mchawi wa kusini
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 830
- 898
Huyu Jamaa atawasaidia sana Wakenya Kama alivyotusaidia sisi Mjomba Magu.Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania
Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.
Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.
Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Lakini huyu ameenda mbali zaidi, anaijua mpaka mistari ya biblia tofauti na Magufuli, bado nampa benefit of doubt.Magufuli alikuwa anajifanya kusali sana na kumtaja Mungu sana, muogoipe mtu wa namna hivyo. magufuli alitufuna mengi sana ya unafiki wa dini
Lkn kwa kuwa Kenya Kuna taasisi na mifumo imara atabanwa na hizo taasisi Kama Trump alivyobanwa kule Marekani akashindwa kufurukuta.Atakuwa dictator zaidi ya Magufuli. Nimesikiliza hotuba zake, naona viashiria vyote vya tabia za Magufuli. Wakenya watajuta kutomchagua Raila kwani ndio hasa baba wa demokrasia ya Kenya.
Tathmini yako iko kinyume kabisa. Jana hiyo hiyo wakati anahutubia baada ya kuPapishwa amechukua hatua ambazo ni kinyume cha hayo unahotabiri. Ametangaza kuteua majaji ambao walipitisbwa na Tu.me ya mahakama lakini Kenyatta akamute. Ameiongezea bajeti mahakama , amepiga marufuku serikali kuingilia polisi kwa kulazimisha wapinzani wa serikali kutengenezewa makosa ya jinai na polisi; pia ameipa autonomy katika masuala ya pesa ipate mgao wake inaotakiwa kupata bila kuhusisha ofisi ya Rais . Hizi sio dalili za mtu mwenye maamuzi ya, kiimla. Kumbuka polisi ndio tool kubwa ya watawala madikteta.Kenya wanatakiwa kuwa makini Sana na huyu jamaa Urais wake unaweza kuwa Kama wa Magufuli alivyofanya Tanzania
Naweka huu uzi ambao utakuwa kumbukumbu miaka 3 mpaka 4 ijayo Mara tu atakaposimika watu wake kwenye system zote za nchi.
Ruto sio kiongozi kwa mtazamo wangu bali ni mtawala.
Ruto,Trump na Magufuli wana sifa moja ya kuwa watawala Kama ambavyo Kikwete, Uhuru na Obama walivyokuwa viongozi.
Kabisa!Ikiwa ni Ivo, basi kama ilivyokua Kwa Wakenya kumlilia Magufuli awe Rais wao, mpaka anakufa, Wakenya walijaa Bongo
Basi ni zamu ya Watanzania Kumlilia Ruto kua Rais wao
Laila ni fungu la kukosa kama kwa Lisu na chama chake tuAtakuwa dictator zaidi ya Magufuli. Nimesikiliza hotuba zake, naona viashiria vyote vya tabia za Magufuli. Wakenya watajuta kutomchagua Raila kwani ndio hasa baba wa demokrasia ya Kenya.
Kama atakuwa kama Magu basi wakenya watafika mbali sana kimaendeleoMagufuli alikuwa anajifanya kusali sana na kumtaja Mungu sana, muogoipe mtu wa namna hivyo. magufuli alitufuna mengi sana ya unafiki wa dini
Si hawaivi?Kenya siyo ya kuburuza.
Uhuru atamshauri
Kumlilia si mpaka afe?? Hacha kuwa na roho mbaya km ya dictator JPMIkiwa ni Ivo, basi kama ilivyokua Kwa Wakenya kumlilia Magufuli awe Rais wao, mpaka anakufa, Wakenya walijaa Bongo
Basi ni zamu ya Watanzania Kumlilia Ruto kua Rais wao
Siasa haina uaduiSi hawaivi?