Umeshinda mkuu.Nadhani wewe ndiye unayejiaibisha sasa nakuomba jambo moja screenshot eneo hilo linaloonyesha wamiliki wa wasafi media kutoka kwenye tovuti ya TCRA alafu iweke hapa ili unidhalilishe siihitaji document ya mange mliwa nyuma leta ambayo haina jina la mange
Yes Ibura shule ya msingi nadhani ipo karibu na kanisa la Lutheran, hapo ndo kuna njia ya kwenda Karabagaine kwa Ruge
Kuna njia ya kwenda Rugambwa unaijua, alafu mkabala wake kuna Njia ya vumbi ya kwenda Gereza Rwamulumba, Kabale ndo huko,Nimeshahangaika kuulizia kwa kina Ruge....nimeona sehemu mtu kaandika ibura nimebaki nashangaa naulizia sehemu niliyowahi kuishi......... nikajicheka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mrembo kila nionapo Id yako mwili unasisimka.
I love u.
Kuna njia ya kwenda Rugambwa unaijua, alafu mkabala wake kuna Njia ya vumbi ya kwenda Gereza Rwamulumba, Kabale ndo huko,
Yes ni, maeneo hayo, tunayatumiaga sana unawakwepa traffic police, maana wanabana sana rwamishenye, sasa nikiwaga bk nikajua kuna jambo haliko powa kwa gari napita ibura ,kashura, kasalan natokea kwa MKUU wa mkoaNiliwahi kupita hilo eneo
Nakumbuka nilimtukana traffic maeneo ya rwamishenye sasa kuwakwepa ikabidi nipitie huko ili nitokee katoma then nikazungukia kwenye vijiji humo nikatokea bugorora
Kwahiyo nimeshafahamu njia ya msibani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo bwana #Kanumba mlisha msahau iv Kati ya Kanumba na Ruge nani alikua mzito zaid
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes ni, maeneo hayo, tunayatumiaga sana unawakwepa traffic police, maana wanabana sana rwamishenye, sasa nikiwaga bk nikajua kuna jambo haliko powa kwa gari napita ibura ,kashura, kasalan natokea kwa MKUU wa mkoa
Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambiHahahaha vizuri sana ila wanatusoma hapa wasije kuziba tu chochoro
Sent using Jamii Forums mobile app
HapanaHivi huyu Ruge aliwahi kuoa kwa NDOA rasmin inayotambulika.. ?
Mwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi
Hii comment hater wakiiona utayasikia madongo yao.....hahahahaMwaka Jana nilikuwa huko, sikuwa na Leseni ya Tz wananishangaza kutotambua licence ya kimataifa, wakawa wanazingua nkawa napita huko, sasa nasikia muda huu wameweka kambi hapo njia panda ya Rwamishenye na Kashura, hata kule kashura chini kasalan wapo kambi
Ndiyo hivoUkija uje umekamilika lasivyo watakusumbua .......traffic wa bk ni wakuda sana sijui kwanini tofauti kabisa na maeneo mengineyo nchini ukiingia muleba tu unakumbana nao......bk sasa ni wanoko wajeuri....kyaka mpk mtukula nako hivyo hivyo kidooogo karagwe hawasumbui sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha
inaonekana Ruge aliwahi mapema kuwa na watoto Imagine Ruge kazaliwa 1970 huyo chalii hapo atakuwa na Age ngapi? vijana tujitahidi kuzaa Mapema.View attachment 1035869
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.
Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"
inaonekana Ruge aliwahi kuzaa Mapema, kijana mkubwa kabisa huyo.View attachment 1035869
Ruge Mutahaba ameacha watoto 5. Mkubwa ni huyu Mwachi ambaye amesoma wasifu wa baba yake hapa.
Familia ya Ruge Mutahaba wamesema wanatambua Ruge aliwahi kuwakosea watu kwa kuwa yeye ni binadamu hajakamalika. Mtoto mkubwa wa Ruge amesema "Familia inaomba msamaha kwa niaba yake." Lakini pia wapo waliomkosea Ruge na pengine wapo wanaoendelea kumkosea. Familia imesema "TUMEWASAMEHE WOTE....TUENDELEE MBELE"