Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Mkuu usihangaike na mbumbumbu wa humu JF. Wakisikia kuwa DPP amewaachia mahabusu wanafikiri anaenda yeye in person kuwatoa. Wakati utaratibu ni lazima removal order itolewe na Mahakama, kuna uwezekano removal order imetolewa mapema lakini process ya kuwatoa ndiyo ilichelewa hadi ikafika huo muda wanaousema kama ilivyokuwa kwa kina Mbowe removal order ilitoka mapema lakini walitoka Segerea jioni. Achana na hao wanasaccos uelewa wao ni mdogo sana.
Hayo mbona Biswalo Mganga hakuyasema , umeyatoa wapi ?
 
Kwa katiba hii siku tukipata Rais chizi...tutatembea bila nguo kwa amri yake.

Maana kwa sasa katiba ni makaratasi tu, katiba halisi ipo ndsni ya vinywa vya watu 2 ama 3 hivi.
 
DPP anatishia kupeleka watu gerezani. lakini DPP hasemi kwanini amevunja CPA, kifungu cha 91, Sura ya 20. Shauri lipo mahakamani, hakimu/Jaji ndio wanaweza kumtoa mtuhumiwa gerezani kwa remove order sio DPP (mlalamikaji). Nolle Prosequi inakutaka ueleze mahakama. Hukufanya hivyo.

Sheria haikupi mamlaka ya kumpeleka na kumtoa mtuhumiwa gerezani bila kibali cha mahakama. Ulichofanya kwa Nusrat ni mwendelezo wa kukanyaga sheria kwa kiburi tu. Umeweka bila kosa la msingi na umewatoa gerezani bila kufuata utaratibu. Kifupi umewakomoa, Nusrat kahongwa ubunge

DPP, ukisoma chapter 20, Section 91, CPA, part IV "Power of the DPP to enter nolle prosequi" haikupi mamlaka ya kumtoa mahabusu gerezani bila amri ya mahakama. Sheria inakutaka uieleze mahakama au kujulisha mahakama kwa maandishi kwa niaba ya Jamhuri. Hujafanya hivyo kwa NUSRAT.

Kwa utaratibu wa magereza Tanzania, wafungwa wanahesabiwa saa nane mchana, wanajiandaa kuingia selo saa tisa hadi saa kumi. DPP hana mamlaka ya kwenda gerezani kumtoa mahabusu au mfungwa saa moja na nusu usiku bila kibali cha mahakama kwa amei ya hakimu au Jaji. DPP hana mamlaka hayo, kisheria.

Kuhusu hilo la Freeman Mbowe, kwamba pamoja na wenzake, Mlimani City aliongoza kwa kuimba "Mungu ibariki Chadema" sehemu ya "Mungu ibariki Tanzania", kwanini iwe kosa kwa Mbowe sasa (ukitishia kumkamata) na iwe sio kosa kwa Nusrat hadi kuachiwa huru na mashtaka yake kufutwa?

Kama ulimkamata Nusrat kwa kosa hilo na ukamuacha iwe vipi halali kudhani Freeman Mbowe alitenda kosa hilo ambalo umelifuta kwa Nusrat na wenzake? UHALALI huo unatoka wapi? Kama Nusrat aliachiwa na kufutiwa mashtaka maana yake sio kosa, kwanini ulete stori nyinginezo.

Sio wajibu wa DPP kukamata watuhumiwa. Sio wajibu au jukumu la DPP kuwatoa watuhumiwa gerezani. DPP ni mwendesha mashtaka. Kusema "au na yeye (Mbowe) nimkamate?) ni kutishia raia kwa mamlaka ya ofisi yako. Sheria hazifuatwi. Tumeamua kufuata watu sio sheria.

DPP ni mlalamikaji katika kesi za jinai akiwakilisha Jamhuri. Mfungwa/mahabusu akiwa gerezani ni mali ya Gereza. Hakimu/Jaji wanaweza kumtoa gerezani kwa amri ya mahakama sio DPP. Katika mashauri ya Jinai, Jamhuri ni mlalamikaji. Kesi inafutwa na mahakama. Baada ya DPP kujiondoa.

DPP anasimama mbele ya vyombo vya habari anatamba kwamba "mimi ndie nimemtoa gerezani kwa mamlaka yangu" hadhi na mamlaka ya mahakama inapokwa na DPP. Kuirejesha nchi yetu kwenye misingi, lazima tuwaeleze hawa watu ukweli, sio "semi god".

Mamlaka ya mahakama imeporwa.

