Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Ni spacer.... Sio spenser.....Wanaweka spenser maisha yanasonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni spacer.... Sio spenser.....Wanaweka spenser maisha yanasonga
Ni spacer.... Sio spenser.....
Kakayake IST imeshindwa vibaya sanaTunasema ukweli tu hio Rumion itapita,kama bado haijapita ila IST bado haijapata mrithi maanake hata Ka new model kake hapa bongo kamefeli.
Kwamba IST ina body nzuri?Shida ya Rumion body structure mbovu
Ila ndani iko poa kuliko Ist na mwendo inatembea sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila hapo ndo walikobugiii muonekano wa nje hauvutiii
Kale nasikia ni bei mno mkuu, japo pia "inasemwa" kuwa kananusa wese kwa pua moja!Tunasema ukweli tu hio Rumion itapita,kama bado haijapita ila IST bado haijapata mrithi maanake hata Ka new model kake hapa bongo kamefeli.
Utofauti wake labda ukubwa tu wa nafaci ndani ila ma gages yake nayo yapo kati kati kama Ist tu.Ila ndani iko poa kuliko Ist na mwendo inatembea sana
Ka...Subaru Impreza kalijaribu, sijui kamefia wapiTunasema ukweli tu hio Rumion itapita,kama bado haijapita ila IST bado haijapata mrithi maanake hata Ka new model kake hapa bongo kamefeli.
Haka ka..IST uber kero yake kwangu mimi ni ile Dashboard na Trunk...yaan trunk yake vibegi vitatu tu kameshajaa..Ila kimsingi mie IST new model ndio naipenda kuliko hata haka ka IST Uber!
Dashboard ndio kitu kinakera na shape ya kile kidude!Haka ka..IST uber kero yake kwangu mimi ni ile Dashboard na Trunk...yaan trunk yake vibegi vitatu tu kameshajaa..
Na hivi ndio mama Samia kawapandisha mishahara watumishi wa umma,ndio zitajaa kitaa balaaHabari.
Hadi sasa TOYOTA hayupo nyuma katika kipenge chake cha kushika soko kwa aina fulani ya gari ambazo huwa nyingi kupita maelezo.
Kama ilivyokuwa zamani model nyingi zimepita ila kuna moja huwa kwa wingi hadi inafika mahali inakuwa kero.
Baada ya IST kuzagaa mjini kama mchanga, hatimaye mbadala wake amekuja kwa kasi nyingine ambazo ni hizi RUMION.
Ndani ya miezi michache tutaanza kuzisahau IST na RUMION ndio zitazungumzwa kama ilivyokuwa kipindi cha Vitz.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Kabla ya IST kulikuwa na Starlet GT ikaja Glanza ila kwa mrithi wa IST kuwa Rumion naona bado!
Ndio picha yake hii ya RUMION uliyoweka hapa mkuu?. Kama ni hii hii iko bomba mbayaaaaaaaHabari.
Hadi sasa TOYOTA hayupo nyuma katika kipenge chake cha kushika soko kwa aina fulani ya gari ambazo huwa nyingi kupita maelezo.
Kama ilivyokuwa zamani model nyingi zimepita ila kuna moja huwa kwa wingi hadi inafika mahali inakuwa kero.
Baada ya IST kuzagaa mjini kama mchanga, hatimaye mbadala wake amekuja kwa kasi nyingine ambazo ni hizi RUMION.
Ndani ya miezi michache tutaanza kuzisahau IST na RUMION ndio zitazungumzwa kama ilivyokuwa kipindi cha Vitz.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Kama utalinganisha body ya Rumion na IST, basi utaipenda IST. IST iko more stylish. Kwa ule muonekano wa Rumion, hapana kabisa, yaani utadhani mdudu, kiatu, kibox. Yaani Rumion ina muonekano fulani mbovu sana.Kwamba IST ina body nzuri?
Habari.
Hadi sasa TOYOTA hayupo nyuma katika kipenge chake cha kushika soko kwa aina fulani ya gari ambazo huwa nyingi kupita maelezo.
Kama ilivyokuwa zamani model nyingi zimepita ila kuna moja huwa kwa wingi hadi inafika mahali inakuwa kero.
Baada ya IST kuzagaa mjini kama mchanga, hatimaye mbadala wake amekuja kwa kasi nyingine ambazo ni hizi RUMION.
Ndani ya miezi michache tutaanza kuzisahau IST na RUMION ndio zitazungumzwa kama ilivyokuwa kipindi cha Vitz.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.