Rwanda yafunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki

Rwanda yafunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki

Naungamkono ...mimi natamani serikali zipige marufuku madhehebu ya dini zote tubaki na ukristo na uislamu usio wa madhebebu hivyo kuwe na nyumba chache za ibada zilizo hulia ambazo zitajengwa na serikali moja kila wilaya basi pia ipige marufuku shule za elimu dunia kuwa za kidini yaani kama mkristo akifungua shule hiyo shule iweshule tu siyo kwa mlengo wa dini ya mmiliki au dini ya dhehebu felani na kwa waislamu hivyo hivyo kwa sasa hadi fremason watafungua shule zao ya primary na secondary na kuzidi kuligawa taifa vibaya kupitia roho za watoto toka wadogo ....kumbukeni maandiko yanayo sema ufalme uliofarakana hauta simama .. serikali ipige marufuku vipindi na masomo ya dini kwenye shule zote za serikali na binafsi watoto wasomeshwe dini kwenye shule zisizo toa elimu.lasmi ya dunia
Shule ipi imefunguliwa freemason?
 
Serikali ya Rwanda imezifunga Parokia 47 za Kanisa Katoliki kwa madai ya kukiuka kanuni na sheria za nchi hiyo.

Kwa mujibu wa ripoti ambayo imetolewa na Maaskofu wa Kanisa Katoliki, inasema kuwa suala la uhuru wa kuabudu limekuwa changamoto kubwa nchini Rwanda.

Ripoti hiyo inasema kuwa kati ya Parokia 231 zilizopo nchini humo, 47 tu ndizo ambazo zimefungwa kutoka katika Dayosisi tisa.

Hadi kufikia mwanzano mwa mwezi wa Septemba mwaka huu, Serikali ya Rais Paul Kagame ilikuwa imeyafunga Madhehebu na Misikiti takribani 10,000 kwa kile ilichokiita kukiuka sheria za nchi hiyo
Naunga sana mkono sheria hizo za Rwanda.

Mafundisho na mifumo ya kidini inaongoa watu na kuwaweka katika maisha ya kitakatifu, hasa ndiyo lengo.

Viongozi wa dini ama madhehebu wanatakiwa wawe ni mfano wa kuingwa na waumini wao, lakini kinyume chake, viongozi wa dini wengi wao wamekuwa ni matapeli wa kunyonya masikini na kujilimbikizia mali.

Mifano hii ipo sana nchini mwetu, makanisa yanaota kama uyoga si kwa sababu kuna mahitaji makubwa ya kijamii, bali ni vijiwe vya kutapelia watu kwa njia ya kuwatia hofu kupitia jina la Mungu.

Nasi Tz serikali ingeangazia mfumo mzima wa sheria zilizopo kuhusiana na mambo hayo, maana ndani ya madhehebu kuna ufisadi wa kutisha na wa kila aina uliopewa baraka kupitia sheria za nchi.
 
Walishakuako watu kama wewe toka enzi. Akina Nebkadreza waliobomoa mahekalu ila hawakuweza kukomesha.
Sasa unapojifunza kufanya jambo lolotr kwanza jitahid kupitia historia ili usiwe mjinga wa kurudia kitu walichofanya wengine waka fail.

Atlrast uje na namna mpya ya tofauti.

JUU YA MWAMBA HUU, NITALIJENGA KANISA LANGU AMBALO MILANGO YA KUZIMA HAITALISHINDA.

hayo si maneno ya mtu mwingine yeyote. Ni Christ mwenyewe mwenye kanisa lake
Sawa mgalatia
 
Kagame yeye sio mnafiki.....alishaamua kuwa ibilisi hachanganyi Na wala hataki kuwa vugu vugu ndio maana anaishi.

Wale wanaochanganya hawadumu.
Yoyete anaemsema vibaya Kagame akigundulika huko church anapigwa komeo, ni sawa hapa Kakobe alimzingua bwana yule akampigia komeo fasta yaan hakuchelewa wala kukawia mara moja Kakobe akapigwa komeo
 
Yoyete anaemsema vibaya Kagame akigundulika huko church anapigwa komeo, ni sawa hapa Kakobe alimzingua bwana yule akampigia komeo fasta yaan hakuchelewa wala kukawia mara moja Kakobe akapigwa komeo
Ndicho kinachotokea huko wala sio kwamba anapambana na Dini bali na Watu wanaowaamsha wananchi.

