Kwakweli, nianze kwa kutoa pole kwa vijana,wamama,na wazee wa Tanzania kwa kupatwa na msiba mzito sanaa hakika Ruge ameacha pengo la kubwa sana kwetu!
Pengo la kubwa ili hakika january Makamba ameliezea vyema tena kwa lugha iliyojaa Fasihi ambyo mara nyingi niliwai kukili kupia hapa jukwaani kuwa Makamba ni miongoni mwa Wanafasihi ambao nchi yetu tumejaaliwa
Sina lengo la kuelezea uzuri na ubaya wa Ruge,ila nataka nitumie fursa hii kuwakumbusha watu kama ALEX MSAMA mmiliki wa MSAMA PRODUCTION kujitokeza kuungana na watanzania kuomboleza msiba wa Ruge.
Nasema hivyo kwa sababu mchango wa Ruge kwa Alex Msama uko wazi,Alex msingi wake mkubwa wa Alex Msama tumjuaje leo hii kwa kila kitu anachofanya kilitokea clouds mikononi mwa Ruge.
Hakuna hasiye jua kuwa Alex Msama ni miongoni mwa vijana wa Tanzania ambao hawakubahatika kupata elimu ya juu,ila mtu huyu alipewa fursa ya kuwa miongoni mwa watamzania wachache walio pata fursa ya kutangaza kipindi cha nyimbo za injili hapo clouds,kipindi hiki ndicho kilichompatia msingi wa wazo la Tamasha la pasaka,tamasha ambalo leo hii limemfanya kutambulika Africa mashariki.
Leo hii anamiliki Television pamoja na Redio,nmesitikika skuona hata akijitokeza hadharani kuusema ukweli huu kipindi hiki cha msiba wake.
Nimwache huyo Msama,niende kwa dada yetu SAIDA KAROLI.
ndgu zangu watanzania,msio elewa SAIDA karoli kabla hajaja DSM alikuwa ni msani mdgo sanaa na alikuwa akipiga miziki kwenye MABAR mbalimblai mkoani kagera.
Ruge alikuwa mtu wa kwanza kukutana nae Bar,kama haitoshi hata nauli ya kumleta mjini Dsm alipewa na marehemu Ruge,kilichotokea baada ya karoli kufika jijini DSM, KWA kweli Ruge hakujali kama ataonekana mtu anaependelea ndgu zake alimkabidhi midomoni mwa watangazaji wa clouds walau wamzungumzie pamoja n kipawa chake,
Saida karoli alivuma sanaa na kukipatia fedha ambayo hakuwai kuishika kutoka kwa wasikilizaji wake wa Bar huko mkoani kagera,ni pesa hizo zilizomfanya mpka leo hii Saida Karoli kuwa miongoni mwa wamiliki wa Nymba jijini Dsm maeneo ya mbezi.
Cha kusikitisha,leo hii SAIDA karoli yupo kimnya anaungana na AKINA REDJEIDII NA DUDUBAYA,Kumwombea mabaya kijana wetu hakika niwaombe mjitokeze na kuusema ukweli kbla ruge hajaoza kaburini kwake.
Sent using
Jamii Forums mobile app