RUSHWA: Kijana aliyekuwa akiwalaghai na kuwatapeli Maofisa wa Jeshi la Polisi kwa ahadi za ajira akamatwa

RUSHWA: Kijana aliyekuwa akiwalaghai na kuwatapeli Maofisa wa Jeshi la Polisi kwa ahadi za ajira akamatwa

Polisi ndio watoaji na wapokeaji wakubwa na rushwa.

Kuna askari wa barabarani alikamatwa iringa akiwa na noti kwenye gari sijui iliisha vipi hii ishu.
 
Ni aibu ilitakiwa hao watoa rushwa nao wakamatwe ndio maisha yao hao Rushwa haitakuja kuisha kwa mfumo huo...
 
Back
Top Bottom