Saa 12 alfajri hadi saa 12 jioni, mtoto wa shule ya msingi anasoma nini kikubwa hivyo huko shuleni?

Saa 12 alfajri hadi saa 12 jioni, mtoto wa shule ya msingi anasoma nini kikubwa hivyo huko shuleni?

Kwani zamani ilikuwaje kipindi tukitoka shule saa 8:30 mchana . Je tulikuwa hatufaulu?
Hili swali ndilo nalojiuliza...

Ila nishaelewa...hii ni kwa sababu WALIMU HAWA NI WALE WALIOPATA DIV 3 MPAKA 4...Kwahiyo tuseme hawana mbinu za ufaulu wenye tija...
 
Nawashangas sana ma afisa elimu wa wilaya, sijui kazi yao nini, yaani watoto wadogo wa darasa la nne wana amshwa saa kumi za usiku, wanakalilishwa adi saa nne za usiku, jumatatu adi jumamosi, hata university tulikuwa hatusomi hivyo
 
Huwa nikitoka jogging jioni nakutana na vitoto vya shule za serikali ndo vinatoka shule mida hio saa moja na robo hv. Huwa nahuzunika sana rohoni coz wanawekwa kwenye hatr ya kubakwa na kujifunza tabia mbaya.

Young students may be 10% of our population but they're 100% of our future. Serikali inbidi waangalie hili kwakweli
INASIKITISHA SERIKALI NDIYO INASHIRIKI KUTUHARIBIA KIZAZI...ALAFU BAADAE WANAKILAUMU HICHO HICHO...
 
Kuna kitu kizito sana kilichogandamana ktk elimu yetu ambacho kukitoa itakua ni kazi ngumuu... Nacho ni mtaala ulioegemea 'MITIHANI' ... tunahitaji mtazamo mpya.

Mateso yote haya wanayopata watoto ni shule tu zinafokasi ktk mtihani wa mwisho kugombania position, huu ni ujinga mkubwa. Hakuna maarifa yeyote zaidi ya watoto kukaririshwa mitihani. USELESS
Yaani hata hiyo position haisaidii kitu...ni sifa tu za kijinga...
 
Mbona saivi tunafundisha kwa kufuata kalenda ambayo lengo lake mtoto asome kwa kurelax.Serikali ishaona na tumeelimishwa pia
 
Nawashangas sana ma afisa elimu wa wilaya, sijui kazi yao nini, yaani watoto wadogo wa darasa la nne wana amshwa saa kumi za usiku, wanakalilishwa adi saa nne za usiku, jumatatu adi jumamosi, hata university tulikuwa hatusomi hivyo
YAANI ELIMU YA UNIVERSITY AMBAYO INA MAANA KULIKO HIYO PRIMARY HATUKUSOMA HIVYO...
 
YAANI ELIMU YA UNIVERSITY AMBAYO INA MAANA KULIKO HIYO PRIMARY HATUKUSOMA HIVYO...
Shida ipo kuanzia wizara ya elimu yenyewe, sijui ni kwanini hawatoi mwongozo juu ya hii kelo, hizi ‘english medium’ zina uwa watoto wetu kimya kimya……..
 
Umenena vyema, naunga mkono hoja. Hili jambo halina afya kwa watoto, Maisha sio kusoma tu, na ahwataishi kwa kusoma tu, bali kwa kila jambo jema linalotendeka katika jamii. Hayo mambo ya kijamii watajifunza saa ngapi kama muda wote wapo shule au darasani. By the way nia sio kuwasaidia wanafunzi bali ni mbinu ya walimu kujiongezea kipato
 
Umenena vyema, naunga mkono hoja. Hili jambo halina afya kwa watoto, Maisha sio kusoma tu, na ahwataishi kwa kusoma tu, bali kwa kila jambo jema linalotendeka katika jamii. Hayo mambo ya kijamii watajifunza saa ngapi kama muda wote wapo shule au darasani. By the way nia sio kuwasaidia wanafunzi bali ni mbinu ya walimu kujiongezea kipato
Kweli...
 
Salamu kwenu ndugu.

Ningeomba uzi huu MODS wanisaidie kuusambaza kwa wenye mamlaka.

Sasa hivi kuna kamtindo kameshamiri kwa shule za msingi za serikali kuwachukua wanafunzi na kukaa nao kuanzia saa 12 Alfajr hadi saa 12 jioni... Kwa kisingizio cha kusoma na masomo kuzidi kasi.

Hivi hasa ni nani kawadanganya walimu hawa kuwa MTOTO atafaulu kwa kuwa na muda mrefu wa kusoma?

Hata hizo shule zinazoongoza kwa ufaulu kama ST. FRANCIS ukiangalia kikubwa wanachokisisitiza ni NIDHAMU, Kuanzia kwa walimu mpaka kwa wanafunzi...

Wanazingatia sana ratiba na TEACHING MANUAL(Kama sijakosea) YAANI kila kitu kina wakati wake...sio kwamba wanasoma muda woteee...

Yaani ukiangalia ratiba zao, kuna muda wa kusoma, muda wa kucheza, muda wa kusali na muda wa kupumzika na kulala. NA WANAFANIKIWA.

ILA hizi shule zetu sasa za SERIKALI...wanafanya hivi miaka nenda miaka rudi lakini bado hatujaona hasa nini wamepakipata kwamba walikuwa wanakitafuta.

