Ruge Mutahaba ndiye aliyeharibu tasnia ya uandishi habari hapa Tanzania

Ruge Mutahaba ndiye aliyeharibu tasnia ya uandishi habari hapa Tanzania

Ndio maana tuna chombo cha Taifa TBC; hao tunawapa Ruzuku na wanakula Pesa zetu kwahio huko ndio kuwe sehemu ya vitu serious na vya kufundisha vyenye ustawi no matter hata kama havina watazamaji hence kuweza kurushwa bila sponsors.

Point yangu sio kwamba mimi binafsi naangalia au nasikiliza redio / tv yoyote bali kwa sasa hivi sina uhitaji sababu naweza kupata habari yoyote wakati wowote as summary au kwa kuchagua wapi pa kuipata (huku nikielewa fika duniani sasa hivi 95 percent ya habari ni fake news) hivyo ninachuja mwenye kwa kutumia common sense na kufanya due dilligence (tukianza kuwapangia watu cha kusema ni kutoka kwenye reli so long as hicho wanachosema wanakisema ili mkono uende kinywani hivyo wanaangalia soko lao linataka nini)

That said ukiongelea kina BBC, na CNN hizo ni giant medias in the world kwahio kulinganisha na Bongo ni kupotoka sababu wanachukua creme de la creme dunia nzima; pia hata wao binafsi kuna saa wanazingua sababu media nyingi zimekuwa propaganda machines ambazo ni bias..., That said hata ulaya upuuzi ni mwingi, hizi Big Brother zilianzia Ulaya ambapo mtu na kazi zako unaangalia watu wamekaa kwenye nyumba...; au magazeti ya Udaku na Paparazi UK ndio ilikuwa kwao..., Ila ndio hivyo to each his/her own..., na so long as kuna choice I can always check what I want or not at all na kutafuta habari zangu mwenyewe....

Kina Clouds na Redio One walileta utofauti na ilikuwa a breath of fresh air kutoka kwenye TBC pekee (watu wakaanza kupata miziki bumper to bumper).., leo hii cable TV ina channels za kumwaga hata nyingine ni shopping channels kwahio hata wewe leo hii unaweza ukaongea na Cable TV au kina Azam Ukatafuta Sponsors ukaanzisha Channel yako ya kuonyesha paint drying.... (If anyone will watch it, that is another matter entirely)
Hukunielewa nilichosema. Mimi nazungumzia zile media ethics nk. Wachana na habari zinahusu nini. Tanzania kuna mambo mengi ambayo yanafanyika ndivyo sivyo bila kulinda walaji kwa mfano watoto. Waandishi wamegeuka marketing officers na uchafu wa kila aina. Halafu unashishangaza kidogo... Hivi jambo kama linafanyika ndivyo sivyo Ulaya basi na sisi tulibariki?
 
Hukunielewa nilichosema. Mimi nazungumzia zile media ethics nk. Wachana na habari zinahusu nini. Tanzania kuna mambo mengi ambayo yanafanyika ndivyo sivyo bila kulinda walaji kwa mfano watoto.
Hizo Sheria zipo mfano kuna muda (watershed hours) matangazo ya pedi wakati wa asubuhi au dawa za nguvu za kiume au kamari hazitakiwi hilo lipo wazi ila kwenye Kamari Serikali inakula pesa kila mtu anavyopoteza; na Media zina njaa kwahio sponsor yoyote hata kama anatangaza mambo ya ajabu anaendelea (hilo ni kosa wala haliingiliani na mtangazaji bali chombo na njaa za vyombo vya habari)
Waandishi wamegeuka marketing officers na uchafu wa kila aina. Halafu unashishangaza kidogo...
Inategemea marketing officers kwenye jambo gani na wanamarket nini ? kama wewe unakula habari za ufugaji wa nyuki na jamaa muuza nyuki wadogo wa pale tabora ndio amefanikisha hizo habari wewe usikie basi you have to take the rough with the smooth (huyo mdau wa Tabora ndio amekuwezesha wewe kula unachopenda); ila kama ni matangazo potofu (kuna sheria za kumlinda mlaji zinaweza kuingia hapo) au ni kuhakikisha kunakuwa na Parental Guidance au kipindi fulani kirushwe mida ambayo watoto wamelala...
Hivi jambo kama linafanyika ndivyo sivyo Ulaya basi na sisi tulibariki?
Nimeongelea Ulaya kuonyesha kwamba hata kule sio Kosher sababu hata andiko linaonyesha kana kwamba Bongo ndio kuna aina fulani ya watoa habari (kumbe ni dunia nzima kutokana na barrier of entry imekuwa ndogo na every Shabani, Musa au Ali anaweza kurusha kitu chake (ila ndio hivyo kama unachotaka kipo popote basi una choice) kama hakipo unaweza kuleta andiko na kutafuta sponsor kikarushwa...
 
