Russia mbioni kufanya shambulio kubwa katika historia

Russia mbioni kufanya shambulio kubwa katika historia

Ni kweli. Huyu jamaa tangu vita ianze 24 Feb.2022 amekuwa akitoa matamko mengi sana na yote hakuyatimiza -mara Ooo nchi itakayomsaidia Ukraine itantambua, mara Ooh nitatumia nuklia na blablaa nyiiingi. Tangu aachane na WAGNER Group na kudanganywa na Korea N, akili haijatulia yan.
Hautuo sawa kabisa kiakili
 
Si ulisema CIA watamnyamazisha Leo umemuingiza Mungu kwenye upuuzi wako? Nakuambia yule KGB ataikanyaga Ukraine na kuisambaza kama Chapati na hakuna Cha nani wala nani wa kuingilia kati katika dunia hii. Kweli Kwa akili zako unataka kusema Ukraine inatakiwa iachwe iendelee na ugaidi? Putin alishajiapiza Kwa Mungu , gaidi hatakiwi kuishi na yeyote aliyefanya vile iwe Serikali au kikundi Cha watu atafinywa na kupotezwa.

Wale magaidi waliokamatwa watapitia mateso makali mno mpaka watasema na ole wenu waseme Ukraine imewatuma , Putin hatoshindwa kutumia Nuclear ,kakasirika sana. Badala useme tuiombee dunia wewe unataka Mungu anyanazishe mtu anayelinda watu wake.
Russia kuvuka mpaka wake na kwenda kuuwa wa Ukraine nao ni ugaidi.
 
ulimwengu wa vita,Ukreine ainue mikono yaishe yapo maisha nje ya kuwa member wa Nato na nchi ikasonga bila kufungamana na upande.
Akili hana huyo jamaa maamuzi ya nchi yake anawauliza west mwanzo alitaka kumaliza vita kwa mazungumzo west wakamwambia pigana tutakusaidia kaacha kweli mazungumzo kaingia vitani
 
Ngoja waislam wambake kwanza maana katangaza bifu nao.... hana jipya
 
mwakawa pili ni milipuko inaongezeka ndan ya Urusi , Putin anabana media zisiwafikie raia wake pia anawatisha raia wake wasifunguke ila watu washaanza msanda Putini muda si mrefu ukitokea mwanya utaona , hata Ghadaf alituaminisha kuwa anapendwa sana na raia wake kuwa alikuwa anawapa huduma nyingi bure
Katika hili tukio Putin anajaribu kuaminisha raia wake kwamba limefanywa na Ukraine ili kugicha udhaifu wa vyombo vyake vya ulinzi.
 
Urusi Tokea zamani Yupo Imara nchi nyingi ikiwemo Tanzania zilisaidiwa Silaha Africa
Msaada wa silaha? Nilidhani utasema msaada wa barabara, miundo mbinu ya kuzalisha umeme, zahanati etc. Kumbe ni silaha ili tuUane au tukawaue majirani zetu. Kwa mantiki hiyo Mrusi tokea zamani Yupo Imara katika Ushetani wake.
 
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Jeshi la Urusi linajiandaa kufanyq shambulio kubwa katika historia toka SMO ianze

[emoji599][emoji599][emoji599]FLASH FLASH FLASH: Russia Prepares To Launch Revenge Attack on Ukraine!!! Largest military strike in recent history about to happen!!

- 14x Tu-95MS, nuclear capable bombers (Angel of death)

- 12x Tu-22M, light bombers

- 13x MIG-31K, carrying the hypersonic "Kinzhal" missile

Putin - ‘Those responsible for this terrorist attack will pay!’ [emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2943841View attachment 2943842View attachment 2943843
Unadhani waliopanga kilichotokea hawajui wehu wa huyo chizi putin?wanajua vizuri wamekaa pale wanakebehi ujio wa kurupuko lake.
 
Si ulisema CIA watamnyamazisha Leo umemuingiza Mungu kwenye upuuzi wako? Nakuambia yule KGB ataikanyaga Ukraine na kuisambaza kama Chapati na hakuna Cha nani wala nani wa kuingilia kati katika dunia hii. Kweli Kwa akili zako unataka kusema Ukraine inatakiwa iachwe iendelee na ugaidi? Putin alishajiapiza Kwa Mungu , gaidi hatakiwi kuishi na yeyote aliyefanya vile iwe Serikali au kikundi Cha watu atafinywa na kupotezwa.

Wale magaidi waliokamatwa watapitia mateso makali mno mpaka watasema na ole wenu waseme Ukraine imewatuma , Putin hatoshindwa kutumia Nuclear ,kakasirika sana. Badala useme tuiombee dunia wewe unataka Mungu anyanazishe mtu anayelinda watu wake.
Kwa vile urusi ameuwa raia wengi wasio na hatia huko Ukraine na anaendelea na kuharibu nchi ya watu hata likipigwa bomu na kuuwawa 200 Urusi fresh tu.

Ugaidi ukifanyika urusi anaoufanya yeye kwenye nchi yá watu (Ukraine) ni utafiti.
 
Back
Top Bottom