Yaani kuanzia Saa 12 ASUBUHI hadi saa 12 Jioni KILA SIKU, JUMATATU MPAKA JUMAMOSI Vilevile Kasoro JUMAPILI TU(na KWANINI IWE JUMAPILI TU? Tuseme UDINI ama)...

MUHULA MZIMA WA MIEZI 12...Yaani na LIKIZO VILEVILE wanawaita watoto wasiende likizo nyumbani(na hii tunawashukuru MAWAZIRI UMMY na NDALICHAKO waliliingilia kati suala hili kwa likizo hii).

SWALI LANGU NI;

Je Walimu hawa wanatafuta nini? LENGO LAO NI NINI?

Kama lengo ni kufaulisha, WANATAKA WAFAULISHEJE KWA MTINDO HUU...Mbona matokeo ni yale yale?

Mfano kuna shule iko jirani hapa...MWAKA JANA WAMEFANYA UTARATIBU HUO...Lakini wametoa WANAFUNZI WOTE WAMEENDA SHULE YA KATA ILIYO KARIBU...Hakuna hata mmoja alienda KIPAJI MAALUM...

Ina maana hawafanyi tathmini juu ya mbinu wanazotumia?

Mimi kwa Upande wangu nimeona yafuatayo;-

1. Hii ni dalili ya KUTOKUWAJIBIKA IPASAVYO na UVIVU kwa walimu wetu hawa, Kama hukuweza kufundisha na kumaliza at a given time frame WEWE NI MZEMBE, Hata ukipewa muda mwingi iweje you wont succeed.

2. Ukiwauliza kwanini hivi, watakwambia HIVI NDIVYO TULIVYOKUBALIANA NA WAZAZI KWENYE MKUTANO WA WAZAZI(Huku kwenye mkutano ndipo wanakotumia kupitisha vimichango vyao kwa kisingizio tumekubaliana).

Siri ni hivi...WAZAZI wa zama hizi ni wavivu na hawataki kulibeba jukumu lao la malezi...kwahiyo kukaa na mtoto siku nzima kwao ni AFUENI ya malezi, kwahiyo wazazi na walimu wana malengo tofauti kwa maslahi yao binafsi.

MATOKEO YAKE NI NINI?

1. Mtoto kukosa elimu ya muhimu ya uendeshaji wa maisha yake akiwa mtaani mbali na shule. Watoto wanashinda siku nzima kusoma JIOGRAFIA, HISTORIA YA KINA LIVINGSTONE, HISABATI ZA KKS NA KDS, SAYANSI YA KUMSOMA PANZI...Wanapomaliza masomo na kurudi mtaani, SERIKALI inakuachia mzigo wako mwenyewe TOTO LIMEKUWA JINGA, hata namna ya kuchomeka BULB Ili iwake ATAMWITA FUNDI amfanyie...huku AKILILIA AJIRA YA SERIKALI ili aweze kuifanyia kazi(kuapply) elimu yake ya SAYANSI YA KUMSOMA PANZI na sehemu zake katika maisha yake, wapi aapply HESABU ZA KKS na KDS kwenye maisha...hakuna.

Na sasa hivi sijui kama hata lile somo la STADI ZA KAZI likifundishwa...maana sioni hata watoto wakichonga mifagio ya chelewa kupeleka shuleni...labda ingesaidia...

BILA SHAKA hakuna asiyekubali kuwa kumekithiri yale maneno ya MJIAJIRI kutoka kwa viongozi...hii inathibitisha elimu hii INAYOTOLEWA TOTALLY FAILED

2. NAAMINI TUTAKUBALIANA WOTE KUWA...HAKUNA MAHALA PANAPOHARIBU MAADILI NA TABIA YA MTOTO KAMA SHULENI...

Shuleni hasa za serikali, WANAJAZANA WATOTO WA AINA TOFAUTI WALIOTOKA KWENYE FAMILIA TOFAUTI WENYE MALEZI TOFAUTI NA TABIA TOFAUTI...

Na kwa vile walimu wale wa serikali hawapo pale kurekebisha tabia za mtoto wa mtu...zaidi ya kuhakikisha AMEFUNDISHA ZAKE HESABU ZAKE KUTAFUTA "X"...Huyo mtoto wa mtu hamuhusu na tabia zake mbaya ..

Mwisho wa siku WATOTO wenye tabia mbaya watawaathiri watoto wenye malezi mazuri ..mwisho wa siku wote wanaharibika...

Tujiulize hizi MIMBA ZA SHULENI zimefuata nini huko? Kama shuleni ni sehemu salama tena...?

NI NINI NACHOOMBA KWA WENYE MAMLAKA.

1. Mamlaka ziratibu utoaji wa elimu kwa manufaa mema ya mtoto wa kitanzania ..badala ya kustick kwenye elimu ambayo tayari ina KILA DALILI ZA KUFAIL. Badilisheni sylabus...muda wa kusoma KKS na KDS na ALGEBRA, kusoma PANZI tuutumie kufundisha watoto mazingira halisi ya kuishi maisha yao.

