Russia mbioni kufanya shambulio kubwa katika historia

BREAKING:

Russia strikes Kyiv with ballistic missiles.

Buildings have collapsed. People are still under the rubble. Many fatalities reported.
 
Putin wenu nae muhuni tu! Maneno meeeengi kama mtoto wa kike. Mwanaume haongeagi sana ni vitendo tu.

Ndio maana Mimi nawakubaliga wayahudi hawaongei mara mbili😎
 
Putin wenu nae muhuni tu! Maneno meeeengi kama mtoto wa kike. Mwanaume haongeagi sana ni vitendo tu.

Ndio maana Mimi nawakubaliga wayahudi hawaongei mara mbili😎
Anapima tu upepo.
Unazani ni nchi ngapi zina nuclear weapons? Hata yeye anajua ndio maana anatishia sana kuliko kutenda maana anajua akirusha 1 tu ameshawapa wengine sababu ya kutumia zao. Kitu ambacho hataki kitokee maana wako wengi.

 
Hivi akili zenu huwa mnaziweka wapi?
Mmefikia hatua ya kufurahia ugaidi?
Mmesahau hata Marekani alipigwa tukio Sept 22?
Pentagon ilishambuliwa itakuwa ajabu kushambuliwa ukumbi wa disco ?
 
Putin wenu nae muhuni tu! Maneno meeeengi kama mtoto wa kike. Mwanaume haongeagi sana ni vitendo tu.

Ndio maana Mimi nawakubaliga wayahudi hawaongei mara mbili😎
Hali ya ukrein sasa hivi unajua?
Huko hakufai msidanganywe na propaganda za magharibi.
Wenzenu wapo jehanam
 
Hamna kituu...
 
Hali ya ukrein sasa hivi unajua?
Huko hakufai msidanganywe na propaganda za magharibi.
Wenzenu wapo jehanam
Wewe upo Ukraine au ndio wale wale wa kusimuliwa?
 
Hali ya ukrein sasa hivi unajua?
Huko hakufai msidanganywe na propaganda za magharibi.
Wenzenu wapo jehanam
Mwaka wa ngapi huu Toka vita ianze??? Operation ya wiki Moja alisema lkn sasa ni mwaka wa 3 unaenda wa 4
 
Hii vita inamtafuta mtu...

Akiingia tu ..basi na vita itakwisha.. .. !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…