Ruhusa ya mikutano ya kisiasa ni pigo kwa vyama uchwara

Ruhusa ya mikutano ya kisiasa ni pigo kwa vyama uchwara

Ilo ndiyo pigo la chadema kubwa sana sijui watafanyaje kulikukuza jina la jpm walie mkashifu na kumtukana usiku na mchana kwa kifupi chadema inategemea kitu kimoja tu nacho ni chuki ya watz kwa ccm ya sa100 ...hivyo wanaweza wakakikubali chadema kwa kukosa mbadala

CHADEMA haijaanza kipindi Cha Samiah au Magufuli. Mmeanza kuijua siasa leo?. CHADEMA ipo tangu enzi za mwinyi, mkapa na kikwete. Viongozi wote watapita ila CHADEMA itabaki.
 
Hata chadema yenyewe imeanza kuweweseka baada ya zuio maana sasa ni lazima waende front kupigana na marehemu jpm ...samia kawatega baada ya kugundua kuwa hata yeye amwezi marehemu na ukicheza na marehemu unaweza kuumbuka vibaya sana

Mbona unalazimisha CHADEMA wapambane na Marehemu.
 
Mawazo yako usilazimishe kwa wananchi. Wawazoom CHADEMA halafu CCM ya mafisadi ndio waikubali. Wajzoom CHADEMA wakati bunge limejaa CCM ?. Punguza speculations.
Siasa ni watu na watu washapoteza imani nanyi pale mlipokuwa mnapinga juhudi za serikali kupambana na wezi, wazembe na mafisadi mkamwita dictotor sasa mwananchi gani anaweza waamin ninyi kuwa mtaweza kupambana na hayo mambo.
 
Watu wanahangaika sana na swala la mikutano ya siasa kurudi baada ya katiba kuvunjwa kwa kuisimamisha. CCM inangoza kwa kuvunja katiba.
Wanafurahia fadhila ambayo ni haki yao ya kikatiba
 
Sio aliwaogopa CHADEMA bali CHADEMA walikuwa na upuuzi mwingi ambao Magufuli hakuwa na muda wa kujibizana nao, lakini alikuwa anajua kuwa akiwaacha waendelee na upuuzi wao watayumbisha nchi, maana kutakuwa na sauti nyingi zinaongea halafu hakuna cha maana haswa wanachoongea zaidi ya kusambaza nongwa tu dhidi ya serikali.

Kumbuka CHADEMA ndo enzi za uhuru wao wa kupiga domo wakati wowote walikuwa na orodha ya mafisadi ambayo Lowassa alikuwemo, halafu baada wakaja kutuambia kuwa Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania.

Sasa hao kama sio wapuuzi ni nani?

Lazima uelewe Magufuli aliambulia asilimia 58 ya kura zote 2015, hivyo CHADEMA walibakiza adilimia 8 tu waifikue CCM . Kwa kuogopa influence ya CHADEMA ikabidi azuie mikutano na kuanza kununua wabunge.

Angekuwa sio muoga angeacha CHADEMA waendelee na mikutano yeye afanye ya kwake. Mtu muoga mpaka anazima mtandao wa internet ili aibe kura vizuri na kuintimudate vyombo vya habari.
 
chadema inasumbuliwa na polisi na mahakama kwa kufanya fujo na kutenda kosa kinyume na sheria wanajiona wao wana haki kuliko vyama vingine ndio maana walikuwa wanasumbuliwa na kuwekwa ndani . ccm haijafanya maisha yapande ,ccm haijaleta maisha magumu kwa mtanzania ,ccm ni chama bora sana tanzania ,ccm ni chama kama chama, kinachoiharibia ccm ni mtu au kundi la watu na hao ndio wanapaswa kulaumiwa sio chama, ccm wapo wanachama wengi sana na wazuri sana, wakichaguliwa na kuongoza nchi njaa na ugumu wa maisha utaisha, angalialia ccm hiyohiyo wakati wa nyerere,na wakati wa mwinyi ,na wakati wa mkapa ,na wakati wa kikwete ,na wakati wa jpm ,na wakati wa mama samia,utaona kila rais anayekuja chama kina badilika na nchi inabadika tabia.ccm ya nyerere na makufuli ndio ilikuwa ccm na maisha yalienda vizuri, ni kiongozi tu katika chama ndio wakuangaliwa sana je ana weledi rudi kasikilize hutuba ya nyerere ya kuchagua viongozi ni yupi bora. ila ccm itaendelea kutawa nchi hii miaka mingi sana, chadema katika uchaguzi wa kila miaka mitano mtakuwa nyuma, kama ligi ya mpira timu zinazokaa kwenye ligi hazishuki daraja ila nia yao wawepo kwenye ligi ila hawategemei kuwa klabu bingwa
Mwandiko mbovu unaakisi uwezo wako mdogo kiakili, rudi shule kwanza ukajifunze namna ya kuandika kwa ufasaha labda baada ya hapo ndiyo utakuwa na uwezo wa kushikiri kwenye mijadala ambayo kwa sasa hauna uwezo nayo.
 