2. GAWENI MUDA WENU HATA MPAKA SAA 6 AU SAA 8 INATOSHA...ILI MTOTO ARUDI MTAANI JAMII IMFUNDISHE "ELIMU MTAA".

3. Haya maadili ambayo kila kukicha viongozi mnalalamikia viongozi wa dini wayatengeneze...unadhani uharibifu wake...unaanzia wapi? Unaanzia kwenu shuleni...mtoto mnakaa nae akiwa mdogo kutwa nzima...akiharibika mnamrudisha mtaani...huyo kiongozi wa dini atatengeneza nini sasa? SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.

4. Kwa mustakabali wa kimaadili, Wekeni sera ya KULAZIMISHA KILA MZAZI KUHAKIKISHA Mtoto wake anapata elimu ya dini yake kwanza akiwa mdogo kama elimu ya awali. Na anapoanza elimu ya msingi KUHAKIKISHA ule muda baada ya saa 8 kila mtoto aruhusiwe arudi nyumbani na kuhudhuria mafunzo ya dini yake kwa lazima...hii italinda maadili ya jamii.

SERIKALI MSIKAE NA WATOTO KUTWA NZIMA, TUACHIENI NA SISI JAMII TUITENGENEZE JAMII TUITAKAYO. KWA MWALIMU BORA NA ELIMU BORA...MASAA 8 KWA SIKU YANATOSHA KUFUNDISHA NA ELIMU IKAWA NA MANUFAA...KULIKO KUSHINDA NAO SIKU NZIMA.

INATOSHA KWA LEO.
Ukiacha hili la muda Kuna hili la idadi ya masomo wanaosoma hawa watoto, unakuta kitoto cha darasa la 3 Kina lumbesa la madaftar hili nalo ni tatizo .
 
Salamu kwenu ndugu.

Ningeomba uzi huu MODS wanisaidie kuusambaza kwa wenye mamlaka.

Sasa hivi kuna kamtindo kameshamiri kwa shule za msingi za serikali kuwachukua wanafunzi na kukaa nao kuanzia saa 12 Alfajr hadi saa 12 jioni... Kwa kisingizio cha kusoma na masomo kuzidi kasi.

Hivi hasa ni nani kawadanganya walimu hawa kuwa MTOTO atafaulu kwa kuwa na muda mrefu wa kusoma?

Hata hizo shule zinazoongoza kwa ufaulu kama ST. FRANCIS ukiangalia kikubwa wanachokisisitiza ni NIDHAMU, Kuanzia kwa walimu mpaka kwa wanafunzi...

Wanazingatia sana ratiba na TEACHING MANUAL(Kama sijakosea) YAANI kila kitu kina wakati wake...sio kwamba wanasoma muda woteee...

Yaani ukiangalia ratiba zao, kuna muda wa kusoma, muda wa kucheza, muda wa kusali na muda wa kupumzika na kulala. NA WANAFANIKIWA.

ILA hizi shule zetu sasa za SERIKALI...wanafanya hivi miaka nenda miaka rudi lakini bado hatujaona hasa nini wamepakipata kwamba walikuwa wanakitafuta.

Yaani kuanzia Saa 12 ASUBUHI hadi saa 12 Jioni KILA SIKU, JUMATATU MPAKA JUMAMOSI Vilevile Kasoro JUMAPILI TU(na KWANINI IWE JUMAPILI TU? Tuseme UDINI ama)...

MUHULA MZIMA WA MIEZI 12...Yaani na LIKIZO VILEVILE wanawaita watoto wasiende likizo nyumbani(na hii tunawashukuru MAWAZIRI UMMY na NDALICHAKO waliliingilia kati suala hili kwa likizo hii).

SWALI LANGU NI;

Je Walimu hawa wanatafuta nini? LENGO LAO NI NINI?

Kama lengo ni kufaulisha, WANATAKA WAFAULISHEJE KWA MTINDO HUU...Mbona matokeo ni yale yale?

Mfano kuna shule iko jirani hapa...MWAKA JANA WAMEFANYA UTARATIBU HUO...Lakini wametoa WANAFUNZI WOTE WAMEENDA SHULE YA KATA ILIYO KARIBU...Hakuna hata mmoja alienda KIPAJI MAALUM...

Ina maana hawafanyi tathmini juu ya mbinu wanazotumia?

Mimi kwa Upande wangu nimeona yafuatayo;-

1. Hii ni dalili ya KUTOKUWAJIBIKA IPASAVYO na UVIVU kwa walimu wetu hawa, Kama hukuweza kufundisha na kumaliza at a given time frame WEWE NI MZEMBE, Hata ukipewa muda mwingi iweje you wont succeed.

2. Ukiwauliza kwanini hivi, watakwambia HIVI NDIVYO TULIVYOKUBALIANA NA WAZAZI KWENYE MKUTANO WA WAZAZI(Huku kwenye mkutano ndipo wanakotumia kupitisha vimichango vyao kwa kisingizio tumekubaliana).

Siri ni hivi...WAZAZI wa zama hizi ni wavivu na hawataki kulibeba jukumu lao la malezi...kwahiyo kukaa na mtoto siku nzima kwao ni AFUENI ya malezi, kwahiyo wazazi na walimu wana malengo tofauti kwa maslahi yao binafsi.

MATOKEO YAKE NI NINI?

