Hapo kuna hoja kubwa na zenye nguvu umejitahid kuziainisha. Matarajio ni serikali ione namna ipi sahh ya kuideal hii issue,of course imegeuka kero.
Na bora km ni ada irejeshwe tu ili km wazaz tunalipa,heri tulipe na serikal ikae na jukumu la kuupangilia vzr mfumo wa elimu yetu.
Kuna shule moja hapa Ilemela-Mwz kata ya Buswelu,kila wiki mtoto anatakiwa kulipa tshs 4,000/=. Ukipiga hesab hiyo kwa mwaka utaona ni afadhali ada irejeshwe tu! Mbya zaid,matokeo hayajawah kubadilika saana zaidi ya watoto kupata ufaulu wa wastani wa B,C,D.
Ikiwa tatizo ni wingi wa watoto,tujenge madarasa na muajiri walimu wa kutosha km permanent solution.
Idara ya ukaguz wa elimu nayo najiuliza ipo kusaidia nin hasa? Au ni kugawana keki ya taifa tu?