Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adhana ya asubuhi saa 11 ni ya kisenge sana omba usiisikie ni vitisho tupe mara eti kitanda ulicholalia ni jeneza amka ukaswaliHizi adhana zilikua mbadala wa saa kwangu ikipigwa ya asubuhi najua kumekucha ya saa kumi alasiri inanikumbusha muda wa tuisheni. Iliyokua inaniogopesha ni matangazo ya vifo asubuhi sana daah
Adhana ya asubuhi saa 11 ni ya kisenge sana omba usiisikie ni vitisho tupe mara eti kitanda ulicholalia ni jeneza amka ukaswali
Adhana ni wito wa maneno maalumu 'machache' ya lugha ya kiarabu yenye kuwajulisha watu kuingia au kutaradadi kwa wakati wa swalaAdhana ya asubuhi saa 11 ni ya kisenge sana omba usiisikie ni vitisho tupe mara eti kitanda ulicholalia ni jeneza amka ukaswali
Ok nimekupata kumbe ni mbwembwe tu za sheikh 😀😀Adhana ni wito wenye maneno maalumu na machache ya lugha ya kiarabu yanye kuwajulisha watu muda wa swala umeingia/umetaradadi
Hayo maneno ya nyongeza hanaya mafungamano na adhana, ni ziada ambazo hazina asili katika dini ya uislamu ambazo zimezuliwa tu na baadhi ya waadhini kwenye baadhi ya misikiti
😄😄 Unampa beat gani atambae nalo?Mimi namchukuliaga kagame kama mwana hiphop flan hivi
Yan wana ujinga mwingi sanaAdhana ya asubuhi saa 11 ni ya kisenge sana omba usiisikie ni vitisho tupe mara eti kitanda ulicholalia ni jeneza amka ukaswali
Hawa alianza nao. Mpaka sasa hata kufungua kanisa lazma uwe na elimu rasmi ya shahada ya theolojia. Hakuna mambo ya kipawa!Kwa kweli Rwanda wanajielewa sana kwa hili nawaunga mkono hata Yale makanisa yenye kukesha nayo yafungiwe kupiga kelele Mungu haabudiwi kwa makelele
Sheria yetu ya kuzibiti kelele ilitoa exemption kwa adhana.Hawa alianza nao. Mpaka sasa hata kufungua kanisa lazma uwe na elimu rasmi ya shahada ya theolojia. Hakuna mambo ya kipawa!
Hii inasaidia kudhibit weu au stressed psycopaths wanaovuruga weu wenzie au wahanga wa hali za kijamii!
Kuhusu kelele hata Tanzania tuna sheria zinazodhibit saut lakin kama kawaida yetu.....usimamiaj!
Hata hivyo kuna mambo kama ya iman ukiyadhibit kwa kiboko badala ya sensitization unaweza kufanikiwa kwa muda flan tu!
Njia bora zaid ni kujua kwanini kuna wahanga wa jambo. Mf, tuna wahanga weng kupitia iman hatarish kwasabab watu wana shida nying zinazozid upeo wa elim yao na maarifa yao. Na Majib ya hali hizo hawayapat kikawaida.!
Dawa mojawapo ni ELIMU na UWAJIBIKAJ WA SERKALI!
....BELIEVE RESPONSIBLY!
Makelele ya kiarabu asubuhi yanaboa kwa kweli
Sina tatizo na kumtukuza Mola. Lakini huko kufanyike kwa wahusika tu. Hakuna sababu ya kunihusisha mimi ambaye sihusiani na kutukuza huko. Hivyo, naona sababu kubwa ya adhana ni kuamusha watu waje kwenye ibaada. Ilikuwepo sababu ya kufanya hivyo zama zile wakati utaalamu ulikuwa chini. Sauti hiyo inamuamusha mhusika na asiyehusika sawia. Siku hizi mtu unaweza kuweka alarm kwenye saa au simu ikakuamsha muda unaopaswa. Utaamuka wewe tu unayehusika na si jirani yako ambaye hahusiki. Pindi wahusika watakapojumuika hapo msikitini ndipo mfanye zoezi la kutukuza."The Kagame downfall nears, let's wait and see".
The adhan is more than just calling muslims for prayer, it glorifies God, "Allah akbar" being part of the words found in the adhan means; God is great.
By stopping the adhan also means stopping the God glorification.
Sina tatizo na kumtukuza Mola. Lakini huko kufanyike kwa wahusika tu. Hakuna sababu ya kunihusisha mimi ambaye sihusiani na kutukuza huko. Hivyo, naona sababu kubwa ya adhana ni kuamusha watu waje kwenye ibaada. Ilikuwepo sababu ya kufanya hivyo zama zile wakati utaalamu ulikuwa chini. Sauti hiyo inamuamusha mhusika na asiyehusika sawia. Siku hizi mtu unaweza kuweka alarm kwenye saa au simu ikakuamsha muda unaopaswa. Utaamuka wewe tu unayehusika na si jirani yako ambaye hahusiki. Pindi wahusika watakapojumuika hapo msikitini ndipo mfanye zoezi la kutukuza.
Kama hoja ndo kama yako naunga mkono uamzi wa Kagame. Hapa duniani kila jamii au imani ina Mungu wao ambaye hafanani na huyo wa kwako au wa mwingine. Hivyo huo utukufu unautambua pekee yako na sio wote. Hata upande wa makanisa alishapiga ban watu kujifanyia watakavyo. Kongole Prezida Kagame"The Kagame downfall nears, let's wait and see".
The adhan is more than just calling muslims for prayer, it glorifies God, "Allah akbar" being part of the words found in the adhan means; God is great.
By stopping the adhan also means stopping the God glorification.