Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu njumu za kosovo kumbe upo jamvini au mimi ndio nimekua adimu alaaa salaleee!Mazafaka kabisa hao watoto wanakosa gani? Blaaaadfuli kontawa bangladesh
Nyinyi wapumbavu si mlinibishia nilipo wa ambia ...yote niliyo waambia kuhusu samia bushiri na wahuni wenzake yanatimia .....tz hakuna wapinzani wa kisiasa bali kuna kundi la wahuni wanao jinasibu kuwa wapinzani ...Samia ukimuona unaweza sema sio yeye anayefanya huu ujinga
Hii haijaa kama sawaHii Nchi unaweza kudhani haipo duniani, Yaani ni Nchi iliyojaa Ujinga usiomithilika.
Hebu soma hii
View attachment 3169651View attachment 3169653
Yanayofanyika yamemfanya hata Mwovu Shetani kushika kiuno kwa mshangao.
Nashauri Wazazi wa watoto wawahamishe shule hiyo na naiagiza Chadema Kanda ya Nyasa kusimamia mchakato huo haraka, Iko siku Watoto wa Wanachama wa Chadema watapewa Sumu kwenye Chakula cha shule hiyo.
Inabidi aondolewe hiyo shule kabisa.Hao wanafunzi walindwe.
Maana huyo Ticha ana kinyongo dhidi yao tayari..
Inasikitisha sanaWanataka kuleta mambo ya Zanzibar, kule wakikugundua ni mpinzani sahau kuhusu kuajiriwa na SMZ Kuna vijana wanateseka sana kule kisa itikadi za kisiasa za wazazi wao
Walikuwepo ila ni kama walikuwa off kidogo.nchi imekua na watu wa hovyo sana
....so sad!Walikuwepo ila ni kama walikuwa off kidogo.
Kuhukumu kwa kusikiliza upande mmoja nao ni ujinga mkubwa sana nimesoma barua ya mwl mkuu nasubiri nisikie walicho sema hao wazazi wa hao watoto ili nipate cha kuchangiaElimu yetu iko hatarini. kuwa mwalimu itabidi a bar iwe raised juu sana.
Otherwise kama hawa ndio walimu, future ya nchi iko at risk
Hiyo maneno anza kuishauri serikali inayo teka wapinzaniHiyo haifai ndugu yangu, tusitengeneze jamii yenye kuchukiana kwa sababu ya itikadi za kisasa. Huyu anataka kutuletea aina hii ya siasa anatakiwa kukemewa kwa nguvu zote. Siasa ni sera tu na tuifanye kama burudani tuzipatazo kwenye timu za Kariakoo (kushinda ama kushindwa hakuondoi urafiki na undugu)
Tatizo la kuendekeza uccm na uchawa. Na bado, huko tunakoelekea tutazalisha intarahamwe. Leo hii, viongozi wanakosa ubunifu na namna bora ya kimuhudumia Mtanzania badala yake, wakurugenzi, MaDAS, ma DC, MaRAS na MaRC wote akili zao zimejikita kuhakikisha namna CCM ina shinda Kwa kishindo maeneo yao. Na hicho eti ndo kipimo Cha kuonekana anatenda kazi Ili ateuliwe tena. Very pathetic.Hii Nchi unaweza kudhani haipo duniani, Yaani ni Nchi iliyojaa Ujinga usiomithilika.
Hebu soma hii
View attachment 3169651View attachment 3169653
Yanayofanyika yamemfanya hata Mwovu Shetani kushika kiuno kwa mshangao.
Nashauri Wazazi wa watoto wawahamishe shule hiyo na naiagiza Chadema Kanda ya Nyasa kusimamia mchakato huo haraka, Iko siku Watoto wa Wanachama wa Chadema watapewa Sumu kwenye Chakula cha shule hiyo.
Walimu si kikwazo bali kanuni za utumishi zinawataka wafuate amri ya mkuu wao, vinginevyo acha kazi.Walimu wengi wa hii nchi ni kikwazo cha Maendeleo! Siwapendi !
Wazazi wasingelalamika humu walah ndo ingekuwa imetoka hiyo.Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nkasi, Afraha Hassan amesema waliokumbwa na kadhia hiyo walikuwa tisa na tayari wamewarudisha.Pia, Soma:
Taarifa hiyo ya Mkurugenzi imetolewa leo Alhamisi Desemba 5, 2024, imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi hao haukufuata utaratibu wa miongozo ya wizara. Aidha wanafunzi waliosimamishwa shule hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu,” amesema.
Akitaja hatua walizochukua Hassan amesema: “Wanafunzi wote tisa (9) waliosimamishwa shule wamerejeshwa shuleni bila masharti yoyote. Hatua za kiutawala na uongozi dhidi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo zitachukuliwa pindi uchunguzi unaoendelea utapokamilika.”
Mapema leo asubuhi, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda aliagiza timu ya wataalamu udhibiti ubora kwenda kuchunguza taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo Nkasi Kusini kufukuzwa shule kwa madai ya wazazi wao kuiunga mkono Chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.