sio kila wakati ni muda wa kutokwa povu,utazeeka kabla ya wakati.
 
Umeshafika vijiji kama Ishozi, Gera, Kyetema, Kagege katoma, kihanga karagwe, Bugabo katale, Nshambya, Kilimilile, kyamulaile, Buyango, maruku, ijuganyondo, kigando, kabale
Ijuganyondo, kigando, kyamulaile naweza kuwa nilifika ila nisijue kama panaitwa hivyo

Hivyo vingine vilivyobaki nimeshahudhuria maeneo hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Punguza majungu!
 
Nadhani wewe ndiye unayejiaibisha sasa nakuomba jambo moja screenshot eneo hilo linaloonyesha wamiliki wa wasafi media kutoka kwenye tovuti ya TCRA alafu iweke hapa ili unidhalilishe siihitaji document ya mange mliwa nyuma leta ambayo haina jina la mange
 
Siku Mungu akimpa neno la kusema asiwe na mtutu wa Bunduki alioingia nao Clouds...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…