Ruhusa ya mikutano ya kisiasa ni pigo kwa vyama uchwara

Ruhusa ya mikutano ya kisiasa ni pigo kwa vyama uchwara

Naunga mkono hoja haswa kwa kuzingatia Tanzania tuna chama kweli cha siasa ni kimoja tuu ambapo pia ni chama dola, CCM, kimezingukwa na vyama uchwala 4, Chadema, ACT Wazalendo, NCCR Mageuzi na CUF, na vyama makapuku 14 ambayo vipo tuu kwenye daftari la Msajili lakini havina ofisi, havina diwani, wala mbunge hata mmoja na havipati Suzuki hata senti moja!.

Kiukweli JPM sio tuu aliinyoosha nchi... Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo na Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..? na
The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja na Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
P
Ukiona mtu hapa Tanzania anaita Chadema chama uchwala ujue hana ajualo kuhusu siasa za nchi hii, lakini kama huyu mtu ni mwanasiasa basi ujue huyo ni TAPELI MSAKA TONGE.
Chama uchwala kinaweza kumdrive mkuu wa nchi hadi akalazimika kufuata mawazo yao na akapingana na chama chake kinavyotaka?
Pascal usitake nawe tukuite Tapeli msaka tonge bure!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kuna vyama mandonga hata hawana ubavu wa kufanya mikutano ila walijifunika wenyewe kwenye zuio la kufanya mikutano!
Wanaombea zuio liendelee...
 
Salaam wana jf.baada ya rais Dr Samia suluhu Hassan kutengua zuio la mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa ,nikama kufunga dirisha lakuingiza hewa Safi ndani ya taifa.

Nimeona watu wakifurahia sana Jambo hili si wana siasa tu hata wasiokua wanasiasa pia. Lakini kwa upande wa pili hili ni pigo kubwa sana kwa wanasiasa uchwara na vyama vyao, kwao hili nipigo kwakua hii nafasi inaenda kuonyesha rangi halisi ya vyama vyao.

~ Je, ni ipi ajenda yao kwa Watanzania?
~ Ni kwa kiasi gani wana kubalika na watanzania?
~ Ni maeneo gani wanayokubalika?
~ Ni kwanini yawe maeneo hayo tu?

Kupitia maswali na sababu hizo hapo juu naliona anguko la vyama uchwara vingi sana, maana kushawishi watu waache shughuli zao waje wahudhurie mikutano yako ya hadhara sio jambo dogo kwenye siasa; na hicho ndio kipimo halisi cha namna unavyokubalika na jammii.

Nawatakia kila la kheri ya Mwaka Mpya 2023 wenye mambo mapya ya kisiasa na maendeleo.

Ni vyama vipi unaona vinaweza kuwa vya kwanza kupotea kwenye ulingo wa siasa?

Nawasiliana.
Kile cha Nzee ya Buguruni, na kilichokuwa cha mzee wa kirwa vunjo.
 
Ukiona mtu hapa Tanzania anaita Chadema chama uchwala ujue hana ajualo kuhusu siasa za nchi hii, lakini kama huyu mtu ni mwanasiasa basi ujue huyo ni TAPELI MSAKA TONGE.
Chama uchwala kinaweza kumdrive mkuu wa nchi hadi akalazimika kufuata mawazo yao na akapingana na chama chake kinavyotaka?
Pascal usitake nawe tukuite Tapeli msaka tonge bure!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
P anasaka kwa maslahi yake,ila anajificha kwa maslahi ya taifa.
 
Hakuna cha maana kitakachopatikana kwa kuruhusu kampeni zisizokwisha. Kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani ni sawa na kuruhusu kampeni zisizokwisha.

Chama tawala kitajikuta kinapoteza muda wa kutawala na kutekeleza ilani yake kulumbana na watu ambao hawakuchaguliwa.
Kumbe hujui punda bila bakora haendi??
Mikutano ni kioo cha Watawala
 
Kumbe hujui punda bila bakora haendi??
Mikutano ni kioo cha Watawala
Ndo maana kuna kipindi cha kampeni. Jiandae ukifika wakati wa kampeni tembeza bakora zako. Kama kuna la maana basi iwe ni kuongeza muda wa kampeni kutoka miezi mitatu tuliyozoea iwe hata karibia mwaka mmoja. Yaani ule mwaka wa uchaguzi kampeni ziruhusiwe kuanzia mwezi Januari, badala ya sasa hivi ambapo huwa zinaanza mwezi Julai.
 
ACT na wenzake wameshapotea.

Chadema wata ng'aa kama wataheshimu na kuenzi kazi za hayati Magufuli.

Kinyume na hapo watapotea infinity.

Zingatia maneno yangu.
Kuenzi dictatorship, extortion na kauli za kuudhi za "mimi sijaleta tetemeko"? au kuenzi kitu gani?
 
Hakuna cha maana kitakachopatikana kwa kuruhusu kampeni zisizokwisha. Kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani ni sawa na kuruhusu kampeni zisizokwisha.

Chama tawala kitajikuta kinapoteza muda wa kutawala na kutekeleza ilani yake kulumbana na watu ambao hawakuchaguliwa.
Kwani wanaccm walichaguliwa na wananchi au na Neck na policcm?
 
Ndo maana kuna kipindi cha kampeni. Jiandae ukifika wakati wa kampeni tembeza bakora zako. Kama kuna la maana basi iwe ni kuongeza muda wa kampeni kutoka miezi mitatu tuliyozoea iwe hata karibia mwaka mmoja. Yaani ule mwaka wa uchaguzi kampeni ziruhusiwe kuanzia mwezi Januari, badala ya sasa hivi ambapo huwa zinaanza mwezi Julai.
Sgang group bado hamkomi tu.
 