1. Mtoto kukosa elimu ya muhimu ya uendeshaji wa maisha yake akiwa mtaani mbali na shule. Watoto wanashinda siku nzima kusoma JIOGRAFIA, HISTORIA YA KINA LIVINGSTONE, HISABATI ZA KKS NA KDS, SAYANSI YA KUMSOMA PANZI...Wanapomaliza masomo na kurudi mtaani, SERIKALI inakuachia mzigo wako mwenyewe TOTO LIMEKUWA JINGA, hata namna ya kuchomeka BULB Ili iwake ATAMWITA FUNDI amfanyie...huku AKILILIA AJIRA YA SERIKALI ili aweze kuifanyia kazi(kuapply) elimu yake ya SAYANSI YA KUMSOMA PANZI na sehemu zake katika maisha yake, wapi aapply HESABU ZA KKS na KDS kwenye maisha...hakuna.

Na sasa hivi sijui kama hata lile somo la STADI ZA KAZI likifundishwa...maana sioni hata watoto wakichonga mifagio ya chelewa kupeleka shuleni...labda ingesaidia...

BILA SHAKA hakuna asiyekubali kuwa kumekithiri yale maneno ya MJIAJIRI kutoka kwa viongozi...hii inathibitisha elimu hii INAYOTOLEWA TOTALLY FAILED

2. NAAMINI TUTAKUBALIANA WOTE KUWA...HAKUNA MAHALA PANAPOHARIBU MAADILI NA TABIA YA MTOTO KAMA SHULENI...

Shuleni hasa za serikali, WANAJAZANA WATOTO WA AINA TOFAUTI WALIOTOKA KWENYE FAMILIA TOFAUTI WENYE MALEZI TOFAUTI NA TABIA TOFAUTI...

Na kwa vile walimu wale wa serikali hawapo pale kurekebisha tabia za mtoto wa mtu...zaidi ya kuhakikisha AMEFUNDISHA ZAKE HESABU ZAKE KUTAFUTA "X"...Huyo mtoto wa mtu hamuhusu na tabia zake mbaya ..

Mwisho wa siku WATOTO wenye tabia mbaya watawaathiri watoto wenye malezi mazuri ..mwisho wa siku wote wanaharibika...

Tujiulize hizi MIMBA ZA SHULENI zimefuata nini huko? Kama shuleni ni sehemu salama tena...?

NI NINI NACHOOMBA KWA WENYE MAMLAKA.

1. Mamlaka ziratibu utoaji wa elimu kwa manufaa mema ya mtoto wa kitanzania ..badala ya kustick kwenye elimu ambayo tayari ina KILA DALILI ZA KUFAIL. Badilisheni sylabus...muda wa kusoma KKS na KDS na ALGEBRA, kusoma PANZI tuutumie kufundisha watoto mazingira halisi ya kuishi maisha yao.

2. GAWENI MUDA WENU HATA MPAKA SAA 6 AU SAA 8 INATOSHA...ILI MTOTO ARUDI MTAANI JAMII IMFUNDISHE "ELIMU MTAA".

3. Haya maadili ambayo kila kukicha viongozi mnalalamikia viongozi wa dini wayatengeneze...unadhani uharibifu wake...unaanzia wapi? Unaanzia kwenu shuleni...mtoto mnakaa nae akiwa mdogo kutwa nzima...akiharibika mnamrudisha mtaani...huyo kiongozi wa dini atatengeneza nini sasa? SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.

4. Kwa mustakabali wa kimaadili, Wekeni sera ya KULAZIMISHA KILA MZAZI KUHAKIKISHA Mtoto wake anapata elimu ya dini yake kwanza akiwa mdogo kama elimu ya awali. Na anapoanza elimu ya msingi KUHAKIKISHA ule muda baada ya saa 8 kila mtoto aruhusiwe arudi nyumbani na kuhudhuria mafunzo ya dini yake kwa lazima...hii italinda maadili ya jamii.

SERIKALI MSIKAE NA WATOTO KUTWA NZIMA, TUACHIENI NA SISI JAMII TUITENGENEZE JAMII TUITAKAYO. KWA MWALIMU BORA NA ELIMU BORA...MASAA 8 KWA SIKU YANATOSHA KUFUNDISHA NA ELIMU IKAWA NA MANUFAA...KULIKO KUSHINDA NAO SIKU NZIMA.

INATOSHA KWA LEO.
Wewe ulikuwa unatoka saa ngapi shule?
Kitendo cha kuwa shuleni tu ni shule tosha kwani kuna social interaction, watoto wametoka katika malezi tofauti mengine ya wazazi wa hovyo kabisa, hivyo wanapokuwa shuleni waalimu wanawanyoosha ili waweze kuendana na jamii wskikuwa
 
Kuna kitu kizito sana kilichogandamana ktk elimu yetu ambacho kukitoa itakua ni kazi ngumuu... Nacho ni mtaala ulioegemea 'MITIHANI' ... tunahitaji mtazamo mpya.

Mateso yote haya wanayopata watoto ni shule tu zinafokasi ktk mtihani wa mwisho kugombania position, huu ni ujinga mkubwa. Hakuna maarifa yeyote zaidi ya watoto kukaririshwa mitihani. USELESS
Aisee Hili Tatizo kubwa Sana yaani ujue ulichosoma shule ya msingi Kwa Miaka Saba Kwa kiswahili,unaenda kukirudia Secondary Kwa kingereza,ukifika chuo uaply kozi ni Mbingu na ardhi Kwa uliyosoma Shule ya msingi na Secondary
Yaani Kiufupi elimu yetu Haina muunganiko kabisa Kila kitu kinajiendea tu bila mpangilio

Hizi nchi za kiafrika shida kweli kweli!
 
