Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Salaam wana jf.baada ya rais Dr Samia suluhu Hassan kutengua zuio la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa ,nikama kufunga dirisha lakuingiza hewa Safi ndani ya taifa.
Nimeona watu wakifurahia sana Jambo hili si wana siasa tu hata wasiokua wanasiasa pia. Lakini kwa upande wa pili hili ni pigo kubwa sana kwa wanasiasa uchwara na vyama vyao, kwao hili nipigo kwakua hii nafasi inaenda kuonyesha rangi halisi ya vyama vyao.
~ Je, ni ipi ajenda yao kwa Watanzania?
~ Ni kwa kiasi gani wana kubalika na watanzania?
~ Ni maeneo gani wanayokubalika?
~ Ni kwanini yawe maeneo hayo tu?
Kupitia maswali na sababu hizo hapo juu naliona anguko la vyama uchwara vingi sana, maana kushawishi watu waache shughuli zao waje wahudhurie mikutano yako ya hadhara sio jambo dogo kwenye siasa; na hicho ndio kipimo halisi cha namna unavyokubalika na jammii.
Nawatakia kila la kheri ya Mwaka Mpya 2023 wenye mambo mapya ya kisiasa na maendeleo.
Ni vyama vipi unaona vinaweza kuwa vya kwanza kupotea kwenye ulingo wa siasa?
Nawasiliana.
Nimeona watu wakifurahia sana Jambo hili si wana siasa tu hata wasiokua wanasiasa pia. Lakini kwa upande wa pili hili ni pigo kubwa sana kwa wanasiasa uchwara na vyama vyao, kwao hili nipigo kwakua hii nafasi inaenda kuonyesha rangi halisi ya vyama vyao.
~ Je, ni ipi ajenda yao kwa Watanzania?
~ Ni kwa kiasi gani wana kubalika na watanzania?
~ Ni maeneo gani wanayokubalika?
~ Ni kwanini yawe maeneo hayo tu?
Kupitia maswali na sababu hizo hapo juu naliona anguko la vyama uchwara vingi sana, maana kushawishi watu waache shughuli zao waje wahudhurie mikutano yako ya hadhara sio jambo dogo kwenye siasa; na hicho ndio kipimo halisi cha namna unavyokubalika na jammii.
Nawatakia kila la kheri ya Mwaka Mpya 2023 wenye mambo mapya ya kisiasa na maendeleo.
Ni vyama vipi unaona vinaweza kuwa vya kwanza kupotea kwenye ulingo wa siasa?
Nawasiliana.