Mshana wewe ni mtu mkubwa sana kumjibu huyo kunguni we subiri chadema ianze kazi hilo vibe lake we subiri maana hata ACT imeonekana sababu chadema ilinyamazishwa sasa subiri watu waingie kaziniHilo zuio liliihusu CHADEMA ndio maana mengine yote yaliyofanyika bila CHADEMA kushiriki hayakuwa na impact yoyote!
Unapoizungumzia CHADEMA unazungumzia upinzani Tanzania kinyume chake the rest ni porojo tu za vigenge vya wachumia tumbo