Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Mkuu hawa jamaa hawana aibu. Tukikaa kimya wanaona kama vile hatung'amui maovu yao. Kinachotakiwa ni kuwahoji na watoe majibu.Wala hakuna haja ya Chadema kufungua kesi kwani wazungu wanamsemo "Never argue with a fool" kwa sinema hili la kihindi walilocheza MATAGA hakika wamezidi kujivua ngua kwa watanzania ambao sikuzote wamekuwa wakiwashangaa kwa sarakasi za kihindi wanazochezaga .Dawa yao ni kuwakalia kimya mpaka akili ziwarudi pengine....
Asante mkuu. Nilipenda kujua hizi pesa TRILLION 2 za EU, EU wanatoa kwa BUNGE au kwa mhimili wa SERIKALI? Na hizi pesa zinatolewa kila mwaka au zinatolewa kila baada ya MIAKA mitano?Sasa hawatoi mpaka waone wabunge wa upinzani Bungeni ndiyo maana Ndungai akaamua kuwanunua covid 19 akiamini Dili lingrtiki vizuri
Wananchi wengi mara nyingi wamesema huko hakuna mwenye akili mpaka wanafanya mambo ya ajabu mbele ya wenye akili kama Watanzania wote ni mambumbumbu kama wao. Kuhusu hili, Spika dhaifu wa Bunge dhaifu angekuwa wa kwanza kuhoji uhalali wa jina la Mahabusu, ambaye yuko chini ya Muhimili mwingine, kuletwa ambele yake kwa sababu yoyote ile. Kwa akili ya kawaida kabisa hata ya mchunga ng'ombe wa Kongwa, Spika baada ya kupitia orodha aliyoletewa na kuliona jina la Mahabusu na kuridhika na majina ya wengine, angewaapisha wale 18 mpaka Muhimili wa Mahakama umalizane na Mahabusu maana hakukuwa na haraka yoyote. Kwa jumla wote hawakutakiwa kuapishwa kwenye gereji badala ya Bungeni, bila hata Siwa kuwepo!CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Uwe unasoma habari ukiwa umetulia ili uelewe.Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
CCM hawana akili.Swali la kujiuliza. Hawa ccm ndio hawana akili au ccm watanzania washatuona hatuna akili ndio maana wanatengeneza movie bila hata kuihariri?
kesi itakuwa ni ipi hasa hapo? wanathibitishaje beyond reasonable doubt kuwa aliachiwa ili aapishwe na haikuwa coincidence?CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Mkuu au na wewe ni wale wale wanaotuona watanzania hatuna akili? Chadema wana mamlaka gani ya kuamrisha magereza kumtoa mahabusu awahi kuapishwa? Chadema watawekaje jina la mahabusu kwenye orodha ya viti maalumu wakati hawajui kesi yake itaisha lini na atatoka lini? Je akifungwa? Mahera katoa taarifa kwa umma kuwa chadema waliwasilisha majina ya wabunge wa viti maalumu 19 Nov 2020. Mahera kwa kukosa kumbukumbu tarehe 20 Nov akiwa azam tv alisema kuwa chadema hawajawasilisha majina ya wabunge wa viti maalumu. ...Hizi sarakasi unazionaje labda???!!kesi itakuwa ni ipi hasa hapo? wanathibitishaje beyond reasonable doubt kuwa aliachiwa ili aapishwe na haikuwa coincidence?
How? Come with a solution mkuu.We have to come together as a nation and unite around our shared goal: defeating this virus called ccm
Ishu ni nani na lini amemteua Nusrat kuwa mbunge wa viti maalumu?Ila kwa kweli ki ubinadamu, mtu yoyote angakuwa amevaa viatu vya nusrat hanje asingekubali kukaataa ubunge na kuendelea kusota jela.
Tuwe tu wakweli saa nyingine
Huyo eti ndiye mukurugezi wa tume ya taifa ya UCHAFUZI. Kwa picha hiyo anasimamia UCHAGUZI ama UCHAFUZI. Je kwapicha hiyo tunaweje kuamini kuwa uchaguzi AUKUCHAFULIWA ?. Kwa heshima ya nchi tume ya uchaguzi ijiuzuru kweli kama ni tume uchaguzi. LAKINI KAMA NI TUME YA UCHAFUZI IBAKI NA IENDELEE KUCHAFUA. Hiko siku wenye nchi wakichoka ama kujitambua WATAJUTA.CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
CCM walizunguka nchi nzima kuutangazia uma kwamba wapinzani wanakwamisha maendeleo na ndiomaana wakakwapua majimbo yote hili bungeni wawe pekeyao chakushangaza leo hii tena wanawalazimisha wapinzani kwenda bungeni kwa nguvu amakweli hii dunia ina maajabu yake. Kuna nini KwanHow? Come with a solution mkuu.
Sina uhakika ni nani anasema ukweli, ila ofisa kusema kwenye TV kuwa hajapokea ripoti fulani haina maana kuwa ripoti hiyo haijafika ofisini kwake; inaweza kuwa bado iko masjala wakati anatoa tamko hilo.
Pengine ni bora zikarudishwa jalalani ziliko okotwa.NEC,AG na Spika ni takataka kabisa!
Angalau mzee wa lupaso yeye alitumia vyote nguvu na akili sio kwa ccm mpya wao nguvu mwanzo mwisho.Chek walivyoiba kizembe Hadi hata teja anajua.Wangewaachia hata cdm wabunge 50 tena wapya wasio na majina hapa wangefuta ushahidi wa wizi na kuwahadaa cdm na wafadhili na sio hii ya ushindi wa kishindo Leo umegeuka shubiri Hadi wanahaha kufoji viti maalumu feki.Aibu kweli.
DPP, NEC, NDUGAI wana kesi ya jinai mahakamani. Ipo wazi kabisa.CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.
1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.
2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?
Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.
Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
Je jina ya yule aliekua bado yuko gerezani chadema walijuaje kama atatoka?Sina uhakika ni nani anasema ukweli, ila ofisa kusema kwenye TV kuwa hajapokea ripoti fulani haina maana kuwa ripoti hiyo haijafika ofisini kwake; inaweza kuwa bado iko masjala wakati anatoa tamko hilo.