Aisee Hili Tatizo kubwa Sana yaani ujue ulichosoma shule ya msingi Kwa Miaka Saba Kwa kiswahili,unaenda kukirudia Secondary Kwa kingereza,ukifika chuo uaply kozi ni Mbingu na ardhi Kwa uliyosoma Shule ya msingi na Secondary
Yaani Kiufupi elimu yetu Haina muunganiko kabisa Kila kitu kinajiendea tu bila mpangilio

Hizi nchi za kiafrika shida kweli kweli!
Advance Pcm chuo mtu anasomea uhasibu
 
Acha woga pamoja unatumia ID fake bado umeogopa kutaja shule uliyonayo karibu
 
Hili swali ndilo nalojiuliza...

Ila nishaelewa...hii ni kwa sababu WALIMU HAWA NI WALE WALIOPATA DIV 3 MPAKA 4...Kwahiyo tuseme hawana mbinu za ufaulu wenye tija...
Japo sample space yangu ni ndogo ila hapa tusiwasingizie walimu wasio na vyeo. Mchezo huu unachezwa na viongozi wa elimu kushirikiana na walimu wakuu (japo pia kuna walimu wachache wapumbavu wanaolishangilia hili na hawa ni wale wasiokuwa na njia nyingine ya kujiongezea kipato).

Four years back wakati napambana kupata kazi nilijishikiza kwenye shule moja ya English Medium. Nilisikitika sana kuona walimu wanavyopewa majukumu makubwa ya kazi kwa malipo finyu sana. Maagizo ya watoto kufaulu yanatoka kwa Afisa Elimu kuanzia ngazi ya mkoa, yanafika hadi kwa walimu wakuu. Hao maafisa elimu wanawaacha walimu wakuu wabuni mbinu zao wenyewe ili mradi watoto wafaulu tu. Na hapa ndo hili la "kuwatumikisha" watoto linaposhamiri. Ni kweli inasikitisha sana kuona watoto wanatumia nguvu kubwa kupata elimu hadi wanakosa maarifa muhimu mtaani. Watoto unawauliza wanakwambia hawajawai kukamata kuku, hawajui kotama ni nini, hawajui mila zao maana hata likizo zao wanazispend huko huko shule! Inasikitisha mno

Niseme tu hili pia linachangiwa na wazazi wenyewe tena kwa asilimia kubwa. Wengi wao wanalibariki hili ili mradi watoto wao wafaulu tu! Kwa wazazi wengi wa Dar es Salaam ubize pia unachangia wao kulibariki jambo hili. Kwenye vikao vya shule na wazazi utasikitika mno kusikia baadhi ya mitazamo ya wazazi. Kila mzazi anataka mtoto wake apate grade "A" na yupo tayari kusikiliza mbinu zitakazotolewa na shule likiwemo hilo la kubakiza watoto shuleni kwa muda mrefu.

Mfumo wenyewe wa elimu umeingiliwa. Kila kukicha kuna mabadiliko hadi walimu ambao ndo implementors wakubwa wanachanganyikiwa. Kila kukicha kuna mabadiliko ya mitaala na namna ya ufundishaji, hadi walimu wanaona ni heri waongezewe muda wa kupambana na mabadiliko hayo. Na hapa sikuwahi kuona umuhimu wa CWT, wenyewe wanakubaliana na kila jambo linaloamriwa na wakuu.

Elimu ya Tanzania ina safari bado! Tena ndefu mno! Na huu mfumo wa kupima uelewa wa mtoto kwa kutumia "mitihani" hauwezi kumaliza changamoto hizi. Yaani watoto watazidi kutumikishwa tu.
 
Nimeenda shulen kwa wamangu na kuuliza juu ya hili mwez huu mwanzoni..mwl you hakuwa na majibu akasema nimuulize mkurugenzo..mkurugenz nikamuomba waraka wa serikali unaosema watoto kwa masaa hayo..Hana....nikawaabia mnawaumiza watoto...wa kwanngu NAOMBA mda wa kurudi nyumban ukifika warud...
Nikaonekana napinga watoto wasisome..nikampa facts kuwa mtoto hafaulu kwa kusoma had saa tatu usiku..
Huu mtaala was nchi hi Nicole was kinyonge na kijinga Sana unategemea mtihan tu..
 
Salamu kwenu ndugu.

Ningeomba uzi huu MODS wanisaidie kuusambaza kwa wenye mamlaka.

Sasa hivi kuna kamtindo kameshamiri kwa shule za msingi za serikali kuwachukua wanafunzi na kukaa nao kuanzia saa 12 Alfajr hadi saa 12 jioni... Kwa kisingizio cha kusoma na masomo kuzidi kasi.

Hivi hasa ni nani kawadanganya walimu hawa kuwa MTOTO atafaulu kwa kuwa na muda mrefu wa kusoma?

Hata hizo shule zinazoongoza kwa ufaulu kama ST. FRANCIS ukiangalia kikubwa wanachokisisitiza ni NIDHAMU, Kuanzia kwa walimu mpaka kwa wanafunzi...

Wanazingatia sana ratiba na TEACHING MANUAL(Kama sijakosea) YAANI kila kitu kina wakati wake...sio kwamba wanasoma muda woteee...

