milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi na malaya tu mmoja hivi, bora hata hukusikilizaWakuu Huwa sipendi kuangalia mavideo clip ya Hawa wadada ,Huwa Nahisi wanaongea utumbo tu muda wote
Aliyezitazama anisaidie Kwa mistari miwili tu.
Video ya kwanza anasemaje.
Na ya pili anasemaje .
Sisi tumeiona hii video yake ya kwanza, hiyo ya pili hatujaiona, kwanza haifunguki, na hatutaki ifunguke na hatutaki mtu atusimulie inaongelea nini, halafu kwanza hata hsijachangamka kama hii ya kwanza.Huyu ni mtu mmoja, kauli tofauti ila kwa tofauti ya masaa!
Rushwa ina nguvu sana!
Huyu binti ndiye mtoa mada mwenyewe.Wakuu Huwa sipendi kuangalia mavideo clip ya Hawa wadada ,Huwa Nahisi wanaongea utumbo tu muda wote
Aliyezitazama anisaidie Kwa mistari miwili tu.
Video ya kwanza anasemaje.
Na ya pili anasemaje .
Haina shida mkuu mimi nitakusaidia.Wakuu Huwa sipendi kuangalia mavideo clip ya Hawa wadada ,Huwa Nahisi wanaongea utumbo tu muda wote
Aliyezitazama anisaidie Kwa mistari miwili tu.
Video ya kwanza anasemaje.
Na ya pili anasemaje .
Alaaaa , Nimpongeze Goodluck.Haina shida mkuu mimi nitakusaidia.
Video ya kwanza inasema Godluck Gozbert amochoma Benz aliyopewa kanisani kisa ndani ya benzi kulikuwa na majini kibwena yamekula ganzi.
Video ya pili majini yamekanusha hayajawahi kuchill kabisa kwenye hiyo Benz na wala hayaitambui hiyo benzi.
Haya lete mchango wako mkuu.
Kuna kitu zaidi ya rushwa hapoHuyu ni mtu mmoja, kauli tofauti ila kwa tofauti ya masaa!
Rushwa ina nguvu sana!