Ruhusa ya mikutano ya kisiasa ni pigo kwa vyama uchwara

Ruhusa ya mikutano ya kisiasa ni pigo kwa vyama uchwara

vyama vingi vya siasa hasa chadema ndio litakua anguko kubwa watakosa maneno ya kuongea kwa kulijenga taifa watakuwa wakimuongelea makufuli kwenye mikutano wakifikiri wananchi watawapenda hapo sasa ndio utaona wanaanza kudharaulika kwa wananchi wakishaona wanadharaulika kwa kumsema magufuli wataanza na katiba, napenda niwakumbushe vyama vya siasa msijaribu kumsema makufuli ni kipenzi cha wananchi wengi sana, uliona wapi mwana siasa aliyemsema makufuli akapendwa tangu waanze kumsema?

Wamseme Magufuli kwani yupo?. Watawasema waliopo?
 
Ninamaana kuenzi mazuriyake sababu nimengi kuliko mabaya.

We fuata mazuri achana na mabaya sababu mabaya hatawewe unayo ya kukutosha tu.

Rais was wasiojulikana na muasisi wa machawa, kwa kweli ilibidi aondoke.
 
Kama wasipozingatia nilicho andika hapo hata uwepowao utakuwa kama ACT tu.

Achana na CHADEMA huijui. Unadhani CCM ni wajinga mpaka kukaa kwa maridhiano. Magufuli alijaribu Moto wa CHADEMA akaungua, mpaka akajifia akaiacha CHADEMA.
 
Wetulia tu kwenye uchaguzi watapiga V-turn, sio U- turn sababu wataona wanachelewa.

Watalazimika kwenda na falsafa za Magufuli kulingana na upepo ulivyo kwa kupenda ama vyovyote.

CHADEMA ilikuwepo kabla ya Magufuli. Magufuli kajitahidi kuiua kafa yeye kaiacha.
 
Kuenzi [emoji849]?kazi zipi hizo?

Kikubwa mikutano imeruhusiwa pazuri, nikipindi ambacho Kuna ukata mkubwa, Bei ya vyakula Iko juu, umeme Bado niwa mgao, hii yote inampa mwanasiasa yeyote msingi wakushawishi wanainchi , kuikataa CCM.
Bei ya umeme au chakula ipo juu ikicompare na wakati gani au awamu gani yaani JPM haepukiki mkuu whether you love him or not.
 
Alimuuwa nani mkuu, hata mimi naweza kukuita wewe ni muuwaji, lakini kama sina ushahidi nakuwa sawasawa na debe tupu.

Yule alikuwa sio binadamu. Na alianza kupata shida Lissu aliporudi, maana kashindwa kumuua, kaharibu uchaguzi ili atawale akafa Rais mwingine kaja.
 
Bei ya umeme au chakula ipo juu ikicompare na wakati gani au awamu gani yaani JPM haepukiki mkuu whether you love him or not.

Watu wanaongelea current issues wewe unaleta mambo ya marehemu
 
ACT na wenzake wameshapotea.

Chadema wata ng'aa kama wataheshimu na kuenzi kazi za hayati Magufuli.

Kinyume na hapo watapotea infinity.

Zingatia maneno yangu.
Chadema ni chama cha walamba asali 2015 ndio walianza safari yao na sasa
wamekuwa mateja wa asali ndio maana dj haiishi wiki kaenda magogoni kunyoosha
mikono amiminiwe kidogo na chief Hangaya.
lisu na Lema hawana visingizio tena vya kubaki ughaibuni sema asali ya ughaibuni na ya magogoni
wanaitaka japo magogoni nadhani hawana chao DJ atakimaliza kibuyu cha asali sio kwa uraibu huo.
Heche anasema hawana wafuasi hiyo mikutano watamhutubia nani!?
 
Naunga mkono hoja haswa kwa kuzingatia Tanzania tuna chama kweli cha siasa ni kimoja tuu ambapo pia ni chama dola, CCM, kimezingukwa na vyama uchwala 4, Chadema, ACT Wazalendo, NCCR Mageuzi na CUF, na vyama makapuku 14 ambayo vipo tuu kwenye daftari la Msajili lakini havina ofisi, havina diwani, wala mbunge hata mmoja na havipati Suzuki hata senti moja!.

Kiukweli JPM sio tuu aliinyoosha nchi... Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo na Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..? na
The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja na Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
P
Walichoweza CCM ni kuanzisha vyama vyao vingine vya siasa na vikaonekana ni vya upinzani. Karibu vyama vyote ni matawi yao, vinakwenda kwa mujibu wa mipango ya CCM
 
Ni mambo mawili tu ndiyo yalimfanya Magu ajione si kitu hapa duniani hata uwezo wake wa kukariri idadi ya dagaa wa Victoria (Krilion trillio 700) bado aliuona si chochote na alikosa kabisa usingizi, mambo hayo ni:
1. CHADEMA
2. TUNDU LISSU

Kweli kabisa. Kawafungia kufanya siasa, kanunua wabunge, kaengua wabunge, lakini wapi? Ikabidi azime internet kwa wiki mbili wakati wa kupiga kura 2020 lakin wapi. Lissu kamkimbiza kana kwamba hakufanya kitu ikabidi afe tu.
 
Hskuna current issue bila past issue hasa kwenye ulingo wa siasa.

Kwa hivyo tuanze kuongelea yaliyopita tuache ya Sasa?. Msilazimishe watu Cha kusema. Tukianza kuongea yaliyopita itakuwa shida, maana makandokando ni mengi.
 