Yaani ukiangalia ratiba zao, kuna muda wa kusoma, muda wa kucheza, muda wa kusali na muda wa kupumzika na kulala. NA WANAFANIKIWA.

ILA hizi shule zetu sasa za SERIKALI...wanafanya hivi miaka nenda miaka rudi lakini bado hatujaona hasa nini wamepakipata kwamba walikuwa wanakitafuta.

Yaani kuanzia Saa 12 ASUBUHI hadi saa 12 Jioni KILA SIKU, JUMATATU MPAKA JUMAMOSI Vilevile Kasoro JUMAPILI TU(na KWANINI IWE JUMAPILI TU? Tuseme UDINI ama)...

MUHULA MZIMA WA MIEZI 12...Yaani na LIKIZO VILEVILE wanawaita watoto wasiende likizo nyumbani(na hii tunawashukuru MAWAZIRI UMMY na NDALICHAKO waliliingilia kati suala hili kwa likizo hii).

SWALI LANGU NI;

Je Walimu hawa wanatafuta nini? LENGO LAO NI NINI?

Kama lengo ni kufaulisha, WANATAKA WAFAULISHEJE KWA MTINDO HUU...Mbona matokeo ni yale yale?

Mfano kuna shule iko jirani hapa...MWAKA JANA WAMEFANYA UTARATIBU HUO...Lakini wametoa WANAFUNZI WOTE WAMEENDA SHULE YA KATA ILIYO KARIBU...Hakuna hata mmoja alienda KIPAJI MAALUM...

Ina maana hawafanyi tathmini juu ya mbinu wanazotumia?

Mimi kwa Upande wangu nimeona yafuatayo;-

1. Hii ni dalili ya KUTOKUWAJIBIKA IPASAVYO na UVIVU kwa walimu wetu hawa, Kama hukuweza kufundisha na kumaliza at a given time frame WEWE NI MZEMBE, Hata ukipewa muda mwingi iweje you wont succeed.

2. Ukiwauliza kwanini hivi, watakwambia HIVI NDIVYO TULIVYOKUBALIANA NA WAZAZI KWENYE MKUTANO WA WAZAZI(Huku kwenye mkutano ndipo wanakotumia kupitisha vimichango vyao kwa kisingizio tumekubaliana).

Siri ni hivi...WAZAZI wa zama hizi ni wavivu na hawataki kulibeba jukumu lao la malezi...kwahiyo kukaa na mtoto siku nzima kwao ni AFUENI ya malezi, kwahiyo wazazi na walimu wana malengo tofauti kwa maslahi yao binafsi.

MATOKEO YAKE NI NINI?

1. Mtoto kukosa elimu ya muhimu ya uendeshaji wa maisha yake akiwa mtaani mbali na shule. Watoto wanashinda siku nzima kusoma JIOGRAFIA, HISTORIA YA KINA LIVINGSTONE, HISABATI ZA KKS NA KDS, SAYANSI YA KUMSOMA PANZI...Wanapomaliza masomo na kurudi mtaani, SERIKALI inakuachia mzigo wako mwenyewe TOTO LIMEKUWA JINGA, hata namna ya kuchomeka BULB Ili iwake ATAMWITA FUNDI amfanyie...huku AKILILIA AJIRA YA SERIKALI ili aweze kuifanyia kazi(kuapply) elimu yake ya SAYANSI YA KUMSOMA PANZI na sehemu zake katika maisha yake, wapi aapply HESABU ZA KKS na KDS kwenye maisha...hakuna.

Na sasa hivi sijui kama hata lile somo la STADI ZA KAZI likifundishwa...maana sioni hata watoto wakichonga mifagio ya chelewa kupeleka shuleni...labda ingesaidia...

BILA SHAKA hakuna asiyekubali kuwa kumekithiri yale maneno ya MJIAJIRI kutoka kwa viongozi...hii inathibitisha elimu hii INAYOTOLEWA TOTALLY FAILED

2. NAAMINI TUTAKUBALIANA WOTE KUWA...HAKUNA MAHALA PANAPOHARIBU MAADILI NA TABIA YA MTOTO KAMA SHULENI...

Shuleni hasa za serikali, WANAJAZANA WATOTO WA AINA TOFAUTI WALIOTOKA KWENYE FAMILIA TOFAUTI WENYE MALEZI TOFAUTI NA TABIA TOFAUTI...

Na kwa vile walimu wale wa serikali hawapo pale kurekebisha tabia za mtoto wa mtu...zaidi ya kuhakikisha AMEFUNDISHA ZAKE HESABU ZAKE KUTAFUTA "X"...Huyo mtoto wa mtu hamuhusu na tabia zake mbaya ..

Mwisho wa siku WATOTO wenye tabia mbaya watawaathiri watoto wenye malezi mazuri ..mwisho wa siku wote wanaharibika...

Tujiulize hizi MIMBA ZA SHULENI zimefuata nini huko? Kama shuleni ni sehemu salama tena...?

NI NINI NACHOOMBA KWA WENYE MAMLAKA.

1. Mamlaka ziratibu utoaji wa elimu kwa manufaa mema ya mtoto wa kitanzania ..badala ya kustick kwenye elimu ambayo tayari ina KILA DALILI ZA KUFAIL. Badilisheni sylabus...muda wa kusoma KKS na KDS na ALGEBRA, kusoma PANZI tuutumie kufundisha watoto mazingira halisi ya kuishi maisha yao.

2. GAWENI MUDA WENU HATA MPAKA SAA 6 AU SAA 8 INATOSHA...ILI MTOTO ARUDI MTAANI JAMII IMFUNDISHE "ELIMU MTAA".

3. Haya maadili ambayo kila kukicha viongozi mnalalamikia viongozi wa dini wayatengeneze...unadhani uharibifu wake...unaanzia wapi? Unaanzia kwenu shuleni...mtoto mnakaa nae akiwa mdogo kutwa nzima...akiharibika mnamrudisha mtaani...huyo kiongozi wa dini atatengeneza nini sasa? SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.

4. Kwa mustakabali wa kimaadili, Wekeni sera ya KULAZIMISHA KILA MZAZI KUHAKIKISHA Mtoto wake anapata elimu ya dini yake kwanza akiwa mdogo kama elimu ya awali. Na anapoanza elimu ya msingi KUHAKIKISHA ule muda baada ya saa 8 kila mtoto aruhusiwe arudi nyumbani na kuhudhuria mafunzo ya dini yake kwa lazima...hii italinda maadili ya jamii.

SERIKALI MSIKAE NA WATOTO KUTWA NZIMA, TUACHIENI NA SISI JAMII TUITENGENEZE JAMII TUITAKAYO. KWA MWALIMU BORA NA ELIMU BORA...MASAA 8 KWA SIKU YANATOSHA KUFUNDISHA NA ELIMU IKAWA NA MANUFAA...KULIKO KUSHINDA NAO SIKU NZIMA.

INATOSHA KWA LEO.
Wewe utakuwa na watoto vilaza na wasiopenda shule ndio maana unawachongea watoto wanaopenda shule ili wawe vilaza kama wanao. Mimi mwanangu yupo shule binafsi na wanasoma hadi saa tatu usiku, wewe unalalamikia saa 12 jioni? PUMBAVU!!!!
 
Tatizo Wazazi mnajifanya wajuaji sana..walimu wanatumia akili zao kubuni jinsi ya kuwafundisha watoto wenu wenye vichwa vigumu...mnakuja kuanzisha Uzi jf
 
Salamu kwenu ndugu.

Ningeomba uzi huu MODS wanisaidie kuusambaza kwa wenye mamlaka.

Sasa hivi kuna kamtindo kameshamiri kwa shule za msingi za serikali kuwachukua wanafunzi na kukaa nao kuanzia saa 12 Alfajr hadi saa 12 jioni... Kwa kisingizio cha kusoma na masomo kuzidi kasi.

Hivi hasa ni nani kawadanganya walimu hawa kuwa MTOTO atafaulu kwa kuwa na muda mrefu wa kusoma?

Hata hizo shule zinazoongoza kwa ufaulu kama ST. FRANCIS ukiangalia kikubwa wanachokisisitiza ni NIDHAMU, Kuanzia kwa walimu mpaka kwa wanafunzi...

Wanazingatia sana ratiba na TEACHING MANUAL(Kama sijakosea) YAANI kila kitu kina wakati wake...sio kwamba wanasoma muda woteee...

Yaani ukiangalia ratiba zao, kuna muda wa kusoma, muda wa kucheza, muda wa kusali na muda wa kupumzika na kulala. NA WANAFANIKIWA.

ILA hizi shule zetu sasa za SERIKALI...wanafanya hivi miaka nenda miaka rudi lakini bado hatujaona hasa nini wamepakipata kwamba walikuwa wanakitafuta.

Yaani kuanzia Saa 12 ASUBUHI hadi saa 12 Jioni KILA SIKU, JUMATATU MPAKA JUMAMOSI Vilevile Kasoro JUMAPILI TU(na KWANINI IWE JUMAPILI TU? Tuseme UDINI ama)...

MUHULA MZIMA WA MIEZI 12...Yaani na LIKIZO VILEVILE wanawaita watoto wasiende likizo nyumbani(na hii tunawashukuru MAWAZIRI UMMY na NDALICHAKO waliliingilia kati suala hili kwa likizo hii).

SWALI LANGU NI;

Je Walimu hawa wanatafuta nini? LENGO LAO NI NINI?

Kama lengo ni kufaulisha, WANATAKA WAFAULISHEJE KWA MTINDO HUU...Mbona matokeo ni yale yale?

Mfano kuna shule iko jirani hapa...MWAKA JANA WAMEFANYA UTARATIBU HUO...Lakini wametoa WANAFUNZI WOTE WAMEENDA SHULE YA KATA ILIYO KARIBU...Hakuna hata mmoja alienda KIPAJI MAALUM...

Ina maana hawafanyi tathmini juu ya mbinu wanazotumia?

Mimi kwa Upande wangu nimeona yafuatayo;-

1. Hii ni dalili ya KUTOKUWAJIBIKA IPASAVYO na UVIVU kwa walimu wetu hawa, Kama hukuweza kufundisha na kumaliza at a given time frame WEWE NI MZEMBE, Hata ukipewa muda mwingi iweje you wont succeed.

2. Ukiwauliza kwanini hivi, watakwambia HIVI NDIVYO TULIVYOKUBALIANA NA WAZAZI KWENYE MKUTANO WA WAZAZI(Huku kwenye mkutano ndipo wanakotumia kupitisha vimichango vyao kwa kisingizio tumekubaliana).

