babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Usisahau na hawa wenye zinazoitwa studio. Wanaingiza movies na nyimbo. Wanafungulia music kwa sauti za juu kuanzia asubuhi hadi saa nne usiku. Tena kwenye makazi ya watuUmenikumbusha bar, nazo ziko kwenye makazi ya watu zinaachia mziki. Hivi tz hakuna sheria zinazofuatwa. Mfano nasikia eti vituo vya mafuta vinabidi viachiane 3 kms, lakini unakuta viko opposite eavh other, bar kwenye makazi ya watu
Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app