TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Roho inakaa sehemu gani kwenye mwili wa binadamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ndiye ajuaye siri hii, Katika Mwanzo 2:7 Biblia inasema, "Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. " Pia katika Yohana 6:63, "Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu ..." Vilevile katika Kumbukumbu 29:29, "Mambo ya siri ni ya Bwana, Mungu wetu; lakini mambo yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu milele ..."

Ukisoma maandiko hayo vizuri utaona mambo yafuatayo:-
1. Mungu ndiye aliyempulizia mwanadamu pumzi ya uhai (Roho) puani.
2. Ni kweli kabisa kuwa roho ndio inayoutia uzima mwili.
3. Sehemu ambayo roho ya mwanadamu hukaa, ni siri ya Mungu mwenyewe, na kwa kuwa Mungu hajaamua kutufunulia; hivyo yatupasa tumwachie yeye mwenyewe. Na hii ndio sababu ya KUFELI kwa majaribio yote ya kisayansi yahusuyo kuchunguza roho ya mwanadamu sehemu ilipo ndani ya mwili wa binadamu, au namna kuitengeneza ili waweze na wao kuumba [maana mpaka sasa wameweza kuumba maroboti (watu wasio na roho ndani)].

Hivyo ndugu, kwa sasa kitu cha muhimu zaidi kwako, sio kujua mahali ambapo roho yako ilipo ndani ya mwili wako; bali cha muhimu zaidi unapaswa ujue roho yako itakwenda wapi baada ya muda wa uhai aliokupangia Mungu kuisha. Nakushauri, kama hujampa Yesu Kristo maisha yako, basi uamuzi wa busara kwako ni kumpa Yesu maisha yako uokoke (Warumi 10:9), ili siku ya mwisho roho yako isipotelee kwenye moto wa milele. Lakini kama tayari umeokoka, hongera kwa hilo, nakushauri tu uendelee kuishi maisha matakatifu, ili siku ya mwisho tuwe na sehemu kwenye uzima wa milele.

Mungu akubariki sana ndugu.
 
Kama wewe huoni mchango Wa Ruge ni wewe usilazimishe sisi tulioona mchango wake tuseme hatujaona. Neno unafiki siku hizi naona linatumika ndivyo sivyo, yaani kwamba Mimi kama nimeona mchango wake nikisema alikuwa Na mchango mkubwa hiyo inakuwa ni unafiki, Ila wewe ukisema hukuona mchango wake hiyo inakuwa sio unafiki. Pathetic!!!
Basi ana mchango mkubwa sana kwako Zamaradi.
 
Ruge kafanya kipi kwa vijana mkuu,

Taifa hili limekuwa la hovyo hovyo kwa sababu ya wanafiki kama ninyi,

Ruge alikuwa ni mfanyabiashara tu na itakuwa sahihi zaidi tukisema jamaa alikuwa ni mjasiriamali mashuhuri


Miaka yote wasanii wamelia sana wananyonywa hamkuyayema hayo mazuri leo amelala ndo mnayasema mazuri

Acheni unafiki

Wataje walioishi kama yeye nchini.. ukitaka kueleweka.


Wivu ni ugonjwa.
 
Nafikiri inabidi tuelewane kitu kimoja,

Kusema mabaya ya marehemu tafsiri yake ni kwamba umefurahia kifo chake,

Na ninavyoamini mimi mchawi na mwanasiasa pekee ndo anafurahia kifo cha mtu,

Sitaki tuyaseme mabaya ya mwamba

Ila tuache ku-overrate kiasi hiki

Kwa sababu inafikia hatua sasa mpaka watu wana kufuru

Tukisema alikuwa mtu mwema na alisaidia watu Mungu amhifadhi mahala pake inatosha na sio kuanza kumpa majina asiyostahili

Ni mpumbavu pekee atakayeunga mkono kuitwa bab wa taifa
Aaah kumbe umekerekwa Na hiyo baba Wa Taifa Wa vijana, halafu mbona issue ndogo tu. Wewe unaweza usimuite hivyo kwani kuna ubaya.??? Wanasema anayejua uchungu Wa msiba ni wale waliokuwa Karibu Na marehemu, ndio sababu hata wengine wanamuita baba wakati sio baba yao lakini kutokana na ule ukaribu au uhusiano waliokuwa nao ndio maana wanamuita hivyo. Hebu wakuu tusione wivu mpaka Kwa marehemu, tujikite zaidi na sisi kujenga legacy zetu ili siku tutakapolala legacy tulizoziacha ziendelee kuishi.
 
Wataje walioishi kama yeye nchini.. ukitaka kueleweka.


Wivu ni ugonjwa.

Unataka niwataje wengine walio ishi kama yeye

Yaani unamaanisha waliojilimbikizia mali kwa kuiba jasho la wengine?

Au walioshi kama yeye kwa maana ya kutumia nafasi yake kuzima ndoto za watu?


