Rukwa: Wanafunzi waliofukuzwa shule kisa wazazi wao kuwa CHADEMA, warudishwa shuleni

Tunaelekea pazuri hadi raha.

Huko vijijini wapinzani wanafanyiwa sana hizo mambo sema hawana pa kusemea. Hata hawa hii habari isingeenda mitandaoni hao watoto elimu kwao ndiyo ingekuwa basi tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…