#MMM, Martin Maranja Masese
Asante sana mzee Baba kwa kututoa gizani
 
Mkuu usihangaike na mbumbumbu wa humu JF. Wakisikia kuwa DPP amewaachia mahabusu wanafikiri anaenda yeye in person kuwatoa. Wakati utaratibu ni lazima removal order itolewe na Mahakama, kuna uwezekano removal order imetolewa mapema lakini process ya kuwatoa ndiyo ilichelewa hadi ikafika huo muda wanaousema kama ilivyokuwa kwa kina Mbowe removal order ilitoka mapema lakini walitoka Segerea jioni. Achana na hao wanasaccos uelewa wao ni mdogo sana.
wewe kweli mhhh. Removal order hutolewa mshitakiwa akiwa ameletwa mahakamani na Hakimu ndio anatoa hiyo order baada ya DPP Kuomba kuwa hawana haja ya kuendelea na kesi. Sasa imetolewa mapema kivipi. Yaani DPP kamfuata hakimu nyumbani kwake?
 
Shida teuzi za siku hizi hazifati vigezo na masharti..
 
Siku hizi katiba na sheria zimewekwa uvunguni.

Tunaendeshwa na kichwa cha magufuli kutoka ikulu ya chamwino- Dodoma.

Ni mwendo wa kuropoka na kutoa amri za hapa na pale.

Wakati mwingine unashindwa kuelewa kama kweli hii ni Jamuhuri yenye sheria ama ni kampuni ya chato inayoendeshwa kama genge la nyanya?

Last i checked, hata kampuni nazo zinaongozwa kwa sheria!!

Sasa hii Danganyika Republic ya akina Biswalo inakuwaje?
 
Dogo huwa unakosea sana. Ni wajibu wa serikali kukusanya kodi,je zikikusanywa na kuliwa?

Kuifananisha Tanzania na SA ya makuburu ni kukosa busara. Tumia akili wakati unajitetea.
Mkuu Mchungaji/Padri/Shehe akiwahubiria waumini kwenye nyumba ya ibada hadi wakabadilika na kuwa watu safi lkn yeye huku mtaani akawa anatafuna mke wa mtu au mwanamke asiye wake huyo ni mchafu tu, hadi atakapotubu na yeye hata kama kuna lile zuri analifanya kwenye nyumba ya ibada.

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Mahakama haina nguvu zaidi ya DPP. DPP anauwezo wa kumfokea hakim na kumpa Amri. Hujiulizi kwanini mahakama inahukum kwa ushabiki na sio kufata sheria? Kama mahakama haiko huru unategemea nani ataiamini ? Ndio maana mtu anapelekwa jela wether mahaka inataka au haitaki na kutolewa hivyohivyo. Punguza presha saivi wanasheria ni kama wapowapo tu.
Matusi haya!

Huko Tanganyika DPP ana mamlaka ya kuifokea mahakama?

Anaiamrisha pia? Alooh?
 
Mahakama haina nguvu zaidi ya DPP. DPP anauwezo wa kumfokea hakim na kumpa Amri. Hujiulizi kwanini mahakama inahukum kwa ushabiki na sio kufata sheria? Kama mahakama haiko huru unategemea nani ataiamini ? Ndio maana mtu anapelekwa jela wether mahaka inataka au haitaki na kutolewa hivyohivyo. Punguza presha saivi wanasheria ni kama wapowapo tu.
We Bwege kweli. Nani kakudanganya DPP ana nguvu kuliko Muhimili wa Mahakama?
 
DPP anatishia kupeleka watu gerezani. lakini DPP hasemi kwanini amevunja CPA, kifungu cha 91, Sura ya 20. Shauri lipo mahakamani, hakimu/Jaji ndio wanaweza kumtoa mtuhumiwa gerezani kwa remove order sio DPP (mlalamikaji). Nolle Prosequi inakutaka ueleze mahakama. Hukufanya hivyo.

Sheria haikupi mamlaka ya kumpeleka na kumtoa mtuhumiwa gerezani bila kibali cha mahakama. Ulichofanya kwa Nusrat ni mwendelezo wa kukanyaga sheria kwa kiburi tu. Umeweka bila kosa la msingi na umewatoa gerezani bila kufuata utaratibu. Kifupi umewakomoa, Nusrat kahongwa ubunge

DPP, ukisoma chapter 20, Section 91, CPA, part IV "Power of the DPP to enter nolle prosequi" haikupi mamlaka ya kumtoa mahabusu gerezani bila amri ya mahakama. Sheria inakutaka uieleze mahakama au kujulisha mahakama kwa maandishi kwa niaba ya Jamhuri. Hujafanya hivyo kwa NUSRAT.