Au unataka niwataje walioishi kama yeye kwa maana ya mahusiano?

Unata nitaje kipi hasa hebu niambie vizuri
 
Unataka niwataje wengine walio ishi kama yeye

Yaani unamaanisha waliojilimbikizia mali kwa kuiba jasho la wengine?

Au walioshi kama yeye kwa maana ya kutumia nafasi yake kuzima ndoto za watu?


Au unataka niwataje walioishi kama yeye kwa maana ya mahusiano?

Unata nitaje kipi hasa hebu niambie vizuri

Ha ha haaaaa
Kwa hayo uliyoandika umeonyesha sababu za huu uzi.

Acha wivu.. fanya kazi kwa bidii sio mnafeli mnasingizia wengine.
 
Ni utamaduni, desturi Na tamaduni zetu kusema mazuri tu hata kama kuna mapungufu Kwa marehemu, huu utamaduni mnaotaka kuuleta ni utamaduni Wa ajabu Na haukubaliki. Naamini hata kwenye dini zetu huu utaratibu Wa kumsema vibaya marehemu haukubaliki. Na kuhusu kusifiwa MTU akishakufa ni jambo la kawaida hata wewe ukifa utasifiwa, hatuwezi kuzuia watu kueleza sifa za mtu eti kwasababu ameshakufa.
Kama kweli vitabu vya dini vinakataza kumsemea marehemu mabaya yake hata kama alikuwa nayo basi na vyenyewe vinafiki
 
Aaah kumbe umekerekwa Na hiyo baba Wa Taifa Wa vijana, halafu mbona issue ndogo tu. Wewe unaweza usimuite hivyo kwani kuna ubaya.??? Wanasema anayejua uchungu Wa msiba ni wale waliokuwa Karibu Na marehemu, ndio sababu hata wengine wanamuita baba wakati sio baba yao lakini kutokana na ule ukaribu au uhusiano waliokuwa nao ndio maana wanamuita hivyo. Hebu wakuu tusione wivu mpaka Kwa marehemu, tujikite zaidi na sisi kujenga legacy zetu ili siku tutakapolala legacy tulizoziacha ziendelee kuishi.

Wivu? Kwanini tunakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Kwanini tunataka kuwa kizazi kilazi kuliko vyote vilivyowahi kutokea?

Yaani nione wivu kisa kuitwa baba?

Huu ni upuuzi wa kiwango cha PhD
 
Kama wewe huoni mchango Wa Ruge ni wewe usilazimishe sisi tulioona mchango wake tuseme hatujaona. Neno unafiki siku hizi naona linatumika ndivyo sivyo, yaani kwamba Mimi kama nimeona mchango wake nikisema alikuwa Na mchango mkubwa hiyo inakuwa ni unafiki, Ila wewe ukisema hukuona mchango wake hiyo inakuwa sio unafiki. Pathetic!!!

Walikufa watu wenye akili kama yesu,petro, mohamadi, ibrahim etc ijekuwa mtu wakawaida tu ambae ni wapenda bongo flevando wanamtambua mimi na masela wangu tunaopenda mziki wa injili wala hatukumfuatilia acheni kutuletea fujo. Mlazeni mahara pema muendelee na kazi za ujenzi wa taifa hayo ya baba wa taifa la vijana mnayatoa wapi na nani kawapa mamlaka ya kuwasemea vijana. Semeni wa bongo fleva tutawaelewa.
 
Unataka niwataje wengine walio ishi kama yeye

Yaani unamaanisha waliojilimbikizia mali kwa kuiba jasho la wengine?

Au walioshi kama yeye kwa maana ya kutumia nafasi yake kuzima ndoto za watu?


Au unataka niwataje walioishi kama yeye kwa maana ya mahusiano?

Unata nitaje kipi hasa hebu niambie vizuri
Tuonyeshe ushahidi alikoiba, hizo kelele za mtaani tusiziamini na kuzifanya kuwa kweli. Na wizi ni kosa kisheria halipaswi kuzungumzwa kwenye vijiwe linapaswa kuchukuliwa hatua. Halafu MTU unajiassociate vipi na mtu anayekuibia au kukunyonya how????
 
Walikufa watu wenye akili kama yesu,petro, mohamadi, ibrahim etc ijekuwa mtu wakawaida tu ambae ni wapenda bongo flevando wanamtambua mimi na masela wangu tunaopenda mziki wa injili wala hatukumfuatilia acheni kutuletea fujo. Mlazeni mahara pema muendelee na kazi za ujenzi wa taifa hayo ya baba wa taifa la vijana mnayatoa wapi na nani kawapa mamlaka ya kuwasemea vijana. Semeni wa bongo fleva tutawaelewa.
Mzee Wa fursa atabaki kuwa baba Wa taifa Wa vijana Kwa mchango wake Kwa vijana walio wengi, wewe kama hutaki usimuite hivyo kwani kuna ubaya???
 
Back
Top Bottom