JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Sipendi viongozi wahuni ambao hawaheshimu katiba ambayo waliapa kuilinda. Marehemu Nyerere alisema "Rais asiyeheshimu katiba hatufai" abaki kuburuza familia yake nyumbani kwake na sio nchi.Hupendi viongozi waadilifu