Hizo Sheria zipo mfano kuna muda (watershed hours) matangazo ya pedi wakati wa asubuhi au dawa za nguvu za kiume au kamari hazitakiwi hilo lipo wazi ila kwenye Kamari Serikali inakula pesa kila mtu anavyopoteza; na Media zina njaa kwahio sponsor yoyote hata kama anatangaza mambo ya ajabu anaendelea (hilo ni kosa wala haliingiliani na mtangazaji bali chombo na njaa za vyombo vya habari)

Inategemea marketing officers kwenye jambo gani na wanamarket nini ? kama wewe unakula habari za ufugaji wa nyuki na jamaa muuza nyuki wadogo wa pale tabora ndio amefanikisha hizo habari wewe usikie basi you have to take the rough with the smooth (huyo mdau wa Tabora ndio amekuwezesha wewe kula unachopenda); ila kama ni matangazo potofu (kuna sheria za kumlinda mlaji zinaweza kuingia hapo) au ni kuhakikisha kunakuwa na Parental Guidance au kipindi fulani kirushwe mida ambayo watoto wamelala...

Nimeongelea Ulaya kuonyesha kwamba hata kule sio Kosher sababu hata andiko linaonyesha kana kwamba Bongo ndio kuna aina fulani ya watoa habari (kumbe ni dunia nzima kutokana na barrier of entry imekuwa ndogo na every Shabani, Musa au Ali anaweza kurusha kitu chake (ila ndio hivyo kama unachotaka kipo popote basi una choice) kama hakipo unaweza kuleta andiko na kutafuta sponsor kikarushwa...
Inaonekana hujui maana ya media ethics wewe ndiyo maana unaandika haya. Na hilo hasa ndiyo analo-mention mwanzisha thread.
 
RUGE AMESEMWA NA KUSINGIZIWA KWA MENGI...
Kiongozi mmoja wa kidini aliwahi kunieleza kwamba,uliwahi kufanyika utafiti,ikagundulika Ruge ana madhara makubwa sana ktk mmomonyoko wa maadili ya vijana wa Kitanzania.

Hoja zao ni kwamba matamasha kama fiesta,yalikuwa yanaharibu vijana wengi nchi nzima. Yalikuwa yanaharibu vijana kimaadili kama kiafya kwa wengine kuambukizwa STDs kama gono,HIV nk..

RIP MWAMBA... HAKIKA ULIKUWA MUONGOZA NJIA..
 
Ziko sababu nyingi zilizochangia kudorora kwa sekta ya uandishi habari mmoja wapo aliyechangia ni Ruge mutahaba aliyekua mkurugenzi wa vipindi wa clouds

Mwanzo mwa miaka ya 2000's wakati clouds haina mda mrefu kuanzishwa kabisa kiongozi wa kipindi hiki ruge mutahaba alikuja na idea ambayo mpaka leo imeharibu tasnia ya habari vibaya mno unamuajiri mtu ambaye ni superstaa kuwa mwandishi wa habari ilihali hajawahi kusomea yaani hajui ABC za uandishi wa habari hata kidogo yaani hawana elimu mfano amina chifupa na aliendelea na huo utamaduni wa kuajiri watu masupstaa kama watangazaji ilihali hawana hio taaluma huku watu wakimsifia kuwa ni genius

Ruge mutahaba alitumia gharama kubwa sana kuondoa professionalism kwenye tasnia ya habari kwa kufikiria malengo ya mda mfupi na ku-ignore madhara ya mda mrefu ambayo tunayaona leo

Matokeo yake kuanzia miaka ya 2006's media nyingine zikaanza kuiga clouds mfano times baada ya kumuona marehemu dida anaigiza kaole wakamchukua kama mtangazaji marehemu dida ukimsikiliza unaona kabisa hapo kichwani ni empty ila ni mtangazaji hana ethics za uhandishi wa habari.

