njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Mazafaka kabisa hao watoto wanakosa gani? Blaaaadfuli kontawa bangladesh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo haifai ndugu yangu, tusitengeneze jamii yenye kuchukiana kwa sababu ya itikadi za kisasa. Huyu anataka kutuletea aina hii ya siasa anatakiwa kukemewa kwa nguvu zote. Siasa ni sera tu na tuifanye kama burudani tuzipatazo kwenye timu za Kariakoo (kushinda ama kushindwa hakuondoi urafiki na undugu)Wamemwaga mboga tu mwage ugali
Kikwazo wakati ndio walio kufundisha !? Wewe pia ni kikwazo maana hujui unacho ongea , mwalimu hakusanyi kodi sasa anakwamishaje maendeleo unaufahamu mzuri wa mambo kweli wewe!Walimu wengi wa hii nchi ni kikwazo cha Maendeleo! Siwapendi !
DC kilaza aliyenunuliwa na jiwe Toka cdm!There is no such idiot to expell innocent students.
Kuna maagizo kutoka juu, wanajaribu kumlinda mpumbavu mmoja, either DC au Mkurugenzi mwenyewe, but most likely DC
Napendekeza Mwalimu mkuu huyo na DC aliyemtuma kufanya upumbavu huo wote waadhibiwe na wahamishwe huko kwani chuki waliyoonyesha ni kubwa na watakuwa na visasi na watoto hao.Hii Nchi unaweza kudhani haipo duniani, Yaani ni Nchi iliyojaa Ujinga usiomithilika.
Hebu soma hii
View attachment 3169651View attachment 3169653
Yanayofanyika yamemfanya hata Mwovu Shetani kushika kiuno kwa mshangao.
Nashauri Wazazi wa watoto wawahamishe shule hiyo na naiagiza Chadema Kanda ya Nyasa kusimamia mchakato huo haraka, Iko siku Watoto wa Wanachama wa Chadema watapewa Sumu kwenye Chakula cha shule hiyo.
Huyu maza ana roho mbaya sanaJumba bovu anaangushiwa mwalimu hapo lakini kiuhalisia hayo ni maelekezo kutoka kwa Samia chura kiziwi wa zenji
Mwalimu ahamishwe na huyo DC atenguliwe .Hao wanafunzi walindwe.
Maana huyo Ticha ana kinyongo dhidi yao tayari..
Kuwasimamisha na kuwaambia watafute shule nyingine si ndio kuwafukuza huko?Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nkasi, Afraha Hassan amesema waliokumbwa na kadhia hiyo walikuwa tisa na tayari wamewarudisha.Pia, Soma:
Taarifa hiyo ya Mkurugenzi imetolewa leo Alhamisi Desemba 5, 2024, imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi hao haukufuata utaratibu wa miongozo ya wizara. Aidha wanafunzi waliosimamishwa shule hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu,” amesema.
Akitaja hatua walizochukua Hassan amesema: “Wanafunzi wote tisa (9) waliosimamishwa shule wamerejeshwa shuleni bila masharti yoyote. Hatua za kiutawala na uongozi dhidi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo zitachukuliwa pindi uchunguzi unaoendelea utapokamilika.”
Mapema leo asubuhi, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda aliagiza timu ya wataalamu udhibiti ubora kwenda kuchunguza taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo Nkasi Kusini kufukuzwa shule kwa madai ya wazazi wao kuiunga mkono Chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
Huyo fara sasa huko sindiyo kufukuzwa shule ?Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nkasi, Afraha Hassan amesema waliokumbwa na kadhia hiyo walikuwa tisa na tayari wamewarudisha.Pia, Soma:
Taarifa hiyo ya Mkurugenzi imetolewa leo Alhamisi Desemba 5, 2024, imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi hao haukufuata utaratibu wa miongozo ya wizara. Aidha wanafunzi waliosimamishwa shule hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu,” amesema.
Akitaja hatua walizochukua Hassan amesema: “Wanafunzi wote tisa (9) waliosimamishwa shule wamerejeshwa shuleni bila masharti yoyote. Hatua za kiutawala na uongozi dhidi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo zitachukuliwa pindi uchunguzi unaoendelea utapokamilika.”
Mapema leo asubuhi, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda aliagiza timu ya wataalamu udhibiti ubora kwenda kuchunguza taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo Nkasi Kusini kufukuzwa shule kwa madai ya wazazi wao kuiunga mkono Chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
Hao wanatakiwa kufutwa kabisa kwenye serikali na siasa wasiruhusiwe kuwa wanasiasa wala wafanyakazi wa serikali....Napendekeza Mwalimu mkuu huyo na DC aliyemtuma kufanya upumbavu huo wote waadhibiwe na wahamishwe huko kwani chuki waliyoonyesha ni kubwa na watakuwa na visasi na watoto hao.