Walichoweza CCM ni kuanzisha vyama vyao vingine vya siasa na vikaonekana ni vya upinzani. Karibu vyama vyote ni matawi yao, vinakwenda kwa mujibu wa mipango ya CCM

Na ndio maana CCM ikaviogopa na kufuta mikutano ya siasa. Msiipe ccm ukubwa usiokuwa wake.
 
Kwa hivyo tuanze kuongelea yaliyopita tuache ya Sasa?. Msilazimishe watu Cha kusema. Tukianza kuongea yaliyopita itakuwa shida, maana makandokando ni mengi.
Uhalisia mtaona kwenye hiyo mikutano wala hakuna anayewalazimisha kusema ya nyuma sababu wananchi wanayajua, hivyo watakuwa wanawazoom tu waone kama mtakuja na mkeka mpya ambao huko nyuma haukupatiwa majibu.
 
Chadema ni chama cha walamba asali 2015 ndio walianza safari yao na sasa
wamekuwa mateja wa asali ndio maana dj haiishi wiki kaenda magogoni kunyoosha
mikono amiminiwe kidogo na chief Hangaya.
lisu na Lema hawana visingizio tena vya kubaki ughaibuni sema asali ya ughaibuni na ya magogoni
wanaitaka japo magogoni nadhani hawana chao DJ atakimaliza kibuyu cha asali sio kwa uraibu huo.
Heche anasema hawana wafuasi hiyo mikutano watamhutubia nani!?

Mtasema yote mpaka mnyamaze. CHADEMA ilikuwepo na itaendelea kuwepo daima.
 
ACT na wenzake wameshapotea.

Chadema wata ng'aa kama wataheshimu na kuenzi kazi za hayati Magufuli.

Kinyume na hapo watapotea infinity.

Zingatia maneno yangu.
Ilo ndiyo pigo la chadema kubwa sana sijui watafanyaje kulikukuza jina la jpm walie mkashifu na kumtukana usiku na mchana kwa kifupi chadema inategemea kitu kimoja tu nacho ni chuki ya watz kwa ccm ya sa100 ...hivyo wanaweza wakakikubali chadema kwa kukosa mbadala
 
Salaam wana jf.baada ya rais Dr Samia suluhu Hassan kutengua zuio la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa ,nikama kufunga dirisha lakuingiza hewa Safi ndani ya taifa.

Nimeona watu wakifurahia sana Jambo hili si wana siasa tu hata wasiokua wanasiasa pia. Lakini kwa upande wa pili hili ni pigo kubwa sana kwa wanasiasa uchwara na vyama vyao, kwao hili nipigo kwakua hii nafasi inaenda kuonyesha rangi halisi ya vyama vyao.

~ Je, ni ipi ajenda yao kwa Watanzania?
~ Ni kwa kiasi gani wana kubalika na watanzania?
~ Ni maeneo gani wanayokubalika?
~ Ni kwanini yawe maeneo hayo tu?

Kupitia maswali na sababu hizo hapo juu naliona anguko la vyama uchwara vingi sana, maana kushawishi watu waache shughuli zao waje wahudhurie mikutano yako ya hadhara sio jambo dogo kwenye siasa; na hicho ndio kipimo halisi cha namna unavyokubalika na jammii.

Nawatakia kila la kheri ya Mwaka Mpya 2023 wenye mambo mapya ya kisiasa na maendeleo.

Ni vyama vipi unaona vinaweza kuwa vya kwanza kupotea kwenye ulingo wa siasa?

Nawasiliana.
Hilo zuio liliihusu CHADEMA ndio maana mengine yote yaliyofanyika bila CHADEMA kushiriki hayakuwa na impact yoyote!
Unapoizungumzia CHADEMA unazungumzia upinzani Tanzania kinyume chake the rest ni porojo tu za vigenge vya wachumia tumbo
 
Uhalisia mtaona kwenye hiyo mikutano wala hakuna anayewalazimisha kusema ya nyuma sababu wananchi wanayajua, hivyo watakuwa wanawazoom tu waone kama mtakuja na mkeka mpya ambao huko nyuma haukupatiwa majibu.

Mawazo yako usilazimishe kwa wananchi. Wawazoom CHADEMA halafu CCM ya mafisadi ndio waikubali. Wajzoom CHADEMA wakati bunge limejaa CCM ?. Punguza speculations.
 
vyama vingi vya siasa hasa chadema ndio litakua anguko kubwa watakosa maneno ya kuongea kwa kulijenga taifa watakuwa wakimuongelea makufuli kwenye mikutano wakifikiri wananchi watawapenda hapo sasa ndio utaona wanaanza kudharaulika kwa wananchi wakishaona wanadharaulika kwa kumsema magufuli wataanza na katiba, napenda niwakumbushe vyama vya siasa msijaribu kumsema makufuli ni kipenzi cha wananchi wengi sana, uliona wapi mwana siasa aliyemsema makufuli akapendwa tangu waanze kumsema?
Huyo dictator aliyekufa atasemwa tu, hiyo defensive mechanism mnayokuja nayo ili mauozo yake yasisemwe imegonga mwamba.
Kaa kwa kutulia uone atakavyochambuliwa pamoja na matokeo yake then urudi hapa usome tena hilo bandiko lako.
 
Kuna vyama mandonga hata hawana ubavu wa kufanya mikutano ila walijifunika wenyewe kwenye zuio la kufanya mikutano!
Wanaombea zuio liendelee...
Hata chadema yenyewe imeanza kuweweseka baada ya zuio maana sasa ni lazima waende front kupigana na marehemu jpm ...samia kawatega baada ya kugundua kuwa hata yeye amwezi marehemu na ukicheza na marehemu unaweza kuumbuka vibaya sana
 
Back
Top Bottom