Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Ushauri wa bure kwa mtoa mada

1. Achana na siasa za Tanzania. Kwa usalama wa afya yako, NEVER TAKE TANZANIAN POLITICS SERIOUSLY...
Nimekuelewa mkuu...Asante kwa ushauri.
 
Mtu Mtu amaekula ameshiba na pesa ya pombe tatua anayo akajipiganie nini?
Yaani asilewe ila aende kupmabania mtu?
Acha matani basi,
 
Kuna watu wamedhamiria kuinajisi TANZANIA
 
99999o9
Hiyo inaitwa.. Chukua Chako Mapema. Alie juu mpandie hukohuko.... Acha kazi iendelee
 
kifupi kirefu hiyo namba moja umeikosea.Alitolewaje mahabusu wakati ili mtu ambae kesi yake haina dhamana atolewe mahabusu ni lazima DPP amwambie hakimu/jaji mbele ya mahakama kuwa hana tena maslahi na kesi husika?Haya yalifanyika?
 
Wabunge 19 ni wengi sana kutunza siri, muda si mrefu wapo miongoni mwao watatoboa siri na Watanzania na ulimwengu utajua kilichotokea.

Vv
Siri ni ya mtu mmoja, pia kumbuka, even walls have ears.
 
Kuna Dpp,jaji, spika asiyeonekana aliwahi tamani awe IGP, huendo ndo CDF, DG wa tiss

Amewaahidi viti maalum atawalinda ikiwa watafukuzw,a amemwagiza spika ahakikishe viti maalumu wanapata maslahi stahiki

Yuko radhi atumie NEC, TISs, police ili mdee asiwe mbunge wa kawe lakini awe viti maalum + hongo ya mil. 100.
 
Mbona unalilia!? Kwenye kampeni si mlikuwa mnapiga kelele watu magerezani waachiwe, bila dhamana??? Ndo kaachiwa sasa! Au ulitaka afie huko ili mzidi kujenga hoja za uzushi??? Umesema "mahakama imepelekeshwa mchakamchaka." Je unajua spidi ya utendaji wa mahakama kuwa ni "gani," kimfano!?? Ukijibu nitag, sawa? Usiponijibu nijulishe pia, sawa!?
 
Wee fanya hivyo mwenyewe. Kuna watu bado wana Imani na dhana ya Tanzania na hawaishi hapa duniani kwa kujaza matumbo yao tu na kutotoa watoto kama wewe! Sifa ya kuwa 'selfish' ni mbaya sana!
 
Sijaona 'impunity' dhidi ya sheria kama katika kipindi hiki! Sheria inafuatwa ikimhusu mpinzani tu, ama wengine ni malaika!
Wasidhani haya yanajificha, wako wengi tu duniani wanaofuatia. Siku moja yooooote haya yatakuja hesabiwa!
 
Maandamano tarehe 2 lakini tarehe moja Polisiccm wakaanza vitisho ikiwemo kuwakamata viongozi wa chadema siku moja kabla ya maandamano ni kwa nini hawakusubiria ifike tarehe 2 ? Nani muoga hapo?
Kwa maana nyingine, unaweza kufungwa Tanzania kwa 'kufikiria' kutenda kosa. Jirani yangu aweza kuniadhibu kwa kuwa 'nina ala' ya kumnajisia mkewe! Nchi ya ajjjabbu kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…