Masaki alipokuwa anaishi amepanga? Kama hana Nyumba Basi ni Hatari Faya!!!Mtoa mada unataka kutuambia Ruge hana nyumbani kwake binafsi alikojenga?
Mbona iddi amini mpaka leo anasemwa kwa mabayaMarehemu hasemwi, kama una mabaya yake kaa kimya na kama una mazuri yake sema.. hatufanyi vyema kwa kutangaza mabaya ya watu
Nandy jeNasikia alikuwa pia na maradhi ya kisasa. Niliposikia hii kitu nikakaonea huruma ka Zamaradi
Masaki alipokuwa anaishi amepanga? Kama hana Nyumba Basi ni Hatari Faya!!!
Jeff bezzos CEO wa Amazon ndio tajiri namba moja duniani ana miaka 54 na yupo single na huyo ndio mfano wa kuigwa sasa kwenye jamii
Huyo ni kujitakia
Hizi ndio shida za mtu mzima kufa hujaoa. Unaacha michepuko inagombania high tableHivi niulize Yule Nandy ni mmoja wa wanafamilia ya mutahaba au ni mmoja ya wajane?
Maana karemjee alikua ndani ukimbini akiwa ameketi sehemu ya familiyana Amelia sana hata kushindwa kuimba hii imeleta utata
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama K Lynn alivyoolewa na kijana mdogo kabisa tena shababi, Mr. MengiMtu kuwa kijana sio Umrii ni Pesa mkuu..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu wanazeeka hata wakiwa na miaka 30 tayari wazee kabisa... Ila Wenye pesa miaka 55 kijana sana tuu yani sanaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee kwani Rais ni malaika,mtume au Mungu? Acha fikra za karne 16 hii ni karne 21 si lazima anachoguswa nacho Rais na wewe uguswe,,,yeye ameguswa kwa kuwa ana maslahi nae moja kwa moja na si woteInatakiwa ufungwe jela maana umetoa bandiko linaloudhi watu. Wewe jifikirie had rais kaumia kwa kifo cha ruge wewe ni nan usiumie nawaagiza polisi ufungwe jela maana hujaumia kwa kifo cha Mwana ccm ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu kavunja katiba ya nchi..Anafaa sana
Itifaki imezingatiwa
Wewe mwenye familia umeisaidia nini nchi zaidi ya KUNYA na KUJAMBA hovyo tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu kutokea msiba wake sifa lukuki zimekuwa zikitolewa kuhusu maisha na kazi zake ambazo nyingi ni za kweli. Lakini kama tujuavyo hakuna binadamu aliye mkamilifu hivyo ukitaka kumuelezea mtu halisi lazima na upande wa mapungufu yake uyagusie.
Kwangu mimi Ruge licha sifa zote , hakuwa mfano wa kuigwa kwa maisha ya kijana na nitaeleza sababu zaangu.
Ruge amefariki akiwa na umri wa miaka 49 lakini hakuwa na maisha ya familia, kwa maana ya mke na watoto.
Ameishi maisha ya kihuni yasiyofaa kuigwa kwa vijana wanaotafuta kuishi vizuri. Ruge angekuwa ni mtu aliyefanikiwa kimaisha, msiba wake ungekuwa nyumbani kwake na sio kwa wazazi wake.
Vijana wengi alioibua vipaji vyao japo wengi wamefanikiwa kupata pesa lakini wengi wao wanaishi maisha ya kihuni.
Ndoa zao zimeshindikana na wamekuwa watu wa kuonyesha vitendo vya aibu katika jamii. Hili nalo naweza kulihusisha na Ruge kwani mwanafunzi hawezi kumzidi mwalimu wake.
Zipo pia tetesi kuwa hata pale Clouds wafanyakazi wengi wanajihusisha na vitendo vya kishoga na kwa msemo wa kiswahili kuwa lisemwalo lipo, huenda likawa na ukweli ndani yake na Ruge akawa ni sehemu ya jamii hiyo.
Nimalize tu kwa kusema Ruge amejitahidi katika sehemu moja ya maisha na kufanikiwa, kiuchumi, ila upande wa pili wa maisha , kimaadili, hakufanikiwa hata kidogo.
Kama binadamu mwenye imani kiasi, namwombea kwa muumba wake aipumzishe roho yake mahali zinakopumzishwa roho zote , Amen
Kuoa sio lazima kila mtu na maisha yake hili mradi havunji katiba ya nchi angevunja katiba tungemuona wa ovyoHakuna mahala katiba imevunjwa, lakini hatuwezi kuwa taifa la watu waishio kihuni (samahani sina nia ya kumsema marehemu vibaya)
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini Kuoa sio lazima kila mtu ana ishi atakavyo ingekuwa Kuoa ni muhimu manabii baadhi ambao awakuoa wageoaHizi ndio shida za mtu mzima kufa hujaoa. Unaacha michepuko inagombania high table
Hakuna kinachoweza kudumu milele ila Mungu pekee, media imemkuza sana kuliko alivyostahili. Sioni makubwa aliyoyafanya zaidi ya kuinua vipaji vichache vya mashoga na wahuni kadhaaDu we jamaa si bure aliyoyafanya ni makubwa hata angekuwa na familia leo ingemlilia peke yao ila alichowekeza kitabaki Milele kwa watu