Rukwa: Wanafunzi waliofukuzwa shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA, warudishwa shuleni

Hapa haijanyooka. Huku taarifa inatuonesha kuwa mwalimu kakosea. Halafu kuna uchunguzi unaendelea. Mbona sasa ipo kama kesi ishahukumiwa? Ndiyo presha ya umma nini?

Muwafundishe makada wawe wanajipanga kabla hawajapiga tukio.
 
Anarudi kitaa kivipi...?? Haiko ivo ndg sana sana watamhamisha tu??? Wakiona vip.. vipi watakitoa cheo cha mwl mkuu... yupo ajirani huyoioo
 
Samia ukimuona unaweza sema sio yeye anayefanya huu ujinga
Nyinyi wapumbavu si mlinibishia nilipo wa ambia ...yote niliyo waambia kuhusu samia bushiri na wahuni wenzake yanatimia .....tz hakuna wapinzani wa kisiasa bali kuna kundi la wahuni wanao jinasibu kuwa wapinzani ...
 
Ki uhalisia ni kuwa .wazazi ndio walitengwa..Tunaanza baguana kidogo kidogo mwisho inakuwa sera ya nchi baadae 1994Rwanda
 
Aiseee bado tunasafari ndefu sana.ukweli ni kwamba walimu wanatumika vibaya sana
 
Hii haijaa kama sawa
 
Sasa ni Zamu ya kuwafukuza walio wafukuza wanafunzi hao.
 
Wanataka kuleta mambo ya Zanzibar, kule wakikugundua ni mpinzani sahau kuhusu kuajiriwa na SMZ Kuna vijana wanateseka sana kule kisa itikadi za kisiasa za wazazi wao
Inasikitisha sana
 
Elimu yetu iko hatarini. kuwa mwalimu itabidi a bar iwe raised juu sana.
Otherwise kama hawa ndio walimu, future ya nchi iko at risk
Kuhukumu kwa kusikiliza upande mmoja nao ni ujinga mkubwa sana nimesoma barua ya mwl mkuu nasubiri nisikie walicho sema hao wazazi wa hao watoto ili nipate cha kuchangia
 
Hiyo maneno anza kuishauri serikali inayo teka wapinzani
 
Jamaa anazidi kuwafanya walimu waonekane hamnazo
 
Tatizo la kuendekeza uccm na uchawa. Na bado, huko tunakoelekea tutazalisha intarahamwe. Leo hii, viongozi wanakosa ubunifu na namna bora ya kimuhudumia Mtanzania badala yake, wakurugenzi, MaDAS, ma DC, MaRAS na MaRC wote akili zao zimejikita kuhakikisha namna CCM ina shinda Kwa kishindo maeneo yao. Na hicho eti ndo kipimo Cha kuonekana anatenda kazi Ili ateuliwe tena. Very pathetic.

Na hayo yaliyo fanywa na mwalimu huyo asiye na elimu ni MATOKEO ya maelekezo, mipango na hujuma zinazofanywa na wakurugenzi, DAS, DC, RAS hadi maRC.

What a shameful and disgusting state our country has reached!!!!!!!!!!!
 
Walimu wapo mabarabarani na madishi ya nyanya huyo anaweza akawa utauweza uwalimu kweli. Jiandae mwezi ujao uanze kazi.
 
Wazazi wasingelalamika humu walah ndo ingekuwa imetoka hiyo.

Mkuu wa Wilaya naye achunguzwe maana kimya chake kwenye hili ni jibu tosha la uhusika wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…