Chadema ilikuwepo ila sasa haipo, watanzania hawana imani na chadema washajua ni
vibaraka wa mabeberu na awamu hii na wao lao ni moja kulamba asali.

Mabeberu gani? Wanaoidai nchi Trilioni 92?. CCM mnakopa kwa mabeberu mpaka kero
 
Ninamaana kuenzi mazuriyake sababu nimengi kuliko mabaya.

We fuata mazuri achana na mabaya sababu mabaya hatawewe unayo ya kukutosha tu.
Kila kiongozi ana mazuri yake, wao ni bora wakajikita kwenye sera zao bila kukopi ya mtu yoyote.
 
Chadema ilikuwepo ila sasa haipo, watanzania hawana imani na chadema washajua ni
vibaraka wa mabeberu na awamu hii na wao lao ni moja kulamba asali.

Hivi serikali ya CCM inayodaiwa Trilioni 92 na mabeberu unaiongeleje?.
 
Hata chadema yenyewe imeanza kuweweseka baada ya zuio maana sasa ni lazima waende front kupigana na marehemu jpm ...samia kawatega baada ya kugundua kuwa hata yeye amwezi marehemu na ukicheza na marehemu unaweza kuumbuka vibaya sana
alipokuwa anapumua alishindwa kuiua kafa yeye! Unaleta
vichekesha
 
Naunga mkono hoja haswa kwa kuzingatia Tanzania tuna chama kweli cha siasa ni kimoja tuu ambapo pia ni chama dola, CCM, kimezingukwa na vyama uchwala 4, Chadema, ACT Wazalendo, NCCR Mageuzi na CUF, na vyama makapuku 14 ambayo vipo tuu kwenye daftari la Msajili lakini havina ofisi, havina diwani, wala mbunge hata mmoja na havipati Suzuki hata senti moja!.

Kiukweli JPM sio tuu aliinyoosha nchi... Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo na Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..? na
The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja na Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
P
Kwa bahati mbaya pamoja na jitihada zenu zote na huyo JPM wenu bado havikufa akafa yeye. Unadhani kama alibaki peke yake na chama chake kama wasemaji na wa kusifiwa nchini wakashindwa kuviua hivyo ulivyovitaja kama vyama uchwala, kwa sasa kunajambo la kuvifanya vife. Mayala a.k.a Njaa, acha njaa zako brother unajidhalilisha , badala ya kutafuta kula kwa kujidhalikisha njoo huku shambani ulime tutakupa mashamba njaa yako itaisha na utabaki na heshima yako.
 
Kweli kabisa. Kawafungia kufanya siasa, kanunua wabunge, kaengua wabunge, lakini wapi? Ikabidi azime internet kwa wiki mbili wakati wa kupiga kura 2020 lakin wapi. Lissu kamkimbiza kana kwamba hakufanya kitu ikabidi afe tu.
Tena wale senior wa ccm ndiyo wanajua vizuri achana na hawa wanafumaniwa na kuuawa kama fungo kipindi cha kampeni 2020 magufuli alifumuliwa na Lissu hadi akaanza kuugua kuna watu walimdanganya kwamba Lissu hawezi kusimama lakini vibe is Lissu hata huko aliko bado analikumbuka maana ilipelekea msobemsobe ikabidi wakataze helicopter za chadema kuruka kuna vibe la Lissu kule TUNDUMA ikabidi urushaji drone za picha na video zisitishwe, mara mabango ya Lissu hayaruhusiwi lakini yale mengine yalibandikwa hadi kwa shetani mara mikutano ya chadema inasambaratishwa hakika 2020 ccm haitasahau ikabidi ifanye ujambazi lakini ukweli walitepeta
 
Hata chadema yenyewe imeanza kuweweseka baada ya zuio maana sasa ni lazima waende front kupigana na marehemu jpm ...samia kawatega baada ya kugundua kuwa hata yeye amwezi marehemu na ukicheza na marehemu unaweza kuumbuka vibaya sana
Wewe ni mpumbavu unaetishwa na marehemu na huo upumbavu uishie huko kweny ukoo wenu yaani mtu mzima halafu unaitwa baba unamsujudia na kumuogopa marehemu ni ukosefu wa uoga hata mbele za Mungu
 
Hakuna cha maana kitakachopatikana kwa kuruhusu kampeni zisizokwisha. Kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani ni sawa na kuruhusu kampeni zisizokwisha.

Chama tawala kitajikuta kinapoteza muda wa kutawala na kutekeleza ilani yake kulumbana na watu ambao hawakuchaguliwa.
Hiyo ni kazi ya msemaji wa chama. Wengine wafanye majukumu mengine

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom