S.H Amon apoteza jengo la ghorofa nane Kariakoo

S.H Amon apoteza jengo la ghorofa nane Kariakoo

Hapo kilichokosekana ni nguvu ya ccm, kupindishwapindishwa kwa haki. Haki ni kama mkondo wa maji ya mvua, mutaharibu weee mutajenga hovyohovyo na kuzibaziba kila kona ila siku ikija kunyesha maji yanasafisha uchafu wote ktk mkondo wake.
 
Hapo kilichokosekana ni nguvu ya ccm, kupindishwapindishwa kwa haki. Haki ni kama mkondo wa maji ya mvua, mutaharibu weee mutajenga hovyohovyo na kuzibaziba kila kona ila siku ikija kunyesha maji yanasafisha uchafu wote ktk mkondo wake.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Taarifa kutoka Mahakama ya Rufaa inaonyesha kwamba Mbunge wa Mstaafu wa ccm Mh Sauli Henry Amon , ameshindwa kesi Mahakamani baada ya Familia ya Bushiri Pazi kurejeshewa nyumba iliyouzwa kwa mnada mwaka 2001 .

Ilikuwa hivi , Kampuni ya S.H.AMON ilishinda mnada wa nyumba namba 113 , Kitalu 4 , Block 17 ambayo ilikuwa mali ya Bushiri Pazi , iliyokuwa Kariakoo , Ilala , DSM , S.H.AMON alilipa Tsh mil 105 katika mnada uliofanyika 13/5/2001 , hii ilikuwa nyumba ya kawaida tu , baada ya kuinunua Sauli akaibomoa na kuporomosha jengo la ghorofa nane .

Mnada huo ulipingwa Mahakamani na Bushiri Pazi , ambaye alidai haukuwa halali , Baada ya danadana nyingi za kisheria kwenye Mahakama mbalimbali kwa miaka 20 , Hatimaye Ndugu Bushiri Pazi amerejeshewa nyumba yake , ila sasa si ile ya chini tena , ni ghorofa 8 .

View attachment 2203933

Chanzo : KYELA FM
Kuna jamaa alitaka kuniuzia Hilo jengo alisema 6.5b mie namwambia achukue 4 akakataa. Tukaishia Hapo. Afadhali ukosefu wa hela wangu uliniokoa na ambavyo sipendi kesi
 
Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?

Hata mimi nangoja majibu
 
TZCA 186 :

HUKUMU YA 13 APRIL 2022

IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT DAR ES SALAAM

CORAM: KWARIKO, J.A., MAIGE. 3.A. And MWAMPASHI. J.A.l

CIVIL APPEAL NO. 166 OF 2019
HAMIS BUSHIRI PAZI ...............................................................1st APPELLANTHAMIS BUSHIRI PAZI (as the Administrator ofthe deceased estate of NEEMA BUSHIRI PAZI-Deceased and ...

2nd APPELLANT MWAJUMA BUSHIRI PAZI-Deceased) ........................................

3RD APPELLANT STUMAI BUSHIRI PAZI ..............................................................

4th APPELLANT HATUJUANI BUSHIRI PAZI .......................................................
5™ APPELLANT


VERSUS


SAUL HENRY AMON..................................................................1st RESPONDENTS.H. AMON ENTERPRISES LTD ..............................................
2nd RESPONDENTMUSA HAMISI KAZUBA ........................................................
3rd RESPONDENTKASSIM ALLY OMARI (as the Administrator of theestate of TATU BUSHIRI PAZI deceased) ............................
4™ RESPONDENTANDTHE ATTORNEY GENERAL .......................................................
THIRD PARTY(Appeal from the decision of the High Court of Tanzania,Land Division at Dar es Salaam )(Sambo, 3.)dated 9th day of March, 2012inLand Case No. 185 of 2004JUDGM ENT OF THE COURT7th February &. 13th April, 2022MAIGE, J.A.:


This judgment is a culmination of twenty years struggle for a piece of land described as house No. 113 Plot No. 4, Block 17, Kariakoo Area, Ilala District, Dar es salaam ("the suit property") which is currently held under certificate of title No. 57275 dated 24th March 2005 in the name of the second respondent (exhibit P4). It is not in dispute that until ...

READ more : Hamisi Bushiri Pazi & Others vs Saul Henry Amon & Others (Civil Appeal 166 of 2019) [2022] TZCA 186 (13 April 2022); | Tanzlii
 
TZCA 186 :

HUKUMU YA 13 APRIL 2022

IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIAAT PAR ES SALAAMfCORAM: KWARIKO, J.A., MAIGE. 3.A. And MWAMPASHI. J.A.lCIVIL APPEAL NO. 166 OF 2019HAMIS BUSHIRI PAZI ...............................................................1st APPELLANTHAMIS BUSHIRI PAZI (as the Administrator ofthe deceased estate of NEEMA BUSHIRI PAZI-Deceased and ...2nd APPELLANTMWAJUMA BUSHIRI PAZI-Deceased) ........................................RD APPELLANTSTUMAI BUSHIRI PAZI ..............................................................4th APPELLANTHATUJUANI BUSHIRI PAZI .......................................................5[emoji769] APPELLANTVERSUSSAUL HENRY AMON..................................................................1st RESPONDENTS.H. AMON ENTERPRISES LTD ..............................................2nd RESPONDENTMUSA HAMISI KAZUBA ........................................................3rd RESPONDENTKASSIM ALLY OMARI (as the Administrator of theestate of TATU BUSHIRI PAZI deceased) ............................4[emoji769] RESPONDENTANDTHE ATTORNEY GENERAL .......................................................THIRD PARTY(Appeal from the decision of the High Court of Tanzania,Land Division at Dar es Salaam )(Sambo, 3.)dated 9th day of March, 2012inLand Case No. 185 of 2004JUDGM ENT OF THE COURT7th February &. 13th April, 2022MAIGE, J.A.:This judgment is a culmination of twenty years struggle for a piece of land described as house No. 113 Plot No. 4, Block 17, Kariakoo Area, Ilala District, Dar es salaam ("the suit property") which is currently held under certificate of title No. 57275 dated 24th March 2005 in the name of the second respondent (exhibit P4). It is not in dispute that until ...

READ more : Hamisi Bushiri Pazi & Others vs Saul Henry Amon & Others (Civil Appeal 166 of 2019) [2022] TZCA 186 (13 April 2022); | Tanzlii
Asante sana
 
Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?
Unamfungulia kesi mahakamani ili akulipe fidia
 
Umekosea kuripoti, hajarudishiwa nyumba ni amerudishiwa kiwanja, hivyo SH Amin, yuko free kuyachukua majengo yake, hivyo jamaa kubaki na kiwanja chake kirudishwe ile nyumba aliyoinunua.
P


Sio kiwanja aludishe nyumba aliyonunua kama akivyoikuta+ fidia ya miaka 20 huyo mwenye nyumba kwa hiyo miaka angekua anakula kodi zake
 
Kutoka nyumba chakavu ya udongo mpaka kumiliki ghorofa tusikate tamaa wadau,ipo siku tutatoboa tu hata ikiwa uzeeni..ingekuwa mimi hapo muda huohuo nataka nione mikataba ya wapangaji hili nianze kula hela za kodi

View attachment 2203922


In the final result and for the reasons as aforesaid, we allow the appeal with costs to the extent as afore stated.

We quash and set aside the judgment and decree of the trial court and declare the appellants as the rightful owners of the suit property and all developments thereon to the extent of their 6/7 shares reflected in exhibit P2.DATED at DAR ES SALAAM this 13th day of A pril, 2022.

M. A. KWARIKO.JUSTICE OF APPEAL I. J. MAIGE

The judgment delivered on 13th day of April, 2022 in the presence of Ms. Subira Omary, learned counsel for the appellants and Ms. Sia Ngowi, learned counsel for the 1st and 2nd respondents, 3rd and 4th present unrepresented and Mr. Gallus Lupogo, learned State Attorney for the third party, is hereby certified as true copy of the original.

JUSTICE OF APPEAL A. M. MWAMPASHI JUSTICE OF APPEAL A. L. KALEGEYA ^

DEPUTY REGISTRAR ^ COURT
 
Aombe mapitio ili mahakama iamuru waliokuwa wamiliki wa awali ambao wamerudishiwa umiliki wao wamlipe gharama za jengo au aruhusiwe kulivunja jengo lake ili wao wabaki na kiwanja chao.

Na wao watajenga waliyo ibomoa kabla ya kujenga ghorofa?
 
Nje ya mada, kwa wenye uelewa: Hivi entity kama benki ikiendesha mnada wa nyumba ya mtu aliyeshindwa kulipa deni na mahakama baadae ikasema mnada ulifanyika ndivyo sivyo, hivyo nyumba inatakiwa irudi kwa wenyewe, mimi mnunuzi nitapoteza? Gharama zangu nani atalipa na hasa kama nimeshaendeleza?
... benki hawawezi kuendesha mnada bila idhini ya mahakama nadhani. Lazima shauri lipelekewe mahakamani kwamba umeshindwa kulipa mkopo wao kwa mujibu wa mkataba (umekiuka mkataba) then mahakama itatoa hukumu ya nyumba yako kuuzwa. So, mnunuzi atakuwa ameinunua kwa utaratibu sahihi kuja kumgeuka itakuwa ngumu sana.
 
Back
Top Bottom