TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba


you are wrong 100%
 
lakin nasikia DAB anahisiwa kuhusika.watu wananong'ona mitaani.toka alipovamia ile studio ili sinema yake irushwe akagomewa yasemekana Dab aliingia msituni.
Aliingia msituni zaidi baada ya rafiki yake kuondolewa TISS na kwenda kuwa katibu Tawala mkoa wa Tabora kisha akaporwa walinzi akasema aliyesababisha ni Ruge pia kitendo cha vyombo vyote vya Habari kukutana clouds vikamlaani kilimkera sana makonda ndipo akaona kuwa Ruge anaelekea kutishia cheo chake cha RC akaamua kumtuma Le mutuz kwenda kuteketeza kwa virusi vya kuua figo
 
Utueleze sababu zilizokufanya ukamvamie kijeshi katika eneo lake la kazi halafu unajifanya ni rafiki yako unafiki una mwisho wake.
 

USHAHIDI UNAOUTAKA NI HUU HAPA. HILI NI TANGAZO LA TCRA
 
Mwambie huyu..ndio hao wakipata matatizo wanatafuta wa kumlaumu badala wayakabili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache ukatili na unafiki. Tusitumie mamlaka kukomoa au kupendelea. Tutende haki. Mtu kaandaa tamasha muda mrefu, kaingia mikataba na watu kadhaa wa ndani na nje kufanikisha tamasha hilo, katumia pesa nyingi kwa mikataba, matangazo mpaka kuandaa sehemu ya kufanyia tamasha. Yooooote hayo anayafanya unamuangalia huku unajua tamasha atalifanyia wapi panapofanywa matamasha miaka yote na majirani wakiwa hao hao.

Kila kitu kikiwa tayari na pesa kubwa ikiwa imetumika tayari, kirahisi kabisa unamzuia kufanya tamasha kwa hoja ya kusumbua majirani ambayo kwa kweli si ya kweli. Hayo yakifanyika, mwandaaji yuko kitandani anaanza kuumwa. Kwa nini hali yake isibadilike kuwa mbaya zaidi kwa ukatili wa kimamlaka aliotendewa?

Leo mwenzetu anatangulia mbele ya haki, mtu aliyemfanyia ukatili wa kimamlaka, bila haya, anatoa kauli nzuri nzuri kumhusu marehemu! Unafiki huu. Tuache ukatili wa kimamlaka na unafiki ili wenye mawazo mazuri ya kujenga nchi watumie kwa uhuru mawazo yao yenye tija kwa maslahi ya nchi.
 
Using'ang'anie vitu usivyovijua wenye maamlaka na wanaotunza nyaraka za kampuni ni BRELA, kila Mwaka wamiliki wa kampuni huwa wanafile BRELA document inayoitwa annual return ambayo inaonesha wamiliki wa kampuni na share wanazomiliki. Kutaka document itoke TCRA tayari inaonesha hauna ufahamu wa hayo mambo, wamiliki wa share kuwajua ni rahisi tu maana BRELA wanatoa access kwa mtu yoyote anayetaka kujua habari za kampuni husika kwa kulipa kisha utaingia ktk Company Official search kupata maelezo uliyokua unayahitaji.
 
Kutengeneza barabara ni matumizi mabaya ya fedha za uma?Au unataka kuiwasilisha ujumbe gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…