Hakuna cha maana kitakachopatikana kwa kuruhusu kampeni zisizokwisha. Kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani ni sawa na kuruhusu kampeni zisizokwisha.

Chama tawala kitajikuta kinapoteza muda wa kutawala na kutekeleza ilani yake kulumbana na watu ambao hawakuchaguliwa.

Kwani CCM wamechaguliwa na nani boss?
 
Naunga mkono hoja haswa kwa kuzingatia Tanzania tuna chama kweli cha siasa ni kimoja tuu ambapo pia ni chama dola, CCM, kimezingukwa na vyama uchwala 4, Chadema, ACT Wazalendo, NCCR Mageuzi na CUF, na vyama makapuku 14 ambayo vipo tuu kwenye daftari la Msajili lakini havina ofisi, havina diwani, wala mbunge hata mmoja na havipati Suzuki hata senti moja!.

Kiukweli JPM sio tuu aliinyoosha nchi... Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo na Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..? na
The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja na Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
P

CCM sio chama cha siasa boss, bali ni kikundi cha dola kilichojivika koti la chama cha siasa.
 
Hakuna cha maana kitakachopatikana kwa kuruhusu kampeni zisizokwisha. Kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani ni sawa na kuruhusu kampeni zisizokwisha.

Chama tawala kitajikuta kinapoteza muda wa kutawala na kutekeleza ilani yake kulumbana na watu ambao hawakuchaguliwa.
Magufilification. Kweli akili alizikwa nazo Marehemu.
 
Sio uchwala ni uchwara. Unajifanya kuidharau CHADEMA lakini ndio chama kilichoshambuliwa na mahakama, bunge na serikali. Katafute sababu za Mikutano kuzuiliwa ndio ulete dharau zako hapa. Wewe uwezo wa kukonvince wajumbe huna unaambulia kura moja, ila dharau zimekujaa.

Vingekuwa vyama uchwara mikutano isingepigwa marufuku. Hiyo CCM unayoiabudu Ina lipi la maaana. Mfumuko wa Bei, Hali ngumu ya kiuchumi, rushwa, Deni la njee kuongezeka, nk. Punguza dharau
Achana na Huyo anazeeka na matumaini ya teuzi.
 
Hizo zote ni sera za CCM. Pakua na usome ilani ya CCM ya 2015-2020.

Tena Magufuli mzee wa kanda ya ziwa, Geita kwenye dhahabu unadhani anahitaji kufundishwa na CHADEMA kuhusu sera ya madini?

CHADEMA wao ndo walitisha kwa kumsimamisha Lowassa, ambaye walishamtangaza katika List of Shame kuwa ni fisadi, kugombea uraisi.

CCM haikuwa na sera, bali kwenye ilani yao waliorodhesha kila hitaji la mwanadamu, ili ikitokea wamefanikiwa kufanya jambo fulani waseme wametekeleza ilani yao. Lakini kiukweli list ya mahitaji ya binadamu kwenye ilani yao hawajatekeleza hata 30% ya orodha yao.

Nijuavyo mimi ilani unaweka mambo kadhaa kisha unatekeleza kwa nguvu. Wanachofanya CCM hata waliongia madarakani kwa kupindua nchi hufanya.

Halafu inaonekana hujui sera ni nini, ndio maana unachanganya kati ya sera na ilani. Hili sio tatizo lako tu, bali ni la watu wengi ikiwemo viongozi tena wa ngazi za juu. Jitahidi upate kamusi ya kiswahili ujue sera ni nini, na ilani ni nini kisha uje tuendelee na mjadala.
 
Hakuna cha maana kitakachopatikana kwa kuruhusu kampeni zisizokwisha. Kuruhusu mikutano ya vyama vya upinzani ni sawa na kuruhusu kampeni zisizokwisha.

Chama tawala kitajikuta kinapoteza muda wa kutawala na kutekeleza ilani yake kulumbana na watu ambao hawakuchaguliwa.
Hakuna mwanafalsafa mwenye mawazo na akili ndogo kama zakwako.
 
Pitia hii video utaelewa zaidi.



Mfumo wa pesa za kutoka hewani ndo unasababisha hayo. Pesa za hewani zina shida moja, kila noti inayochapishwa ni deni. Noti ya Tshs. 10,000/- ni deni la Tshs. 10,000/-.

Ni mpaka tutakapoamua kutumia pesa za asili ndo tutamaliza deni la taifa na mfumuko wa bei.

Nini pesa za Asili !! Bata system ? Tatizo sio deni ! Tatizo ni pesa zinazokopwa zinatumikaje ? Hilo ndio tatizo kuu Mkuu !! Na watu wana macho wanaona !!
 
Hizo zote ni sera za CCM. Pakua na usome ilani ya CCM ya 2015-2020.

Tena Magufuli mzee wa kanda ya ziwa, Geita kwenye dhahabu unadhani anahitaji kufundishwa na CHADEMA kuhusu sera ya madini?

CHADEMA wao ndo walitisha kwa kumsimamisha Lowassa, ambaye walishamtangaza katika List of Shame kuwa ni fisadi, kugombea uraisi.
Wauzaji wakuu wa Tanzanite duniani ni India, Afrika ya Kusini na Kenya. Hawawezi kutoa somo kwa Tanzania?
 
Lowassa kuondoka CHADEMA ni aibu kubwa sana kwa CHADEMA. Yaani amewafanya kama kademu ka kukojolea tu. Kaja kawalambisha matapishi yenu halafu huyo akasepa.

Aibu gani?. Mnamwita mtu fisadi halafu mnampokea CCM na kumpa mtoto wake ubunge.
 
Back
Top Bottom