Miaka ya 2010's media nyingi zikaanza kufuata kile ruge alichoanzisha mwanzon mwa miaka ya 2000's mpaka tulipofika leo hii tuna wapiga kelele wengi unajiuliza masanja, ricardo momo, mpoki, n.k wamesomea uandishi wa habari wapi

Serikali ifanye namna irekebishe makosa ya ruge sababu yameivuruga sekta ya habari sana
Kwaio Mwijaku hawezi kufanya kazi BBC London Office akipata chaka ?
 
Bongo tunakosea pia kufikiria mtu aliyesomea Journalism au Mass Communication tayari ni mwandishi wa habari anayeweza kuchambua na kuongelea kila kitu kunzia siasa, biashara hadi uchumi. Kama huyo Kitenge ilitakiwa abaki kwenye mipira ya Yanga na Simba tu au awe presenter tu lakini sio mchambuzi.
Kitenge siyo mchambuzi na sijaona akifanya uchambuzi au habari za uchunguzi.
Nimeona akifanya utangazaji kwenye michezo na usomaji wa taarifa ya habari akiwa ITV.
 
Uwe na taaluma kufanya kazi wapi ? Kama wakisema wafanyakazi wote wa TBC na Serikali wawe na Taaluma fulani well and good ila wakisema kila anayefungua kituo kila anamleta aongee kwenye chombo chake (wengine ni freelancer au ni wageni au wasema hovyo) ambapo wateja wanapenda kusikiliza hovyo.., hio itakuwa a one step kufikia a police state; na State inaweza kutumia nyenzo hio kuziba watu midomo...

Nilichokwambia kama TBC na Redio kadhaa zina wanataaluma hukatazwi kuangalia hizo za wanataaluma..., pia news za sasa zinafanya kazi kama majadiliano (anaitwa mtu mwenye uelewa) alafu anahojiwa na kubalance the issue (wala hukatazwi kuandaa maswali kutoka kwa wasikilizaji ambao huenda kuna mwelewa zaidi wa a certain subject) vitu vipo live na kuna interactivity

Moja aliyekwambia to speak good football ni sawa na kucheza au kujua kucheza ni nani ? Mbili kuna watu natural kwenye Tasnia (Lineker, Wright and the likes) kuna watu walikuwa wanasifika kuongea Pumba mfano Michael Owen sasa hivi amepewa aongee ongee Kuna watu kama Gaza ukiamua kuwaleta kwenye TV ni for a comedy factor sababu wanachoongea kwa kweli hakina tija...,

Moja sio kwamba napinga knowledge.., knowledge is POWER..., tena hao ambao hawana vyeti ila wamefanya kazi miaka nenda rudi wana kitu ambacho fresh from school hana wala huenda asiweze kukipata..., pili likebility na social skills as well as kuweza kuelezea na charisma hio haipatikani shule bali ipo within

Mwisho kabisa umeanza kusema kwamba wengi wa sasa ni makanjanja na ndio wanaosikilizwa sasa unasema kwamba AYO ndio amefanikiwa pekee wakati hawa so called makanjanja ndio wenye audience kitaa ?!!! Je kuwa kwao kwenye TV namba A kunakataza hao so called wataalamu kuwepo kwenye TV C ?
Superb analysis.
 
Hakuna talent itakayo beats certificate kwenye hard news, kwenye habari ngumu unahitaji mtu aliyeenda shule vizuri na mwenye experience ya taaluma au kazi fulani, kwenye entertainments na udaku talent ndio inaweza kuwa muhimu zaidi.

Angalia waandishi wengi wa habari wa sasa hivi, grammar/sarufi ni sifuri, hawana tofauti ya L na R, kuuliza maswali hawawezi n.k wako wako tu.
The end justifies the means, mwisho wa siku media ni franchise hivyo yule anayeweza kuvuta audience kubwa ndiye anayestahili nafasi regardless his/her level of education.
 
