Saa ishirini na nne za Nusrat Hanje kutia doa Mihimili mitatu ya Nchi

Hahahah Siasa za Tanzania Kiboko.

Waliokuwa wanamtetea Nusrat awe huru wanasikitika kutoka Mahabusu japo wamejificha kwny kichaka cha sheria

Halima Mdee imekuaje kalifyeka jina Kongwe la Viti Maalum la Joyce Mukya?
Hahahahahah.......kila zama na kitabu chake bwashe.
 
Kama mtu kaibiwa kura anakatakiwa kukata rufaa mahakamani ukiona hawakat rufaa jua wanajua ukwel ila wanawadangany ili kuwafariji nadhan huyo professor kuna vitu hakukwambia rudi akakufundishe tena
Kukata rufaa,? Kesi ya ngedere unampelekea nyani
 
Sasa ametoka mnalalamika, mlitaka aendelee kusota rupango😲!? Nusrat anahitaji kuwafahamu adui zake wasiomtakia mema!
 
Kukata rufaa,? Kesi ya ngedere unampelekea nyani
Hauko serious! Kulalamika ndio ujuacho! Kama unao ushahidi lete mahakamani! Vinginevyo acha utoto! Si umeona wenye ukweli wamewahi kuingia bungeni maana wanajua mapichapicha yaliyochezeshwa!
 
Hata mimi naweza kulaumu shetani kanipitia kumbe kuna wanadamu,majini,wanga,vibwengu na wote wapo kwenye utawala wa mwenyemungu ila kwa kuwa yesu alisema ya mungu mpe mungu na ya muhandishi mpe JF
Hahahahahahahahahaaaaaa.Yamuandisi???
 
Mkuu hi ndio Tanzania nchiyangu yenye burudani zakila ainaa
 
Zetu dua. Ila nalifuatilia hili suala kwa ukaribu kabla ya kustaafu kufatilia siasa zetu hizi.
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa msistafu.jomon badomnahitajika.Kwamustakbali wataifaletu.hv mnavyosema ndiomnatupunguzia sumu huku .Mtaani
 
Unachosahau ni kuwa siasa ndiyo maisha yako ya kila siku!

Ukiacha siasa ni sawa na mginjwa ambaye umemtundikia "drip" ya dawa ili a-survive, uamue kumwondolea drip hiyo!

Obviously mtu huyo atakufa
 
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa wangenikodisha hata mm kuu Nina diploma yawizi hukumtaani
 
Wabunge 19 wa viti maalum wa chadema ni ajira mpya inaandaliwa baada ya kufukuzwa hao wote.

Hovyo kabisa,walimu,madaktari,wauguzi,askari hali zao ngumu kimaisha halafu wao wanatumia fedha ktk mambo ya kijinga.
Ht mm najiuliza ccm wanapata wapi pesa za kuhonga watu ovyo
 
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa msistafu.jomon badomnahitajika.Kwamustakbali wataifaletu.hv mnavyosema ndiomnatupunguzia sumu huku .Mtaani
😂😂😂😂Bwana "mudy" hilo neno jomon limenishtua. Wewe ni Wali nazi au nazi wali. Au utakula kisha ukaoge au utaoga kisha ule?
 
CCM bhana sijui akili walishazipeleka wapi? Mahera anadai majina ya covid 19 yaliletwa na chadema ndio hayo aliyoyapeleka kwa Ndugai.

1. Mahera anadai CHADEMA iliwasilisha hayo majina tarehe 19 November 2020. Tarehe 20 Nov 2020 huyohuyo Mahera akiwa Azam tv alidai tume haijapokea majina ya viti maalumu kutokea CHADEMA. (Angalieni hizi tarehe mtaona nani muongo). Wanasema ukiwa muongo jitahidi uwe na kumbukumbu maana hii ni aibu.

2. Nusrat Hanje: tufanye basi ni kweli Mahera anasema ukweli kuwa Chadema iliwasilisha majina ya viti maalumu. Swali la kujiuliza: Nusrat Hanje alikuwa mahabusu, Chadema wana mamlaka gani nchi hii ya kuweka jina la Nusrat kwenye orodha ya viti maalumu na kuhakikisha wanamtoa mahabusu ili akaapishwe? Hapa ndio ninapowaona ccm either walishatuona watanzania hatuna akili au wao ndio hawana akili. Chadema ina mamlaka gani ya kumtoa mwanachama wake mahabusu ili awahi kuapishwa?

Ushauri wangu kwa chadema. Fungueni kesi mahakamani. Hii kesi ni rahisi sana kushinda. CCM imepanga huu mchezo kiboya sana.

Tunashukuru Nusrat Hanje ametoka mahabusu. Sasa dada wa watu yupo huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…