Rukwa: Wanafunzi waliofukuzwa shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA, warudishwa shuleni

Wamemwaga mboga tu mwage ugali
Hiyo haifai ndugu yangu, tusitengeneze jamii yenye kuchukiana kwa sababu ya itikadi za kisasa. Huyu anataka kutuletea aina hii ya siasa anatakiwa kukemewa kwa nguvu zote. Siasa ni sera tu na tuifanye kama burudani tuzipatazo kwenye timu za Kariakoo (kushinda ama kushindwa hakuondoi urafiki na undugu)
 
Walimu wengi wa hii nchi ni kikwazo cha Maendeleo! Siwapendi !
Kikwazo wakati ndio walio kufundisha !? Wewe pia ni kikwazo maana hujui unacho ongea , mwalimu hakusanyi kodi sasa anakwamishaje maendeleo unaufahamu mzuri wa mambo kweli wewe!
 
Napendekeza Mwalimu mkuu huyo na DC aliyemtuma kufanya upumbavu huo wote waadhibiwe na wahamishwe huko kwani chuki waliyoonyesha ni kubwa na watakuwa na visasi na watoto hao.
 
Wawafukuze tu. Raia tungejichanga na kuwasomesha shule nzuri zaidi. Kenge nyie ccm
 
Uchunguzi upi sasa? Shule walisimamishwa, sababu mkaijua, mkaona haina mashiko, mkawarudisha sasa huo uchunguzi ni upi unaohitajika ili kuchukua hatua za kinidhamu kwa hao walimu?
 
Kuwasimamisha na kuwaambia watafute shule nyingine si ndio kuwafukuza huko?
 
Huyo fara sasa huko sindiyo kufukuzwa shule ?
 
Napendekeza Mwalimu mkuu huyo na DC aliyemtuma kufanya upumbavu huo wote waadhibiwe na wahamishwe huko kwani chuki waliyoonyesha ni kubwa na watakuwa na visasi na watoto hao.
Hao wanatakiwa kufutwa kabisa kwenye serikali na siasa wasiruhusiwe kuwa wanasiasa wala wafanyakazi wa serikali....
 
Yaani TANZANIA hapa tumefika sasa sio pazuri kabisa tunauana Kila siku kisa ni siasa... Leo tena unaskia wanafunzi wamefukuzwa Kwa sababu wazazi wao ni CADEMA inasikitisha sana na inaogopesha na pia inaleta picha mbaya sana ya kule tunapoelekea kama nchi yaani viongozi wengi wa serikali wamekuwa mazombi serikali imekuwa kama Haina kichwa ...

Kikubwa ninachotaka nishauri hapa ni kuwaambia watawala yaani hwa vegetables wajitathini sana waheshimu katiba ya nchi wasivunje Sheria Kwa mabavu ya utawala huo ni upimbi na kukosa uzalendo wa kweli kwenye nchi Yako
 
Shida siyo mwalimu mkuu, shida ni mifumo ya utawala, jueni kwamba mwalimu ni mwajiriwa wa serikali. Kwa mfumo huu mkurugenzi ndio mwajiri, hivyo automatically mwalimu huyo hawezi kwenda kinyume na mwajiri wake ukizingatia haya utaona kwamba mkurugenzi anaweza kutoa maigizo hata kama yapo kinyume na Sheria atataka yatekelezwe na mwalimu hatoweza kuyapinga. Ukweli ni kwamba hata walimu Hawaipendi CCM nao wanahitaji kukombolewa kutoka kwenye makucha ya watawala
 
Wanatuona wajinga huyo mwalimu hatukumuajiri kwa ajili ya siasa ila kufundisha wanafunzi tu hajaajiriwa na ccm bali serikali/wanainchi walipakodi sio kuisemea cdm au ccm hio sio sahihi inatakiwa atuachie ofisi yetu
 
Samia ukimuona unaweza sema sio yeye anayefanya huu ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…