Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Rwanda wamepiga marufuku "Adhana" Alfajiri

Mke wangu ni Muislam. Sina chuki yoyote. Fanya kelele zako zote mchana (saa 1 hadi saa 12). Usiku acha watu walale. Binadamu anahitaji masaa 8 ya usingizi kwa afya njema. Kwa kweli sipendi kuamshwa kwa nguvu saa 10-11 usiku. Usumbufu mnaowapa watu wengine ni completely avoidable.
kuna kelelel nyingi sana kwny miji kuliko za adhana ya dakika 3
 
Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
Wapige marufuku kote tu,tuishi bila makelele
 
Jirani na home kuna ositazi huyo anaamsha kwa kwa hasira ni kama kalazimisha. Nukuu;swalaaaaa swalaaaa swalaaaa ndugu muislam amka hicho kitanda sio mali yako utakiacha siku ya kiama mwenzezi mungu anasema (hapa kuna maneno anatamka ya koraan siyajui hata)hapa duniani hukuja na hicho kitanda,hukuja kulala,amka uje tufanye swalaaaaaa.mwisho .
Basi akisema swalaaaa anatamka kwa sauti na lile lispika volume anakuwa kaweka hadi mwisbo basi ni kero balaa.
 
Mh Kagame atazame na suala la kuzuia kelele za radi.
hamna kitu yule ombaomba

juzi kaingia Mkataba na Ufaransa kupokea Wahamiaji haramu waje wamwage kwake …jamaa atatuletea balaa sana …Kambarage angejua angewateka kama tulivyofanya kwa Jamaa zenu wa visiwani
 
Sio kila kitu cha kuiga, wakipiga marufuku adhana wasisahau na utitiri wa makanisa yanayopiga mziki weekdays kwenye makazi ya watu tena kwa maspka
Mbona walishapiga marufuku kitambo, na bila degree hausajiri kanisa
 
Imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba dunia. Anyway, hata simu za viswaswadu / vitochi vina alarm, ya nini kupigiana makelele?

Chokochoko za kidoni hatutaki. Usifananishe kiwilaya na nchi.
 
HUKO HAKUTAKUWEPO NA MAANDAMANO WALA POVU MITANDAONI..
KWA SBB YULE NI CHUMA NA DUME LA MBEGU
 
Hizo adhana zina kelele Sana asubuhi,usiombe ukiwa na nyumba karibu na msikiti,au kanisa la kilokole mbaya zaidi uwe na ugonjwa wa moyo.
 
Adhana kwangu ni Alarm haijawahi kuwa kero tokea nipo Advance.
 
Kupiga marufuku adhana ya kwenye spika siyo mwisho wa sala ya subhi kwa wa islam wa rwanda.

Na ukimuona mkristo anachukia adhana ya subhi ujue kazaliwa kijijiji sana na bado ana ushamba.

Mkristo aliye zaliwa na kukulia mjini, adhana kwake ni kitu ya kawaida.
Hivi na huko Ulaya na Amerika nao upiga makelele hovyo hovyo kama nionavyo hapo Buguruni
 
Una uhakika huyo Kagame amezuia kelele zote au unaunga tu mkono Uhuru wa kuabudu kuminywa? Hao wanasiasa, wakati wa kampeni hawatafunga speaker mitaani? Ambulance zitatembea bila sauti? Misafara Yao itaendeshwa kimya kimya? Ndege zao hazina kelele? Hazishuki alfajiri?

Ni upuuzi kufurahia Uhuru wa namna yeyote ile kuminywa, iwe unakugusa au haukugusi.
Kelele za mara 1 kwa mwezi utazilinganisha ba hizi za kila baada ya masaa 4, tukubali tukatae kelele za makanisa, misikiti ni usumbufu hasa haya makanisa au misikiti iliyoko kwenye makazi ya watu
 
Back
Top Bottom