Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Ukitaka kuona fujo ya maana serikali iingilie mambo ya kidini yami itokee leo aseme hamna pasaka ,maandamano kwa wakristo, kutumia vipaza sauti ndio utaona

Au aseme amna iddi wala adhana ndio utajua kumbe hata raia wanamafunzo ya jeshi
😄😄😄 Patachimbika siku hio.
 
Hii ni sawa kabisa, hata huku pia ipigwe marufuku pamoja na zile kengele za makanisani.

Katika dunia ya sasa ya sayansi na teknolojia kuna njia nyingi za kujua muda hivyo sio muafaka kupigia watu kelele japo nafahamu kwa hapa mtawala wa sasa atawakingia kifua waendelee na adhana yao.
 
Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
Tena hii ndio kero zaidi
 
Jirani na home kuna ositazi huyo anaamsha kwa kwa hasira ni kama kalazimisha. Nukuu;swalaaaaa swalaaaa swalaaaa ndugu muislam amka hicho kitanda sio mali yako utakiacha siku ya kiama mwenzezi mungu anasema (hapa kuna maneno anatamka ya koraan siyajui hata)hapa duniani hukuja na hicho kitanda,hukuja kulala,amka uje tufanye swalaaaaaa.mwisho .
Basi akisema swalaaaa anatamka kwa sauti na lile lispika volume anakuwa kaweka hadi mwisbo basi ni kero balaa.
Pale sinza palestina ndio balaa
Hadi nikaamua kuhamia pengine. Hawa wana makelele sana na wakiambiwa wanaanza fujo.

Hawaendi na nyakati. Hiyo adhana ilikuwa kwa ajili ya miaka ile hakuna saa wala alarm. Haihitajiki dunia ya leo.
 
Kwanini wewe uone ni haki yako kulala na usiamshwe,lakini usione haki ya wale wanaotaka kuamshwa!?
Muhimu kuvumiliana.

Jambo ambalo mimi nikiwa muislamu nasisitiza ni kufuata mafundisho sahihi ya dini zetu. Tuache madoido. Adhana imefundishwa mwanzo wake hadi mwisho wake. Haya maneno mengineyanayoongezwa ni makosa. Mtu anawasha kipaza sauti anaanza kuhubiri halafu ndio anaadhini. Hayo ni kuzidisha mambo kwenye dini. Na dini inakataza. Adhana sahihi haichukui dakika tano

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile ap


Hamuendi na nyakati. Hiyo adhana ilikuwa kwa ajili ya miaka ile hakuna saa wala alarm. Haihitajiki dunia ya leo.
 
Kwa hili Rwanda nawapongeza sana, zile kelele za alfajiri zinakera sana.

Hii ni Taharifa ya BBC...

Waislamu wanaoadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani nchini Rwanda hawasikii adhana wakati wa swala ya asubuhi, na huenda wasisikie tena, kutokana na marufuku iliyowekwa na mamlaka nchi humo.

-

Mwezi uliopita mamlaka ilipiga marufuku matumizi ya vipaza sauti kwenye misikiti asubuhi na mapema, ikisema kuwa ilikiuka sheria za uchafuzi wa kelele ambazo zinakataza kelele zaidi ya decibel 55 wakati wa mchana na decibel 45 usiku katika maeneo ya makazi.

-

Mamlaka ya Rwanda inasema kuwa wakaazi walilalamika kuhusu mwito wa mapema wa maombi - ambao hufanyika majira ya alfajiri na huchukua kama dakika mbili au tatu. View attachment 2188599

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
Wakongwe wa Dar tunakumbuka vema, hoja ya kupiga marufuku adhana iliwahi kuletwa na aliyekua RC wa Dar Brigedia Hassan Ngwilizi. Kilichompata mwenyewe ndio anajua.
 
Yalishapigwa marufuku huko,huna degree ya Theology hutakiwi kuanzisha kanisa...
Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
 
Wakongwe wa Dar tunakumbuka vema, hoja ya kupiga marufuku adhana iliwahi kuletwa na aliyekua RC wa Dar Brigedia Hassan Ngwilizi. Kilichompata mwenyewe ndio anajua.
Tuache kutisha watu, jamii yoyote iliyo na ustaarabu hayo makelele ya kilevi ni ujinga unaopaswa kupingwa. Nenda pale UDSM upo Msikiti wa wasomi Maprofesa huwezi kukuta hizi kelele za Wapuuzi wanaobwabwaja kwa nguvu mpaka hewa inawatoka matakon huku mtaaani.
Tuache kuwapigia watu makelele kama walevi kwa kisingizio cha kuabudu, huo ni ushtani na kukosa Busara
 
Kwa hiyo ukiamshwa saa 10-11 alfajiri kwa dk 5, unalala tena? Acheni kubudhuni wenzenu, jamani. Fikirieni wenzenu pia. Hamuishi kisiwani. Unaweza kuabudu bila kubughudhi wanaokuzunguka.
Kwa hiyo Unataka kulala mpaka saa ngapi ili wasogeze muda wa adhana?
 
Tuache kutisha watu, jamii yoyote iliyo na ustaarabu hayo makelele ya kilevi ni ujinga unaopaswa kupingwa. Nenda pale UDSM upo Msikiti wa wasomi Maprofesa huwezi kukuta hizi kelele za Wapuuzi wanaobwabwaja kwa nguvu mpaka hewa inawatoka matakon huku mtaaani.
Tuache kuwapigia watu makelele kama walevi kwa kisingizio cha kuabudu, huo ni ushtani na kukosa Busara
Huwezi kutetea ukosefu wa busara ukiwa we ndio kiongozi wa kukosa busara....rudia andiko lako
 
Back
Top Bottom