Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Hivi hawa wasukuma serikali ijayo haitaweza kuwakamata hasa kwa haya makosa ya makusudi kwa hoja ya kuchafua serikali na katiba na matumizi mabaya ya ofisi mfano huyu DPP. Wasukuma Mungu wenu ana ukomo wake 2025, kijana wa hazina nae muandalieni utetezi lasivyo Chatonga hana mamlaka ya utetezi, huu uimra wa kichifu na mila mtajuta sana, Ndege, Reli, na bwawa hivi vyote itakuwa kama zamani ndege na treni serikali si mfanyabiashara , kina cha maji, ukame, etc dowans zitarudi, wind, solar kama kawa, Jaribuni kuleta fyoko za kubadili
 
Rais ajaye ajiandae kulipa fidia ya mabilion ya shilingi kwa watu walioumizwa na serikali hii ya mabavu

Niwazi kuwa wako watu wengi wamewekwa kizuizini kinyume na sheria siku nchi ikirudishwa kwa utawala wa sheria watakimbilia mahakamani kudai fidia zao
Lissu alitumia hoja hii akakosa kura- sijui wewe una lipi jipya
 
Dear Martin Maranja Masese,
I am sorry saying that Tanzania has very, unfortunately, turned to be a banana kingdom where rules and laws are not observed, particularly for the interests of the ones who think the land has been molded by God upon their request, thus belongs to them. We, others are here on their will and can any time eliminate us, the second class citizens.
 
Kuna watu wanasema serikali hii inaongozwa na mtu muadilifu, jambo hilo huwa ninalikataa wazi wazi na mifano hai iko mingi sana.
tindo sisi ambao tuko huku mikoani ndio tunajua uadilifu wa huyu mkuu wa nchi. Leo hii kila kona kuna barabara za lami. Hapa nilipo ni porini lakini kuna jengo la halmashauri linasimama. Miaka ya nyuma ilikuwa ni ulaji tu.
 
tindo sisi ambao tuko huku mikoani ndio tunajua uadilifu wa huyu mkuu wa nchi. Leo hii kila kona kuna barabara za lami. Hapa nilipo ni porini lakini kuna jengo la halmashauri linasimama. Miaka ya nyuma ilikuwa ni ulaji tu.
Unamkumbuka Kwame Nkrumah lakini alivyowaambia watawala wa kikoloni??????????????
 
Mimi na umbumbumbu wangu wa sheria nilishangaa

Kesi ikifika mahakamani, ni mali ya mahakama, sio ya mshitaki (DPP) wala mshitakiwa (Nusrat)

DPP kaomba mahakama isimpe Nusrat dhamana na ikakubali na mahakama ndio imempeleka mahabusu.

Ni lini mahakama iliamua atoke?
 
Kwahiyo alienda kumteka au? Kama alitoka kwa order ya DPP basi mamlaka hayo anayo.

Nawashangaa mnaoendelea kulalamika wakati mnajua mpo kwenye nchi ya aina gani
 
Sijui hata Kama huwa anapitia makabrasha kuhusu mipaka ya majukumu yake kisheria

Awamu hii watumiaje wabaya wa madaraka wako kibao.
 
tindo sisi ambao tuko huku mikoani ndio tunajua uadilifu wa huyu mkuu wa nchi. Leo hii kila kona kuna barabara za lami. Hapa nilipo ni porini lakini kuna jengo la halmashauri linasimama. Miaka ya nyuma ilikuwa ni ulaji tu.

Uadilifu sio kujenga majengo, kujenga majengo ni wajibu wa serikali yoyote inayokusanya kodi. Nenda Afrika kusini, wazungu walijenga miundombinu ya kutisha, je kipi kilimfanya Nyerere na sisi watanzania kuwapinga? Usichanganye uadilifu na ujenzi wa majengo.
 
Uadilifu sio kujenga majengo, kujenga majengo ni wajibu wa serikali yoyote inayokusanya kodi. Nenda Afrika kusini, wazungu walijenga miundombinu ya kutisha, je kipi kilimfanya Nyerere na sisi watanzania kuwapinga? Usichanganye uadilifu na ujenzi wa majengo.
Dogo huwa unakosea sana. Ni wajibu wa serikali kukusanya kodi,je zikikusanywa na kuliwa?

Kuifananisha Tanzania na SA ya makuburu ni kukosa busara. Tumia akili wakati unajitetea.
 
Back
Top Bottom