Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sasa hao Liberation of Rwanda kwanini anawafadhili Congo si awatimue maana kama unavyosemaNamuunga mkono Kagame 100%, Congo waachane na FDLR militiamen ili amani ya kweli ipatikane, lakini tatizo la Congo sio Rwanda au Banyamulenge tuu wana factions nyingi sana zinazopigana na sababu kubwa ni utajiri mkubwa walionao na weak government in Kinshasa
hawa vijana wanataka mafunzo na silaha tu wakaivuruge rwanda kama mbwai iwe mbwai. wamechokaNimeona mwana-goma akijiandaa kufyatua ICBM(Inter-continental Ballistic Missile) kuelekea Rwanda.View attachment 2403946
wala si vita kwa kanchi kadogo kama rwanda ni uvamizi tu wa masaa sita mnakamaliza maisha yanaendeleaKama vile naona vile vita vya style ya enzi za wakina yesu za Kubeba mapanga na kupanda farasi na ngao 😄😄
Waziri gani. Huyu mnyarwanda anayejiita mnyambo. Pole yako.Wazir wetu wa ulinzi akae chonjo asisubiri Moto uwake huko mipakani ndio apeleke jeshi
Atume kikosi kazi kifanye survey mapema kuhakikisha hizo chokochoko za majirani hazivuki mipaka
6 Ni mengi sana hayo,hata 2 yanatosha kabisa.wala si vita kwa kanchi kadogo kama rwanda ni uvamizi tu wa masaa sita mnakamaliza maisha yanaendelea
Kwa hiyo unatumbia atakuja kutawala MFALME DIKTETA nje ya Dunia aje atutawale kimabavu??/?Tetesi za vita na vita haziepukiki. Njaa, ukame, magonjwa na natural disasters lazima vitaongezeka. Hizi ni dalili za kukamilika miaka kwa miaka 6000 aliyopewa mwanadamu kujitawala.
Baada ya hapo MFALME mwenye UFALME wake anakuja naye atatawala dunia nzima kwa fimbo ya chuma.
Asomaye na afahamu na mwenye masikio asikie!!
Sifa za kizushi tu . Hao wiki mbili TUPO kigali rwanda tunatengeza watoto wa East Africa. Kill men kisha tunafaulisha waremboHuwezi amini na jeshi letu la kuvunja matofali, Rwanda anaweza kututoa kamasi....
Naona watu wengi wanafuata ushabiki maandazi bila kuchunguza kwa ndani.Namuunga mkono Kagame 100%, Congo waachane na FDLR militiamen ili amani ya kweli ipatikane, lakini tatizo la Congo sio Rwanda au Banyamulenge tuu wana factions nyingi sana zinazopigana na sababu kubwa ni utajiri mkubwa walionao na weak government in Kinshasa
Colonel mommadou ndala mwamba alikuwa anaingia frontline mwenyewe na askari wake 200-400 lkn kazi wanayopiga sio ya kitoto kiuhalisia huyu ndio aliwachapa M-23 lkn kama kawaida sifa nyingi zikaenda kwa TPDFPale bamutu ba congolee palikua na kamanda mmoja anaitwa mommadou ndala moto kweli kweli huyo mwamba kama angekua hai daaaah lakini walimla kichwa baada ya kuwapelekea moto sana waasi ,..upumzike kwa amani ewe mtu mwema Mommadou Ndala
PK ana cancer?Mnamkuza huyo PK bila sababu yoyote. Kanchi kapo kama Wilaya ya Sikonge Mkoa wa Tabora then mnakasifia na kumsifia huyo Rais ambaye cancer inamla. Pia kwani kuna kitu gani special amelifanya humu duniani hadi mnampamba na kumfanya unique zaidi ya kuua wapinzani wake? Huo ujasusi mnaomsifia ameifanya wapi?
Binafsi nawaunga mkono Wakongo kwani wanateseka bila sababu sasa Vijana wameamua kuingia mtaani kujitetea na kuitetea nchi yao toka kwa wapuuzi kama huyo mzee.
Kwani hujui ana Cancer ya Damu?PK ana cancer?
Sifahamu kama ana cancer ya damu. Ndio nasikia mkuu. Nimejaribu ku-google lakini sijaona kama kuna Habari zozote za afya za siku za nyuma. Ila ukitazama uso wake una vitu vyeusi sasa sijui ndio sababu pia.Kwani hujui ana Cancer ya Damu?
Nani alimuua huyu Colonel? Na askari aliowaacha waliuliwa na nani na kwa sababu zipi?Colonel mommadou ndala mwamba alikuwa anaingia frontline mwenyewe na askari wake 200-400 lkn kazi wanayopiga sio ya kitoto kiuhalisia huyu ndio aliwachapa M-23 lkn kama kawaida sifa nyingi zikaenda kwa TPDF
ALL IN ALL ndala aliuwawa kwenye well organised ambush INASAKITISHA SAANA
nakumbuka msibani kwake wakongo walilia saana
Baada ya kifo chake askari wa kikosi chake wale wa juu waliuwawa pia
Unaelewa nini kuhusu UFLME wa MUNGU?Kwa hiyo unatumbia atakuja kutawala MFALME DIKTETA nje ya Dunia aje atutawale kimabavu??/?