Siri ni hivi...WAZAZI wa zama hizi ni wavivu na hawataki kulibeba jukumu lao la malezi...kwahiyo kukaa na mtoto siku nzima kwao ni AFUENI ya malezi, kwahiyo wazazi na walimu wana malengo tofauti kwa maslahi yao binafsi.

MATOKEO YAKE NI NINI?

1. Mtoto kukosa elimu ya muhimu ya uendeshaji wa maisha yake akiwa mtaani mbali na shule. Watoto wanashinda siku nzima kusoma JIOGRAFIA, HISTORIA YA KINA LIVINGSTONE, HISABATI ZA KKS NA KDS, SAYANSI YA KUMSOMA PANZI...Wanapomaliza masomo na kurudi mtaani, SERIKALI inakuachia mzigo wako mwenyewe TOTO LIMEKUWA JINGA, hata namna ya kuchomeka BULB Ili iwake ATAMWITA FUNDI amfanyie...huku AKILILIA AJIRA YA SERIKALI ili aweze kuifanyia kazi(kuapply) elimu yake ya SAYANSI YA KUMSOMA PANZI na sehemu zake katika maisha yake, wapi aapply HESABU ZA KKS na KDS kwenye maisha...hakuna.

Na sasa hivi sijui kama hata lile somo la STADI ZA KAZI likifundishwa...maana sioni hata watoto wakichonga mifagio ya chelewa kupeleka shuleni...labda ingesaidia...

BILA SHAKA hakuna asiyekubali kuwa kumekithiri yale maneno ya MJIAJIRI kutoka kwa viongozi...hii inathibitisha elimu hii INAYOTOLEWA TOTALLY FAILED

2. NAAMINI TUTAKUBALIANA WOTE KUWA...HAKUNA MAHALA PANAPOHARIBU MAADILI NA TABIA YA MTOTO KAMA SHULENI...

Shuleni hasa za serikali, WANAJAZANA WATOTO WA AINA TOFAUTI WALIOTOKA KWENYE FAMILIA TOFAUTI WENYE MALEZI TOFAUTI NA TABIA TOFAUTI...

Na kwa vile walimu wale wa serikali hawapo pale kurekebisha tabia za mtoto wa mtu...zaidi ya kuhakikisha AMEFUNDISHA ZAKE HESABU ZAKE KUTAFUTA "X"...Huyo mtoto wa mtu hamuhusu na tabia zake mbaya ..

Mwisho wa siku WATOTO wenye tabia mbaya watawaathiri watoto wenye malezi mazuri ..mwisho wa siku wote wanaharibika...

Tujiulize hizi MIMBA ZA SHULENI zimefuata nini huko? Kama shuleni ni sehemu salama tena...?

NI NINI NACHOOMBA KWA WENYE MAMLAKA.

1. Mamlaka ziratibu utoaji wa elimu kwa manufaa mema ya mtoto wa kitanzania ..badala ya kustick kwenye elimu ambayo tayari ina KILA DALILI ZA KUFAIL. Badilisheni sylabus...muda wa kusoma KKS na KDS na ALGEBRA, kusoma PANZI tuutumie kufundisha watoto mazingira halisi ya kuishi maisha yao.

2. GAWENI MUDA WENU HATA MPAKA SAA 6 AU SAA 8 INATOSHA...ILI MTOTO ARUDI MTAANI JAMII IMFUNDISHE "ELIMU MTAA".

3. Haya maadili ambayo kila kukicha viongozi mnalalamikia viongozi wa dini wayatengeneze...unadhani uharibifu wake...unaanzia wapi? Unaanzia kwenu shuleni...mtoto mnakaa nae akiwa mdogo kutwa nzima...akiharibika mnamrudisha mtaani...huyo kiongozi wa dini atatengeneza nini sasa? SAMAKI MKUNJE ANGALI MBICHI.

4. Kwa mustakabali wa kimaadili, Wekeni sera ya KULAZIMISHA KILA MZAZI KUHAKIKISHA Mtoto wake anapata elimu ya dini yake kwanza akiwa mdogo kama elimu ya awali. Na anapoanza elimu ya msingi KUHAKIKISHA ule muda baada ya saa 8 kila mtoto aruhusiwe arudi nyumbani na kuhudhuria mafunzo ya dini yake kwa lazima...hii italinda maadili ya jamii.

SERIKALI MSIKAE NA WATOTO KUTWA NZIMA, TUACHIENI NA SISI JAMII TUITENGENEZE JAMII TUITAKAYO. KWA MWALIMU BORA NA ELIMU BORA...MASAA 8 KWA SIKU YANATOSHA KUFUNDISHA NA ELIMU IKAWA NA MANUFAA...KULIKO KUSHINDA NAO SIKU NZIMA.

INATOSHA KWA LEO.
Ongeza na furushi la madaftari, mtoto wa darasa la nne ana mbegi mkubwa kama mtalii, watoto wanachoka mgongo lakini bado hata ukimpa hesabu ya kutafuta mzingo wa duara hawezi. Ukimuuliza pundamilia anaitwaje kwa kingereza anaanza kuchezesha kope, yn walimu wa govt primary schools wa sasa ni mizigo. Wamebaki kukusanya vimichango ambavyo kiuhalisia vinazidi kuwafanya wawe na hali ngumu ya maisha cz ni dhuluma ile wanafanya.
 
Back
Top Bottom