Nilishangaa kuona ila sasa Nina amini Mungu alisema nami 15 years back. Yakwamba vita kubwa ya Dunia inakuja na leo nashuhudia jambo Hilo.
Siandiki sana ila tusali jambo zito sana laweza ikumba Dunia na kuleta maafa makubwa kwa binadam. Ambayo hayajawahi tokea.
Wanausalama wamagharibi wanaimani jamaa atapotelea usingizini hivyo wanarefusha vita wakisubiri muda...
Jamaa anajuwa atazima na hana chakupoteza ameshakula maisha ila hataki kwenda pekeyake anatamani aondoke nakila anaye muhitaji ama kwahakika tusali.
Kuna mnyukano mkali waki intelligence kiasi Dunia muda wowote itasimama....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]