Hivi huu msiba mnataka kila mtu ahudhurie hata kama anaudhuru?, naomba nikufahamishe tuingie kiimani zaidi kwamba kufika msibani au popote pale ni majaaliwa na si vinginevyo. Naona mnazidi kutafuta lawama kwa watu sijajua dhamira yenu, Kama wewe ulifika shukuru Mungu wengine hawakujaaliwa, naomba niongeze kwamba kilichokupeleka kule si huo msiba Ni kuangalia Nani kaja na nani hakuja pia wangapi walizimia na kulia Sana ili utuletee taarifa tunashukuru, ungekuwa busy na msiba usingeweza kutambua hayo. Binafsi Msama nilimuona labda niwe nimemfananisha, unataka nini kingine kwake? Acheni lawama za hovyo za masimango na kuchafuanaKwakweli, nianze kwa kutoa pole kwa vijana,wamama,na wazee wa Tanzania kwa kupatwa na msiba mzito sanaa hakika Ruge ameacha pengo la kubwa sana kwetu!
Pengo la kubwa ili hakika january Makamba ameliezea vyema tena kwa lugha iliyojaa Fasihi ambyo mara nyingi niliwai kukili kupia hapa jukwaani kuwa Makamba ni miongoni mwa Wanafasihi ambao nchi yetu tumejaaliwa
Sina lengo la kuelezea uzuri na ubaya wa Ruge,ila nataka nitumie fursa hii kuwakumbusha watu kama ALEX MSAMA mmiliki wa MSAMA PRODUCTION kujitokeza kuungana na watanzania kuomboleza msiba wa Ruge.
Nasema hivyo kwa sababu mchango wa Ruge kwa Alex Msama uko wazi,Alex msingi wake mkubwa wa Alex Msama tumjuaje leo hii kwa kila kitu anachofanya kilitokea clouds mikononi mwa Ruge.
Hakuna hasiye jua kuwa Alex Msama ni miongoni mwa vijana wa Tanzania ambao hawakubahatika kupata elimu ya juu,ila mtu huyu alipewa fursa ya kuwa miongoni mwa watamzania wachache walio pata fursa ya kutangaza kipindi cha nyimbo za injili hapo clouds,kipindi hiki ndicho kilichompatia msingi wa wazo la Tamasha la pasaka,tamasha ambalo leo hii limemfanya kutambulika Africa mashariki.
Leo hii anamiliki Television pamoja na Redio,nmesitikika skuona hata akijitokeza hadharani kuusema ukweli huu kipindi hiki cha msiba wake.
Nimwache huyo Msama,niende kwa dada yetu SAIDA KAROLI.
ndgu zangu watanzania,msio elewa SAIDA karoli kabla hajaja DSM alikuwa ni msani mdgo sanaa na alikuwa akipiga miziki kwenye MABAR mbalimblai mkoani kagera.
Ruge alikuwa mtu wa kwanza kukutana nae Bar,kama haitoshi hata nauli ya kumleta mjini Dsm alipewa na marehemu Ruge,kilichotokea baada ya karoli kufika jijini DSM, KWA kweli Ruge hakujali kama ataonekana mtu anaependelea ndgu zake alimkabidhi midomoni mwa watangazaji wa clouds walau wamzungumzie pamoja n kipawa chake,
Saida karoli alivuma sanaa na kukipatia fedha ambayo hakuwai kuishika kutoka kwa wasikilizaji wake wa Bar huko mkoani kagera,ni pesa hizo zilizomfanya mpka leo hii Saida Karoli kuwa miongoni mwa wamiliki wa Nymba jijini Dsm maeneo ya mbezi.
Cha kusikitisha,leo hii SAIDA karoli yupo kimnya anaungana na AKINA REDJEIDII NA DUDUBAYA,Kumwombea mabaya kijana wetu hakika niwaombe mjitokeze na kuusema ukweli kbla ruge hajaoza kaburini kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
ukweli mchungu huu[emoji41][emoji41]Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,
Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,
Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri
Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri
Acheni unafiki
UchocheziMajeruhi Lissu
- Anamsimamo kwa mambo anayoyasimimamia, kama kuyumba ni kwa asilimia chache.
- Tofauti ma majeruhi wengine wa watu wasiojulikana mfano Ulimboka, hajakatisha harakati zake.
- Mengine ni makamanda wanaweza kusaidia
Hayati Ruge
- Harakati zake zimegusa mamilioni ya watanzania katika biashara, burudani, sanaa, afya na uchumi.
-Ameinua tasnia ya habari, chombonchake clouds fm nimewahi kukiona ndani ya top ten ya redio bora afrika.
etc wadau mnafahamu mengi zaidi.
nani unadhani anastahili kuwa kaka wa taifa?
keshakupa hata jero huyo ruge, mbna wabongo mnapenda sana kuzidisha jibu like million wakati ni sefuri??!!Kama wewe huoni mchango Wa Ruge ni wewe usilazimishe sisi tulioona mchango wake tuseme hatujaona. Neno unafiki siku hizi naona linatumika ndivyo sivyo, yaani kwamba Mimi kama nimeona mchango wake nikisema alikuwa Na mchango mkubwa hiyo inakuwa ni unafiki, Ila wewe ukisema hukuona mchango wake hiyo inakuwa sio unafiki. Pathetic!!!
