Russia Vs Ukraine hakuna mshindi wa Vita ila kwa Haraka Urusi amepoteza in reality

Brittanica Jf encyclopedia.


Bro naomba list ya vitabu unavyosoma au genres


Sorry for quoting whole thread
1.the house of government Yuri Slezkine,{Saga of Russian Revolution}
2.The Russia Revolution -Geofrey Shwain,
3.Russia History Captivating history
4.Russia: History of Russia: Kievan Rus to Vladimir Putin, Tsars and Revolutions - All Shaping Russian Culture and Russian History, hapa Pro Putin panawafaa
Hiki Kitabu kinafunza ambavyo Russia imetengenezwa there are so many things The families were discussed and the war machine
5.Mambo mengi ya jinsi Urusi ilivyozivamia baadhi ya nchi na kuzilazimisha kujiunga USSR yanapatikana pia, Kuna vita katika Makala nyingine ya Red army inaonesha ambavyo Russia na Jeshi lake walivamia Estonia, Lithuania na Lativia, haya yote ni muhimu tuyajue haina Tofauti nasi
6. How to Handle Woman at diferent ages
7. How to manage your time

Naendelea
 
Acha roho mbaya, ruhusu masikio yako yasikie usichokipenda.
Ndio shida kubwa ya Watanzania..mnapenda kusikia myapendayo.
Kwani huu mchango ukiwekwa kule hautoonekana?? Huu mchango una tofauti gani na wa GANGA ZUMBA, T14 ARMATA, GLENN na wengineo?
Kwann tufungue nyuzi zenye mlengo ule ule?? Hii si ndio update ya kinachoendelea kwenye hiyo vita?? Sasa kwann kisijumuishwe??
Watz bhana, kwahiyo ww umeona huu uzi unaweza kusimama as independent na hauna uelekeo na uzi mama??
Huu uzi ni moja ya michango ya washkaji kibao kule, hauno uspecial wowote wa kubaki kama uzi.
 
WARUSI WEUSI HAWAAMINI HAYA, WANASEMA PUTIN ANAKAMATA MIJI MBONA HATANGAZI KUSHINDA MWEZI SASA😂😂
 
Ulaya wana msiba mkubwa mpaka sasa. Achana na CNN na BBC, tafuta vyanzo vya uhakika
 
Thanks Bro
 
Mpaka Sasa Ukraine kapata hasara ya Dola bil 495,Sasa unaona hapo ni zaidi ya trilion 1000+!
 
Uzi mtamu huo dadeqi
 
Kwa hiyo ulikuwa haulipendi li-gufuli lile? Basi kuwa watu wanapenda wababe. Wakiona wenzao wanatumbuliwa utumbo, basi mdadi unawapandaaa... Wamejaa CCM watu wa aina hiyo.
Vema sana yan kauzi kamenipa faraja sipendagi ma dikteta mimi niwe mkweli
 
Wadanganye hawahawa mashabiki maandazi ila sio watu wenye uwezo wa ku reason. Unasema Russia wamefiwa na wanajeshi 7000+, ila husemi Ukraine wamefiwa na wanajeshi wangapi? Unasema ndani ya urusi supermarket bidhaa zinaisha, Ukraine zipo?

Je urusi imezalisha wakimbizi wangapi? Ukraiane ni wangapi? Kichekesho ni hiki 'marekani wanaenda Venezuela kuvuna mafuta' [emoji23][emoji23][emoji23] je marekani wanamtambua rais wa Venezuela? Toka lini? Watafanya biashara na serikali wasioitambua?

Nenda kasome tena, itachukua miaka 8 kwa ulaya kupata mbadala wa ges ya urusi, haya sio maneno yangu ni wataalamu na wanasiasa wa ulaya wenyewe.
Marekani alitangaza kusitisha kuchukua mafuta nchini Urusi, kwa taarifa yako mpaka jana asubuh meli zao zilichukua mzigo.

Hao hao marekani wameondoa vikwazo kwenye mbolea kutoka urusi. Alafu wewe baada ya kula kachori unadanganya watu hapa. Semeni ukweli sio ushabiki

Jana Putin na scholz wa Germany wameongea kwa simu juu ya biashara ya gesi, wameelewana juu ya means of payments
 
Ulaya wana msiba mkubwa mpaka sasa. Achana na CNN na BBC, tafuta vyanzo vya uhakika
ukifikiria nje ya box utagundua huu uzi wa huyu BRITANICCA ni moja ya mikakati ya Propaganda mfu za kudanganya dunia.
Amekuja na kisingizio cha Uchambuzi lakini uhalisia ni uzi wa PROPAGANDA MFU DHIDI YA RUSSIA. Ni Uzi maalum wa kuichafua Russia.
Na hii sio hapa tu ni Dunia nzima kuna watu wamepewa hii kaz. Fun enough na Moderator kampa Uzi ujitegemee wakati nyingi sana zinazo balance amekuwa akiziunga mwenye uzi wa Mwanzo.

Hebu mtu alete Uzi kama huu unao propagate negatively issue za West/NATO kama utaachwa ujitegemee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…