Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Hupendi viongozi waadilifu
Sipendi viongozi wahuni ambao hawaheshimu katiba ambayo waliapa kuilinda. Marehemu Nyerere alisema "Rais asiyeheshimu katiba hatufai" abaki kuburuza familia yake nyumbani kwake na sio nchi.
 
Wewe umeshawahi kukaa gerezani kwa muda aliokaa Nusrat kwa makosa uchwara!? Endelea kutukuza miungu watu uchwara wanaokanyaga haki za watu.
 
HAKIKA UMEUVUA NGUO UTAWALA HUU WA KISHETAN WA AWAMU YA TANO.

Hakuna kufuata sheria wala katiba JIWE ANAUA NCHI.
 
Utawala wa sheitwani wa awamu ya tano.
 
Wa kwenye vigodoro wengi kweli huko
 
Ndugu yangu, mipango ya shetani usije ukaiita ni ya Mungu. Mipango, miujiza ya Mungu hufuata haki na kweli.
 
Sura yake basi naona jina tu na mijadala kibao
 
Tangu uchafuzi uishe, yaonekana kuna wanaolipwa zaidi ya bk7, ili kuropoka ropoka. Mwenye afya njema ya akili hawezi kukubali kushushwa mpaka kiwango hiki.
 
Hauko serious! Kulalamika ndio ujuacho! Kama unao ushahidi lete mahakamani! Vinginevyo acha utoto! Si umeona wenye ukweli wamewahi kuingia bungeni maana wanajua mapichapicha yaliyochezeshwa!
Mahakama ipi? Wewe ndio hauko serious.
 
Hauko serious! Kulalamika ndio ujuacho! Kama unao ushahidi lete mahakamani! Vinginevyo acha utoto! Si umeona wenye ukweli wamewahi kuingia bungeni maana wanajua mapichapicha yaliyochezeshwa!
Mahakama ipi kwenye mfumo huu huu unaozidi kujigalagaza chini ya Mungu mtu? Wewe ndio nadhani hauko serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…