Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Why all that comrade?!!!Just keep on praying our race don't get to power. Keep on crossing your fingers tightly we don't own magogoni and Dodoma.
Rasilimali tulizonazo ni nyingi kuliko Rwanda hivyo tunapaswa kuwa na uwezo mkubwa sana.Mkuu Tanzania mpaka leo bado inapeleka umeme vijijini na kazi inakwisha 2022, jiulize imeanza lini.
Mkuu Tanzania mpaka leo inajenga barabara na shule za msingi, ni kazi inayoendelea.
Rwanda ni eneo dogo sana linahitaji muda mdogo kumaliza miundo mbinu yote.
Usiilinganishe Tanzania na vinchi vidogo vidogo.
Mpumbavu kweli wewe na ndio maana tunawatoa akili UVCCM mnakuwa kama mazombie yani suala la shida ya maji,umeme na umaskini uliotukuka ikiwa pamoja na huduma mbovu za afya ni propaganda!!!!!...kwamba sisi wengine hatuoni kwakuwa tunaishi Botswana??!..bibi yangu alifariki kutokana na ubovu wa barabara katika process ya kumpeleka kituo cha afya akafia njiani..acha upumbavu dogoHizo nazo pia propaganda hasi mkuu 🤣🤣
Hebu jionee hapa......
Mbona Burundi Ni nchi ndogo na haijaifikia Maendeleo RWANDa?Mkuu Tanzania mpaka leo bado inapeleka umeme vijijini na kazi inakwisha 2022, jiulize imeanza lini.
Mkuu Tanzania mpaka leo inajenga barabara na shule za msingi, ni kazi inayoendelea.
Rwanda ni eneo dogo sana linahitaji muda mdogo kumaliza miundo mbinu yote.
Usiilinganishe Tanzania na vinchi vidogo vidogo.
No you are mistaken. Since the beginning you have sidelined us. You fear us for nothing. The founder of this nation was a hypocrite he is the one who instigated all this hatred towards us by inflicting some mentality to other communities. It's better we call upon a referendum we have our own nation.Why all that comrade?!!!
Tanzanians are the ones and all of us enjoy being the citizens....
All races participate in "keki ya taifa"....race ipi haipo mezani?!!!
Hivi kuna mwaka chadema iliwahi kushika nchi? Halafu kama madarasa hakuna unataka yaachwe kisa rwanda wana jenga kinu cha nyuklia?Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
What are you talking compatriot?😳No you are mistaken. Since the beginning you have sidelined us. You fear us for nothing. The founder of this nation was a hypocrite he is the one who instigated all this hatred towards us by inflicting some mentality to other communities. It's better we call upon a referendum we have our own nation.
Magonjwa Mtambuka
Asante mkaldayo..Listen carefully you Chagga hater. I promise you I will use all my massive blessed resources to track you down and fix you up. This is a solemnly promise I swear to God Jesus you must pay for this atrocities.
QENGAY
Hili tatizo ni two folds...wanoweza hawapo kwenye nafasi mahususi wasio weza hawana aibu ya kusema hawawezi, most are with no integrity...Uki interact nao ndiyo unagundua kumbe!Mkuu John tatizo kubwa linalotuumiza watanzania ni UJINGA. Siku zote watu wamekuwa wakisema lakini wanaonekana wana chuki dhidi ya serikali. Ila ukweli ni kwamba sisi tulikuwa na nafasi kubwa ya kupiga hatua kubwa sana kimaendeleo kuliko ncho yoyote ile barani Afrika.
Kamati ya haki ya mtoto ya Umoja wa Afrika (African Committee on Rights and Welfare of the Child) iliwahi kuchapisha taarifa yake ya mwaka na kutaja nchi ambazo zinatoa elimu bora yenye viwango kwa watoto barani Afrika. Rwanda ndiyo ilikuwa ya kwanza, na wataalamu wengi wakapinga. Timu maalumu (Special Rapporteur) walipelekwa Rwanda kuhakikisha hili na kuthibitisha yote ndani ya ripoti.
Kila mtoto ambaye anaanza elimu ya msingi nchini Rwanda anatumia Laptop/Ipad kusoma. Binafsi sikuamini lakini nikazungumza na watu wa kwenye kamati wakathibitisha hilo. Nikashangaa tena kusikia kule nchini Rwanda ni marufuku mtoto kupelekwa kwenye shule ya bweni mpaka afikishe miaka 14. Nikasema kama Raisi Paul Kagame ataendelea kufanya hivi, kuna siku tutaiangalia Rwanda kiutofauti sana.
Rwanda iko na madhaifu mengi kiutawala na kimfumo: UKABILA umeshamiri kwenye kila eneo na kama Raisi Kagame atabadilika na kukubali kuelewana na Wahutu bila kuweka masharti (Conditions) zozote zile kwenye amani, basi Rwanda itafika mbali sana. Maana taifa lolote lile ambalo linawekeza kwenye rasilimali watu ndiyo hufanikiwa kufika juu.
Ukweli mchungu ni lazima kukubali kwamba Tanzania tulijisahau sana, na hatupendi kukubali ukweli kwamba wananchi na viongozi wetu akili zetu ziko chini ya kiwango (Below Avarage). Tumewekeza rasilimali zetu nyingi kwenye mambo ambayo siyo sahihi: Tunatumia mabilioni ya pesa kwenye siasa, ulinzi (political surveillance), matumizi yasiyo na msingi na ubadhilifu.
Tangu aondoke Mzee Nyerere madarakani hakujawahi tokea Raisi wa nchi hii ambaye aliweza kutambua nini haswa kinatakiwa kuwa kipaumbele kwa taifa. Mzee Nyerere mbali na madhaifu yake yote, aliwekeza sana kwenye ELIMU ya watu wake. Vijana wa Nyerere japo wengi waliasi falsafa na wengi wao kuwa walafi, ndiyo wameisaidia Tanzania isitumbukie korongoni kwa spidi kubwa. Hivyo tunatumbukia kidogo kidogo (Gradually Disintegrating)...
Mzee Lowassa alivyosema ELIMU, ELIMU, ELIMU hakukosea kabisa. Kuikomboa Tanzania tunahitaji watu wenye uelewa mzuri kuhusu mazingira ya nchi yetu. Nchi hii inategemea kilimo, uvuvi na ufugaji kama shughuli asilia za kiuchumi, lakini tumefanya nini kwenye kuwawezesha wananchi kwenye kilimo, uvuvi na ufugaji ??? Tuna wataalamu wangapi ambao wanaweza kutusaidia ??? Sisi tumekazania siasa na katiba mpya: Mambo ya muhimu sana, japo sidhani kama kila kitu kinaweza kutatuliwa kisiasa.
Nchi ndogo kama Uingereza na Japan ziliweza kuwa mataifa yenye nguvu sana duniani kwasababu walijua nini madhaifu yao na kufahamu vipaumbele vyao. Ingekuwa leo mtu anaenda Uingereza mwaka 1500 au Japani mwaka 1800 na akaambiwa hizi nchi zitakuja kuwa tajiri sana duniani asingeamini hata kidogo.
Mkuu umeonja pombe leo siku ya Mwalimu Nyerere?.Hiyo hoja yako kati ya Marekani na Tanzania haieleweki.Mbona Burundi Ni nchi ndogo na haijaifikia Maendeleo RWANDa?
Kwahiyo unaamini udogo wa nchi Maendeleo?
Mbona TANZANIA ni ndogo kwa marekani na Marekani imeizidi TANZANIA Maendeleo?
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Nuklia ni nishati nzuri ya kuzalisha umeme, tatizo lipo kwenye kuhifadhi mabaki ya nuklia baada ya kuzalisha nishati hiyo. Mabaki hayo bado yanakuwa yanatoa miozi (radioactive). Mionzi hiyo ni hatari sana- inasababisha madhara makubwa kwa binadamu, wanyama na mimea. Vile vile magaidi wakipata inaweza kuleta taharuku katika hiyo nchi. Teknologia hiyo ya nuklia siyo ya kukimbilia, sisi tukimbilie vyanzo vya maji, jua, upepo na maji moto ya ardhini.Ni lazima viongozi wote wabadilishe namna ya kufikiri, haiwezekanu miaka 60 ya uhuru serikali imekazana kujenga madarasa tu na vyama vya siasa vimejikita kwenye kusaka ruzuku.
Mfano Chadema badala ya kuja na sera mbadala za maendeleo wao wanachangishana hela za kuwapa familia za makomandoo.
Wenzetu Rwanda wanajenga kinu cha Nyukria kwa ajili ya kuzalisha umeme sisi tunakazana na majenereta.
RIP Julius Kambarage Nyerere
Sawa Mkuu hebu ona hapa chini...Mpumbavu kweli wewe na ndio maana tunawatoa akili UVCCM mnakuwa kama mazombie yani suala la shida ya maji,umeme na umaskini uliotukuka ikiwa pamoja na huduma mbovu za afya ni propaganda!!!!!...kwamba sisi wengine hatuoni kwakuwa tunaishi Botswana??!..bibi yangu alifariki kutokana na ubovu wa barabara katika process ya kumpeleka kituo cha afya akafia njiani..acha upumbavu dogo
Sawa mkuu wangu....Mpumbavu kweli wewe na ndio maana tunawatoa akili UVCCM mnakuwa kama mazombie yani suala la shida ya maji,umeme na umaskini uliotukuka ikiwa pamoja na huduma mbovu za afya ni propaganda!!!!!...kwamba sisi wengine hatuoni kwakuwa tunaishi Botswana??!..bibi yangu alifariki kutokana na ubovu wa barabara katika process ya kumpeleka kituo cha afya akafia njiani..acha upumbavu dogo
Look at this Arrogance,......Rwanda ni nchi ndogo sana kama mkoa mmoja tu wa Tanzania Bara. Ukumbuke hilo unapozilinganisha hizi nchi mbili.
Such shortsightedness, arrogance and naivety are dangerous leeches sucking the sanity out of this nation. Hivi kuzalisha nishati ya nyuklia ni lazima uwe na Uranium mkuu ??? Lakini pia Afrika tumesiani mkataba wa Pelindaba (The Pelindaba Treaty 1996) ambao unazuia nchi zetu kujihusisha na tafiti za kinyuklia. Rwanda ni mwanachama wa huu mkataba: Je, atakwepaje vikwazo vya kisheria za kimataifa ??? (Hili linawezekana na Rwanda anaweza kulifanya japo sitakujibu)Limited Supply.....
Komredi Kagame anaitoa wapi URANIUM ya kutosha?!!!
Rwanda haina Uranium.....
Ili uendelee kuzalisha umeme kupitia URANIUM Ni lazima uwe na SUPPLY ya kutosha.....wapi huko supply itapatikana.....wapi huko supply itakuwa endelevu?!!!!
Hapa pana tafakuri jadidifu.....
Sawa Mkuu hebu ona hapa chini...