kikiboxer JF-Expert Member Joined Dec 22, 2017 Posts 3,668 Reaction score 9,809 Jun 22, 2022 #181 Polisi ndio watoaji na wapokeaji wakubwa na rushwa. Kuna askari wa barabarani alikamatwa iringa akiwa na noti kwenye gari sijui iliisha vipi hii ishu.
Polisi ndio watoaji na wapokeaji wakubwa na rushwa. Kuna askari wa barabarani alikamatwa iringa akiwa na noti kwenye gari sijui iliisha vipi hii ishu.
Michael mbano JF-Expert Member Joined Apr 4, 2022 Posts 820 Reaction score 570 Jun 23, 2022 #182 Good Father said: Umegundua hawa wazee ni weupe sana hakuna cha intelijensia wala nini[emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... duh!
Good Father said: Umegundua hawa wazee ni weupe sana hakuna cha intelijensia wala nini[emoji23][emoji23][emoji23] Click to expand... duh!
Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 17,080 Reaction score 33,076 Jun 23, 2022 #183 Ni aibu ilitakiwa hao watoa rushwa nao wakamatwe ndio maisha yao hao Rushwa haitakuja kuisha kwa mfumo huo...
Ni aibu ilitakiwa hao watoa rushwa nao wakamatwe ndio maisha yao hao Rushwa haitakuja kuisha kwa mfumo huo...
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Aug 17, 2022 #184 KANYAMA said: Mtuhumiwa lazima athibishe bila shaka yeyote mahakamani kwamba walimpa rushwa. It is not that easy Click to expand... Hela zenyewe za kutuma kwenye simu, sidhani kama ushahidi utakosekana
KANYAMA said: Mtuhumiwa lazima athibishe bila shaka yeyote mahakamani kwamba walimpa rushwa. It is not that easy Click to expand... Hela zenyewe za kutuma kwenye simu, sidhani kama ushahidi utakosekana