Dini ina hubiri haki, kwa pk hakuna kitu kinaitwa haki.
 
Ndicho kinachotokea huko wala sio kwamba anapambana na Dini bali na Watu wanaowaamsha wananchi.

Dini ina hubiri haki, kwa pk hakuna kitu kinaitwa haki.
Hicho ndio kitu watu hawaelewi mfano hapa ghafla bwana yule wa Tanganyika P aanze kufokonyoa Serikali yaan pale Tanganyika P fasta panachukuliwa panajengwa kiwanda cha kubangua korosho haraka sana na yeye anasambaratishwa atafute pa kwenda
 
Naunga sana mkono sheria hizo za Rwanda.

Mafundisho na mifumo ya kidini inaongoa watu na kuwaweka katika maisha ya kitakatifu, hasa ndiyo lengo.

Viongozi wa dini ama madhehebu wanatakiwa wawe ni mfano wa kuingwa na waumini wao, lakini kinyumw chake, viongoziwa dini wengi wao wamekuwa ni matapeli kunyonya masikini na kujilimbikizia mali.

Mifano hii ipo sana nchini mwetu, makanisa yanaota kama uyoga si kwa sababu kuna mahitaji makubwa ya jamii, bali ni vijiwe vya kutapelia watu kwa njia ya kuwatia hofu kupitia jina la Mungu.

Nasi Tz serikali ingeangazia mfumo mzima wa sheria kuhusiana na mambo hayo, maana ndani ya madhehebu kuna ufisadi wa kutisha na wa kila aina uliopewa baraka na sheria za nchi.
Ukileta hapa kwetu nchi itawaka moto,,imagine Kizee kivaa kobazi na kanzu lake limepauka, imagine vimama vya kilokole vilivozoea kukanyaga mafuta....watu hawa wamepokea dini kuliko wenye nazo...chanzo cha umaskini wa taifa letu.
 
Hicho ndio kitu watu hawaelewi mfano hapa ghafla bwana yule wa Tanganyika P aanze kufokonyoa Serikali yaan pale Tanganyika P fasta panachukuliwa panajengwa kiwanda cha kubangua korosho haraka sana na yeye anasambaratishwa atafute pa kwenda
Anajua hawezi kuhubiri haki dhidi ya watu wa rangi ya majani.

Hata akijitokeza tu kuitaka ifanya chaguzi huru basi ndio mwisho wake na miujiza yote inakata.
 
Ukileta hapa kwetu nchi itawaka moto,,imagine Kizee kivaa kobazi na kanzu lake limepauka, imagine vimama vya kilokole vilivozoea kukanyaga mafuta....watu hawa wamepokea dini kuliko wenye nazo...chanzo cha umaskini wa taifa letu.
Na huko Rwanda dini ilijikita mizizi sana hasa makanisa.

Serikali ikiamua lazima watafyata tu mikia zao.

Mfumuko wa madhehebu ya kitapeli imenifanya nizichukie dini na kuona kama wote ni matapeli tapeli tu, hasa ukiangalia life style ya viongozi wa dini wanavyoishi.
 
Na huko Rwanda dini ilijikita mizizi sana hasa makanisa.

Serikali ikiamua lazima wafyata tu mikia zao.

Mfumuko wa madhehebu ya kitapeli imenifanya nizichukie dini na kuona kama wote ni matapeli tapeli tu, hasa ukiangalia life style ya viongozi wa dini wanavyoishi.
Ni Wahuni
 
Serikali haina dini,,ukivunja na ukiuka sheria wanakufyeka tu
 
Askofu wa Ovyo kwenye Kanisa Katoliki.


Angekuwa yuko Rwanda huyu naye angefungiwa.
 
Chizi sio dini ni dhehebu and source ni Wikipedia bwahahaha

GFfUGgLWkAAh9uE.jpeg
 
Back
Top Bottom