Kwa utaratibu wa magereza Tanzania, wafungwa wanahesabiwa saa nane mchana, wanajiandaa kuingia selo saa tisa hadi saa kumi. DPP hana mamlaka ya kwenda gerezani kumtoa mahabusu au mfungwa saa moja na nusu usiku bila kibali cha mahakama kwa amei ya hakimu au Jaji. DPP hana mamlaka hayo, kisheria.

Kuhusu hilo la Freeman Mbowe, kwamba pamoja na wenzake, Mlimani City aliongoza kwa kuimba "Mungu ibariki Chadema" sehemu ya "Mungu ibariki Tanzania", kwanini iwe kosa kwa Mbowe sasa (ukitishia kumkamata) na iwe sio kosa kwa Nusrat hadi kuachiwa huru na mashtaka yake kufutwa?

Kama ulimkamata Nusrat kwa kosa hilo na ukamuacha iwe vipi halali kudhani Freeman Mbowe alitenda kosa hilo ambalo umelifuta kwa Nusrat na wenzake? UHALALI huo unatoka wapi? Kama Nusrat aliachiwa na kufutiwa mashtaka maana yake sio kosa, kwanini ulete stori nyinginezo.

Sio wajibu wa DPP kukamata watuhumiwa. Sio wajibu au jukumu la DPP kuwatoa watuhumiwa gerezani. DPP ni mwendesha mashtaka. Kusema "au na yeye (Mbowe) nimkamate?) ni kutishia raia kwa mamlaka ya ofisi yako. Sheria hazifuatwi. Tumeamua kufuata watu sio sheria.

DPP ni mlalamikaji katika kesi za jinai akiwakilisha Jamhuri. Mfungwa/mahabusu akiwa gerezani ni mali ya Gereza. Hakimu/Jaji wanaweza kumtoa gerezani kwa amri ya mahakama sio DPP. Katika mashauri ya Jinai, Jamhuri ni mlalamikaji. Kesi inafutwa na mahakama. Baada ya DPP kujiondoa.

DPP anasimama mbele ya vyombo vya habari anatamba kwamba "mimi ndie nimemtoa gerezani kwa mamlaka yangu" hadhi na mamlaka ya mahakama inapokwa na DPP. Kuirejesha nchi yetu kwenye misingi, lazima tuwaeleze hawa watu ukweli, sio "semi god".

Mamlaka ya mahakama imeporwa.

#MMM, Martin Maranja Masese
Hivi DPP naye amepewa kinga ya kutoshitakiwa?
 
tindo sisi ambao tuko huku mikoani ndio tunajua uadilifu wa huyu mkuu wa nchi. Leo hii kila kona kuna barabara za lami. Hapa nilipo ni porini lakini kuna jengo la halmashauri linasimama. Miaka ya nyuma ilikuwa ni ulaji tu.
Uadilifu wa uongozi huanzia kwenye kulinda uhai wa raia. Vinginevyo maendeleo mengine ni bure.
 
Siku hizi katiba na sheria zimewekwa uvunguni.

Tunaendeshwa na kichwa cha magufuli kutoka ikulu ya chamwino- Dodoma.

Ni mwendo wa kuropoka na kutoa amri za hapa na pale.

Wakati mwingine unashindwa kuelewa kama kweli hii ni Jamuhuri yenye sheria ama ni kampuni ya chato inayoendeshwa kama genge la nyanya?

Last i checked, hata kampuni nazo zinaongozwa kwa sheria!!

Sasa hii Danganyika Republic ya akina Biswalo inakuwaje?

Yesu rudi uililie Tanzania kama ulivyoililia Yerusalamu!!!!!!!!!!!
 
Akili yako mbilikimo inakutuma kuwa barabara za lami ndyo uadilifu kwel Chakubanga anasajili misukule
tindo sisi ambao tuko huku mikoani ndio tunajua uadilifu wa huyu mkuu wa nchi. Leo hii kila kona kuna barabara za lami. Hapa nilipo ni porini lakini kuna jengo la halmashauri linasimama. Miaka ya nyuma ilikuwa ni ulaji tu.
 
Kuna watu wanasema serikali hii inaongozwa na mtu muadilifu, jambo hilo huwa ninalikataa wazi wazi na mifano hai iko mingi sana.
Muadilifu!? Hebu jaribu kumuuliza Salva Rweyemamu kuhusu ule mchakato wa kugawana majumba ya serikali alivyojinufaisha.
 
Hii awamu haina haja ya Katiba wala sheria... anyway tutaonana madhara yake huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom