Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
- #81
Muonekano wa pug dog [emoji23][emoji23]Kwa ule muonekano wake [emoji848] utanisamehe tu kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muonekano wa pug dog [emoji23][emoji23]Kwa ule muonekano wake [emoji848] utanisamehe tu kweli
AmenBado najichangachanga ili angalau ifikapo december ya mwaka 2035 na mimi nimiliki ist yangu,inshaallah,Mungu ni mwema sana,naamini ataniwezesha kutimiza ndoto yangu.
Na Toyota Wish je?Usisahau kuna spacio new model, ziko nazo kibao
Haaaa haaa glanza kweli haifanani na tuvitu twa ajabu, najua vile unaiheshimu glanza mpaka kesho maana ndiyo Toyota pekee ilikua na ubavu wa kuzikalisha subaru na racing cars nyingiKabla ya IST kulikuwa na Starlet GT ikaja Glanza ila kwa mrithi wa IST kuwa Rumion naona bado!
Hii na glanza aisee hata wenye BMW na subaru tumewatesa sanaaaaa
Sana mkuu hii gari ilitesa sana enzi zakeHii na glanza aisee hata wenye BMW na subaru tumewatesa sanaaaaa
Ila watu wanazikimbilia kwa kiasi chake.Hizo gari hazina mvuto kabisa....
UnachekeshaHabari.
Hadi sasa TOYOTA hayupo nyuma katika kipenge chake cha kushika soko kwa aina fulani ya gari ambazo huwa nyingi kupita maelezo.
Kama ilivyokuwa zamani model nyingi zimepita ila kuna moja huwa kwa wingi hadi inafika mahali inakuwa kero.
Baada ya IST kuzagaa mjini kama mchanga, hatimaye mbadala wake amekuja kwa kasi nyingine ambazo ni hizi RUMION.
Ndani ya miezi michache tutaanza kuzisahau IST na RUMION ndio zitazungumzwa kama ilivyokuwa kipindi cha Vitz.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
View attachment 1835035
Premio zipo zenye injili ndogo kama 1.5L ya ISTMkuu Premio na ist ni vitu viwili tofauti hasa kwenye fuel consumption
Labda Ile yenye injini kubwa ila hii ya 1nz haiwezi izidi IST kama utaangalia body weight ratio ila yenye 2zr nakubali maana ni 1.8LIla ndani iko poa kuliko Ist na mwendo inatembea sana
Kwa gari ndogo rumion ni gari nzuri kuliko zote coz imekaa kiume and body yake ni kama honda cross road
Ww hata bodaboda hauna unaponda rumionMnazungumzia Rumion ipi... hiyo gari yenye umbo kama mkate?
-Kaveli-
Rumion imekaa kiume?? Gari inarembua inaonekana kabisa watu wanaaita njiwa maringo[emoji28]. Unazingua chief
Hii gari wangeifanya fully digital dashboard kama ilivyo Opa ingenoga sanaKitu cha RumiiiView attachment 1829786