Rumion ni aina ya gari inayoenda kuchukua nafasi ya IST kwa sasa

Na hivi ndio mama Samia kawapandisha mishahara watumishi wa umma,ndio zitajaa kitaa balaa
 
Ndio picha yake hii ya RUMION uliyoweka hapa mkuu?. Kama ni hii hii iko bomba mbayaaaaaaa
 
Mhh, haka kagar nilikakuta yard sku1..ni kakubwa ndan..na bei imechangamka kweli...ila sikapendi..kana umbo kama kitimoto..au kichwa cha mtoto bonge mwenye mashava kubwa...u know magari yanasura za watu eeh ..hahahah.jokn
 

Rumion hizi hizi zenye umbo kama jeneza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…