Mshana wewe ni mtu mkubwa sana kumjibu huyo kunguni we subiri chadema ianze kazi hilo vibe lake we subiri maana hata ACT imeonekana sababu chadema ilinyamazishwa sasa subiri watu waingie kaziniHilo zuio liliihusu CHADEMA ndio maana mengine yote yaliyofanyika bila CHADEMA kushiriki hayakuwa na impact yoyote!
Unapoizungumzia CHADEMA unazungumzia upinzani Tanzania kinyume chake the rest ni porojo tu za vigenge vya wachumia tumbo
P.Naunga mkono hoja haswa kwa kuzingatia Tanzania tuna chama kweli cha siasa ni kimoja tuu ambapo pia ni chama dola, CCM, kimezingukwa na vyama uchwala 4, Chadema, ACT Wazalendo, NCCR Mageuzi na CUF, na vyama makapuku 14 ambayo vipo tuu kwenye daftari la Msajili lakini havina ofisi, havina diwani, wala mbunge hata mmoja na havipati Suzuki hata senti moja!.
Kiukweli JPM sio tuu aliinyoosha nchi... Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo na Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..? na
The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja na Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
P
Kama ni kichekesho muulize dj mbowealipokuwa anapumua alishindwa kuiua kafa yeye! Unaleta
vichekesha
Chadema na ccm ya sa100 ndiyo inayo muogopa marehemu ....tatizo wewe ni zuzu hivyo hata kuelewa nilicho andika ni vigumuWewe ni mpumbavu unaetishwa na marehemu na huo upumbavu uishie huko kweny ukoo wenu yaani mtu mzima halafu unaitwa baba unamsujudia na kumuogopa marehemu ni ukosefu wa uoga hata mbele za Mungu
Toka lini ukawa mshauri wa CDM??Kama wasipozingatia nilicho andika hapo hata uwepowao utakuwa kama ACT tu.
Na ndivyo itakavyokuwa !!Wetulia tu kwenye uchaguzi watapiga V-turn, sio U- turn sababu wataona wanachelewa.
Watalazimika kwenda na falsafa za Magufuli kulingana na upepo ulivyo kwa kupenda ama vyovyote.
Duh !! Hatar sana !Kweli kabisa. Kawafungia kufanya siasa, kanunua wabunge, kaengua wabunge, lakini wapi? Ikabidi azime internet kwa wiki mbili wakati wa kupiga kura 2020 lakin wapi. Lissu kamkimbiza kana kwamba hakufanya kitu ikabidi afe tu.
Sio rahisi kiivyo.Hiyo ni kazi ya msemaji wa chama. Wengine wafanye majukumu mengine
Huna hoja.Katawaze kwanza ndo uje kuandika vizuri
Hapo U- Turn ya nguvu inahitajika ! Lakini inaaminika kwamba katika siasa hata wiki moja tu ni nyingi sana na inaweza ikabadilisha hali ya hewa !!Siasa ni watu na watu washapoteza imani nanyi pale mlipokuwa mnapinga juhudi za serikali kupambana na wezi, wazembe na mafisadi mkamwita dictotor sasa mwananchi gani anaweza waamin ninyi kuwa mtaweza kupambana na hayo mambo.
Kwanza nadhani hujanisoma vizuri.Bei ya umeme au chakula ipo juu ikicompare na wakati gani au awamu gani yaani JPM haepukiki mkuu whether you love him or not.
Haepukiki kivipi mkuu, aje ajibu hoja au atusaidie kushusha Bei?Bei ya umeme au chakula ipo juu ikicompare na wakati gani au awamu gani yaani JPM haepukiki mkuu whether you love him or not.
Unataka kuwatumia chadema Kwa maslahi yenu binafsiACT na wenzake wameshapotea.
Chadema wata ng'aa kama wataheshimu na kuenzi kazi za hayati Magufuli.
Kinyume na hapo watapotea infinity.
Zingatia maneno yangu.
Ukubwa ilionao ni huu inaouonesha, kufuta mikutano ya siasa na vyama kukubali; kuirejesha mikutano ya siasa na vyama kushangilia. Wanachezeshwa ngoma ya CCMNa ndio maana CCM ikaviogopa na kufuta mikutano ya siasa. Msiipe ccm ukubwa usiokuwa wake.
Vipi mmeanza kumwogopa marehemu tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mm nilijua sasa lazima mkapinge hata bwawa la umeme na ndege alizo nunua na flyover alizo jenga maana mlisema watu awali flyover[emoji1787]Mbona unalazimisha CHADEMA wapambane na Marehemu.