TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Serikali iliyopiga kimya Clouds ilipovamiwa na mitutu ndo hiyo hiyo ilipiga chini hitimisho la Fiesta Dar dakika za majeruhi na ndo hiyohiyo inamlilia marehemu kwa huzuni kubwa.

Unafiki wa kiafrika ni wa kiwango cha juu sana.
 
Umesikiliza vizuri bongo flava ilivyoanza na recording studio ya kwanza kaifungua nani; kabla ya hapo miaka hiyo kama wa town kuimba ilikuwa lazima upate instruments ya nyimbo za tupac na bongo nzima miaka hiyo instruments zilikuwa kama 5-10.

Kwenye show mashindano ya 'Don Bosco' mjoba hizo instrument kila mtu akija beat zile zile maneno tu yanabadalika salalee mpaka mnachoka kushangilia.

Ukusikia nani kawapa airt-time bongo flava kutoka kuwa hobby yakina 'mchina' mpaka kuwa biashara iliyopo leo

In short Ruge kaanzisha uchumi wa mziki Tanzania directly kawagusa maelfu indirectly millions.

If anything huyu bwana ni mmoja wa legends Tanzania inaoweza jivunia kuna mengine sikuyajua; kweli mpaka ufe ndio mazuri yako yanaibuliwa mie naona mazishi yake ni kama mungu kusema lazima uzikwe kwa mchango wako stahiki.
 
Ushamba unawasumbua nyie watu kwahiyo milion nne kwa mhaya ni héla nyingi sana?
Uchagani milion nne ni héla ya bia

Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu njoo huku
GBWA-20190303162256.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzio wanajuana......

Tukio la kifo cha "mwenzao" huyo kwao ni "ibada" yao muhimu kuliko unavyofikiri....

Wenye macho ya "kiroho" waliliona hilo, wakakataa kushiriki "ibada hiyo haramu ya sanamu"....

Hatuombi na wala sitamani lakini niseme kama sehemu ya mjadala huu, kwamba, miongoni mwa watu waliogusa maisha ya wengi hapa Tanzania ni mzee Reginald Mengi...

Ikitokea huyu mzee aitwe leo, trust me hatapata treatment ya mazishi ya "kiserikali" kama alivyopata huyu ndugu yetu japo kamwe hawezi kulingana hata chembe tu na Mzee Reginald Mengi ktk mchango wake wa kuigusa jamii kwa namna ile au hii...!!

Scenario hii ni similar na watu kama Mzee Bakheresa, Mo Dewji na wanaofanana na hao.....

Why?

Hawana shirika nao katika ulimwengu wa kwao (spiritual world) zaidi ya kuwa walipa kodi tu!!
Sasa ukiangalia kutokana na andiko lako - hao ulio wataja ni mataniri wakubwa nchini mwetu, lamini huyu Ruge hakuwa na utajiri wa kipesa kama hao - hapo ndipo kuna sababu. Kusema kwamba mzee Meingi ame gusa jamii kuliko Ruge - I think that is debatable! Unaweza ukakuta Ruge anampia kwa mbali sana huyo mzee!
 
shida kubwa nchi yetu ipo katika mfumo ambao mkuu akishaonekana yupo upande gani basi woooooooooooooooote nao huonekana upande huo huo ilimradi ionekane mawazo yao ni mamoja, mfano upo kwa maadui nao pia wamejichanganya kusifu lakini wengine wameenda mbali zaidi mpaka kumuita kaka yote haya dhamira ni ile ile tu mkuu kapendezwa.

Lakini imagine kama mkuu angepotezea basi amini usiamini hili zogo looooote usingeliona
Shida hawajui mtukufu anko anataka nini kwa kuwa hajawaambia wakati anawateua na kuwachagua ndio maana wanamsikilizia Kwa karibu anapoweka pumzi yake nao wote wanapumulia hapo, anaponyoosha mkono wote wanaangalia apo na hii panga pangua ndio inawachanganya kabisa kila mtu kavaa ditector, wapo makini kweli, kwaiyo mkuu ukistaajabu ya Musa........🙏🙏🙏🙏🙏
 
Sasa ukiangalia kutokana na andiko lako - hao ulio wataja ni mataniri wakubwa nchini mwetu, lamini huyu Ruge hakuwa na utajiri wa kipesa kama hao - hapo ndipo kuna sababu. Kusema kwamba mzee Meingi ame gusa jamii kuliko Ruge - I think that is debatable! Unaweza ukakuta Ruge anampia kwa mbali sana huyo mzee!

Yes, you might be right....

However, that depends with how you see and look things...

So, I accept , that it's debatable
 
Ukiona wanatumia gharama kubwaa ktk ujenzi wa kaburi la hayati Ruge, ni ishara kuwa walikuwa wanampenda mno na hivyo walimsapoti kifedha sana ktk kipindi cha matibabu yake ili kuokoa maisha.
 
Wenzio wanajuana......

Tukio la kifo cha "mwenzao" huyo kwao ni "ibada" yao muhimu kuliko unavyofikiri......

They know exactly hata utaratibu wa kufa kwake. Kulia kwao kote huko ilikuwa ni machozi ya mamba ya kuwafanya wasio na ufahamu wa mambo haya wapumbazike na waamini kweli kuwa kuna mtu kafa na kuna msiba pale....!

Wenye macho ya "kiroho" waliliona hilo, wakakataa kushiriki "ibada hiyo haramu ya sanamu"....

Hatuombi na wala sitamani lakini niseme kama sehemu ya mjadala huu, kwamba, miongoni mwa watu waliogusa maisha ya wengi hapa Tanzania ni mzee Reginald Mengi...

Ikitokea huyu mzee aitwe leo, trust me hatapata treatment ya mazishi ya "kiserikali" kama alivyopata huyu ndugu yetu Ruge kwani kwa vipimo vyote hawezi kulingana hata chembe tu na Mzee Reginald Mengi ktk mchango wake wa kuigusa jamii kwa namna ile au hii...!!

Scenario hii ni similar na inawahusu pia watu sampuli ya kina Mzee Bakheresa, Mo Dewji na wanaofanana na hao.....

Why?

Hawana shirika nao katika ulimwengu wa kwao (spiritual world) zaidi ya kuwa walipa kodi wao tu!!
U mean was after the "Grand Master" to their community!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond akifa sana sana wataenda wasaanii wenzake, labda kupunguza aibu naibu waziri wa michezo au atakae kuwepo atatuma mwakirishi ova.
Too sad mama yake diamond eti mwanae akija msiba wa ruge watu wataacha msiba kumwangalia yeye? Kwa sura ipi alikuwa Nayo??

Rip boss ruge.
 
I personally think huu msiba umekuzwa mno,lazima kuna sababu tuu sio bure
RIP Ruge
 
Back
Top Bottom