Ziko sababu nyingi zilizochangia kudorora kwa sekta ya uandishi habari mmoja wapo aliyechangia ni Ruge mutahaba aliyekua mkurugenzi wa vipindi wa clouds

Mwanzo mwa miaka ya 2000's wakati clouds haina mda mrefu kuanzishwa kabisa kiongozi wa kipindi hiki ruge mutahaba alikuja na idea ambayo mpaka leo imeharibu tasnia ya habari vibaya mno unamuajiri mtu ambaye ni superstaa kuwa mwandishi wa habari ilihali hajawahi kusomea yaani hajui ABC za uandishi wa habari hata kidogo yaani hawana elimu na aliendelea na huo utamaduni wa kuajiri watu masupstaa kama watangazaji ilihali hawana hio taaluma huku watu wakimsifia kuwa ni genius

Ruge mutahaba alitumia gharama kubwa sana kuondoa professionalism kwenye tasnia ya habari kwa kufikiria malengo ya mda mfupi na ku-ignore madhara ya mda mrefu ambayo tunayaona leo

Matokeo yake kuanzia miaka ya 2006's media nyingine zikaanza kuiga clouds mfano times baada ya kumuona marehemu dida anaigiza kaole wakamchukua kama mtangazaji marehemu dida ukimsikiliza unaona kabisa hapo kichwani ni empty ila ni mtangazaji hana ethics za uhandishi wa habari.

Miaka ya 2010's media nyingi zikaanza kufuata kile ruge alichoanzisha mwanzon mwa miaka ya 2000's mpaka tulipofika leo hii tuna wapiga kelele wengi unajiuliza masanja, ricardo momo, mpoki, n.k wamesomea uandishi wa habari wapi

Serikali ifanye namna irekebishe makosa ya ruge sababu yameivuruga sekta ya habari sana

He was trying to survive and in deed he survived. The problem of other journalists is the lack of their own idenntity. The are among those in the crowd. They follow the crowd.
Whose problem is that? lack of your own identity? Tumuache Ruge apumzike salama. Huruma yake Mwenyezi Mungu, na toba aliyowahi kuifanya kwa makosa ya udhaifu wake wa kibinadamu, namuomba Mwenyezi Mungu, amrehemu na kumpa pumziko lenye amani.
 
Kuna combination ya sababu
1. Wenye media kuajiri vilaza
2. Serikali kushindwa kusimamia na kuongoza
3. Walaji kuwa na upeo mdogo na kutaka habari nyepesi.
Walaji wawe na upeo mdogo au la siyo issue, biashara inatakiwa iwavutie 'walaji' na yoyote anayewekeza kwenye media anapaswa kuliangalia hilo. It's a terribly stupid move uwekeze hela zako kwenye biashara ya habari halafu uajiri wanahabari ambao si 'likable'(wasio na uwasilishaji habari wenye mvuto) kwa majority ya 'walaji', your investment will definitely go down the drain.
Talent>Mavyeti.
 
Walaji wawe na upeo mdogo au la siyo issue, biashara inatakiwa iwavutie 'walaji' na yoyote anayewekeza kwenye media anapaswa kuliangalia hilo. It's a terribly stupid move uwekeze hela zako kwenye biashara ya habari halafu uajiri wanahabari ambao si 'likable'(wasio na uwasilishaji habari wenye mvuto) kwa majority ya 'walaji', your investment will definitely go down the drain.
Talent>Mavyeti.
Like hospital services, the main aim of the media is not profit. If you make profit your main objective, you are doomed to corrupt society. Infact ndicho tunachobishania hapa kwa sababu Tanzania media nyingi ni vijiwe vya tamaa ya kuingiza fedha za haraka haraka. Ndiyo maana media zimejaa machawa wasijua ethics za journalism ni nini.
 
Shida sio Ruge, Shida ni Serikali yako ndo inawalea hao wasio na taaluma ya uandishi. Kama serikali iko serious kweli bila kuangalia uchama waweke sheria kimaandishi na watu wachukuliwe hatua. Uone kama hiyo taaluma itachezewa.
 
Back
Top Bottom