Ubarikiwe
Mkwe ulishawahi kushangaa kitu mpaka ukaona aibu!Mkwe wafata mkumbo wanaweza kusema hizo ni chuki zako binafsi, yaani watu wameguswa kwelikweli utafikiri walishawahi kuibuka washindi wa 3 mzuka.
Maendeleo hayana chama
Msanii gani huyo kanyonywa?
Sent from my iPhone using JamiiForums
AHAHHAHAHAHHA well put!clouds bana kama kuna kitu wanajua ....ni kufanya promo / marketting......jambo lao lazima litakua la nchi nzima (thanx to the late ruge)...yani hyo fiesta ukiisikia inavyotangazwa na ukienda kuionaa....unaweza baki mdomo wazi!...we jiulize tuu clouds wameajiri watu wangapi...lakini ni ma elfu ya wa tz wana mrefer to jamaa as "boss ruge"....yani ukiangalia tv hapa juzi baada ya msiba...unaweza jukuta unalia unajiuliza ivi bila boss ruge mimi ningekua wapia aisee.....baadae akili zikikurudia ndio unasema "allah, ivi mimi kumbe ni mwalimu tuu washule ya msingi fulani , hata Ruge mwenywe nilikua simjui,,,shetani shidwaaa!"
Kwakweli, nianze kwa kutoa pole kwa vijana,wamama,na wazee wa Tanzania kwa kupatwa na msiba mzito sanaa hakika Ruge ameacha pengo la kubwa sana kwetu!
Pengo la kubwa ili hakika january Makamba ameliezea vyema tena kwa lugha iliyojaa Fasihi ambyo mara nyingi niliwai kukili kupia hapa jukwaani kuwa Makamba ni miongoni mwa Wanafasihi ambao nchi yetu tumejaaliwa
Sina lengo la kuelezea uzuri na ubaya wa Ruge,ila nataka nitumie fursa hii kuwakumbusha watu kama ALEX MSAMA mmiliki wa MSAMA PRODUCTION kujitokeza kuungana na watanzania kuomboleza msiba wa Ruge.
Nasema hivyo kwa sababu mchango wa Ruge kwa Alex Msama uko wazi,Alex msingi wake mkubwa wa Alex Msama tumjuaje leo hii kwa kila kitu anachofanya kilitokea clouds mikononi mwa Ruge.
Hakuna hasiye jua kuwa Alex Msama ni miongoni mwa vijana wa Tanzania ambao hawakubahatika kupata elimu ya juu,ila mtu huyu alipewa fursa ya kuwa miongoni mwa watamzania wachache walio pata fursa ya kutangaza kipindi cha nyimbo za injili hapo clouds,kipindi hiki ndicho kilichompatia msingi wa wazo la Tamasha la pasaka,tamasha ambalo leo hii limemfanya kutambulika Africa mashariki.
Leo hii anamiliki Television pamoja na Redio,nmesitikika skuona hata akijitokeza hadharani kuusema ukweli huu kipindi hiki cha msiba wake.
Nimwache huyo Msama,niende kwa dada yetu SAIDA KAROLI.
ndgu zangu watanzania,msio elewa SAIDA karoli kabla hajaja DSM alikuwa ni msani mdgo sanaa na alikuwa akipiga miziki kwenye MABAR mbalimblai mkoani kagera.
Ruge alikuwa mtu wa kwanza kukutana nae Bar,kama haitoshi hata nauli ya kumleta mjini Dsm alipewa na marehemu Ruge,kilichotokea baada ya karoli kufika jijini DSM, KWA kweli Ruge hakujali kama ataonekana mtu anaependelea ndgu zake alimkabidhi midomoni mwa watangazaji wa clouds walau wamzungumzie pamoja n kipawa chake,
Saida karoli alivuma sanaa na kukipatia fedha ambayo hakuwai kuishika kutoka kwa wasikilizaji wake wa Bar huko mkoani kagera,ni pesa hizo zilizomfanya mpka leo hii Saida Karoli kuwa miongoni mwa wamiliki wa Nymba jijini Dsm maeneo ya mbezi.
Cha kusikitisha,leo hii SAIDA karoli yupo kimnya anaungana na AKINA REDJEIDII NA DUDUBAYA,Kumwombea mabaya kijana wetu hakika niwaombe mjitokeze na kuusema ukweli kbla ruge hajaoza kaburini kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ati wewe nini????[emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji119]Mimi kizee[emoji41] baba wangu wa Taifa Nyerere(rip)..kazi kwenu vijana..
Mkuu Mbona week iliopita kabla ya msiba January Makamba alipost Kwamba HAPA KAZI TU lilikuwa modereted na Diamondbila Ruge neno ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA LISINGEKUWA VILE, bila Ruge HAPA KAZI TU isingekuwa vile na hata kuna memngi nje ya vimaneno vya kampeni,
Je wajua kupitia kampeni mbali mbali za Ruge watoto wenye matatizo ya moyo zaid ya 150 wamefanyiwa upasuaji,
Wajua kwamba kupitia Ruge watu wamepata ufadhili katika masomo yao,?
Wajua Ruge ndo kawainua vijana wengi ambao leo wanajitunisha kwake?
wajua kwamba Ruge ni mtu ambaye alishirikiana na viongozi waliopita kwenye biashara ya ..............
alafu ni shushushu alofanya mambo kadhaaa naishia hapa ulale huko ulipo